Uhusiano wa Ndoa na Mafanikio

Uhusiano wa Ndoa na Mafanikio

kijana ukioa akili itahamia kwenye majukumu ya namna ya kuendeleza familia.. bt ukiwa single pesa unazopata unawaza namna ya kuzitumia.. wachache mno wenye mafanikio makubwa wasiooa..
 
kijana ukioa akili itahamia kwenye majukumu ya namna ya kuendeleza familia.. bt ukiwa single pesa unazopata unawaza namna ya kuzitumia.. wachache mno wenye mafanikio makubwa wasiooa..

:thumbup:
 
Hahaaaaa! At first i was HURT but now i am OFFENDED! I might not be so comforting but let you not forget that I STILL HAVE A SOUL TOO!
pole jamani na ujanja wote huo du
 
64Bits wewe unaonaje?

Mie nasikitika hukunioa weye Eli79 tungekuwa mbaaalii! Lol natania bwana. I think its true kama ukimuoa mwanamke mwema, anayejua kujibana, kushiriki kutafuta, kuvumilia mkikosa na ku encourage kuwa things will change for the better, anayeweza kutoa kwa benefit ya familia. But... and a very big but, mwanaume nae anapaswa kuwa responsible, anayeiweka familia yake mbele sio kutanua na michepuko tu au kuwa mchoyo wa za kwake akiwa nazo. Hii inavunja moyo sana na kurudisha nyuma maendeleo
 
Last edited by a moderator:
Mie nasikitika hukunioa weye Eli79 tungekuwa mbaaalii! Lol natania bwana. I think its true kama ukimuoa mwanamke mwema, anayejua kujibana, kushiriki kutafuta, kuvumilia mkikosa na ku encourage kuwa things will change for the better, anayeweza kutoa kwa benefit ya familia. But... and a very big but, mwanaume nae anapaswa kuwa responsible, anayeiweka familia yake mbele sio kutanua na michepuko tu au kuwa mchoyo wa za kwake akiwa nazo. Hii inavunja moyo sana na kurudisha nyuma maendeleo
..lakini sentence ya mwanzo nimeipenda kuliko zote...lol.
..umeongea ukweli sana 64Bits. Kama wote tungeangalia familia zetu kwa kiwango kikubwa, alafu tuwe tunawajali wenza wetu kama tunabyojijali wenyewe...dunia ya mapendo ingekuwa nzuri sana. Tatizo ubinafsi, umimi, tamaa za ngono zimetutawala...!
 
Last edited by a moderator:
Ktk iman,(sijui ya kwako);
awali mungu alimuumba adamu baadaye hawa akafuata,mungu akawaweka pamoja. Je alifanya kosa kuwaweweka pamoja?.
Je mungu alishinda kuumba watu wa jinsia moja?je alishindwa kuwaweka mbalimbali?

Kama uliweza kuchagua mama wa kukuza basi utaweza kupinga maisha ya ndoa,kinyume na hapo endelea kujifariji kwani sio dhambi!!


Halafu kihistoria,wanawake waliotumika sana"waliovuliwa sana chup" ndio wako mstari wa mbele kufanya mapingamizi ya ndoa!
Na mijadala ya namna hii haitakaa ikaisha kwani watu tunaiman tofauti,wengi ndoa ni pingu za maisha wengine kuolewa mara 7 sio issue!!


Maisha ya ndoa na mafanikio ni roho na mwili...

Cc:m2wawa2
 
Jibu ni ndiyi na hapana. Kama nyote mtatembea kuelemea kazini maendeleo yapo. Lakini mmoja anaenda kaskaini na mwingine kusini, bora ubaki peke yako.
 
inategemea kama umeoa/umeolewa na mbulula utaona bora ulivyokuwa mwenyewe
 
Back
Top Bottom