sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,130
Nimejifunza katika kuishi kwangu kuwa kuna uhusiano mkubwa wa sura ya mtu na roho yake. Wengi wenye sura za ajabu na roho zao ziko hivyo hivyo. Ni vigumu sana kuona mtu mwenye sura ya kupendeza akawa na roho mbaya.
Watu wenye roho mbaya kama uchoyo, ukatili nk sura zao hazivutii. Ni hilo tu
Watu wenye roho mbaya kama uchoyo, ukatili nk sura zao hazivutii. Ni hilo tu