Uhusiano wa usiku na kifo

Uhusiano wa usiku na kifo

Nami niongezee hapo,ni mara nyingi pia wanawake hujifungua usiku.
Wanawake hujifungua usiku kwa sababu tendo la ndoa hufanyika usiku, na mimba ni miezi tisa, kama ulitenda tendo la ndoa saa kumi usiku, ndio mida huo miezi tisa itakapofikia, that is it!!!
 
Wanawake hujifungua usiku kwa sababu tendo la ndoa hufanyika usiku, na mimba ni miezi tisa, kama ulitenda tendo la ndoa saa kumi usiku, ndio mida huo miezi tisa itakapofikia, that is it!!!
watoto wote huzaliwa na miezi tisa?
 
Hata kuingia tumboni kwa mama,mara nyingi binadamu huingizwa tumboni usiku.
Yan ww ndio umefunika.....ila hata dada poa wapo ucku na vibaka pia wapo ucku bila kuwasahau wale waruka kwa anga pia n ucku [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...lol
 
#Mshana Jr hawezi kukosa ufafanuzi wa hizi mambo.
Usingizi wenyewe ni nusu kifo! Unapokuwa macho na kama afya imedhoofu bado una hakiba ya kuweza kuuendesha mfumo wa pumzi , lakini unapolala ni ngumu mno
Kuna hospital moja nilihudumu kitengo cha wagonjwa waliozidiwa basi ilikuwa ni lazima kuwaamsha wote kila ilipofika usiku wa manane
 
Usingizi wenyewe ni nusu kifo! Unapokuwa macho na kama afya imedhoofu bado una hakiba ya kuweza kuuendesha mfumo wa pumzi , lakini unapolala ni ngumu mno
Kuna hospital moja nilihudumu kitengo cha wagonjwa waliozidiwa basi ilikuwa ni lazima kuwaamsha wote kila ilipofika usiku wa manane
Basi bhn usiendele inatosha, usije sababisha leo chumbani kwangu nikakuona kama kituo cha polisi.
 
Back
Top Bottom