Uhusiano wa Ndoa na Mafanikio

Uhusiano wa Ndoa na Mafanikio

Hapana kwa kweli....mi nahisi ukiwa pekeyo ni rahisi zaidi kufanikiwa
 
hahahah nakujua unapenda matunda bivu yaliyo tayari kwa kuliwa hutaki kumwagilia wala kuweka mbolea lol
Hahaaaaa! Im REALLY LIKE REALLY HURT that you of all people thinks that low of me! EVEN THE DEVIL IS NOT SO BLACK AS HE IS PAINTED!
 
Hahaaaaa! Im REALLY LIKE REALLY HURT that you of all people thinks that low of me! EVEN THE DEVIL IS NOT SO BLACK AS HE IS PAINTED!

hahaha hatujawahi kumwona shetani ila visa vyake vinatupa picha tunaimagine hata kwako pia lol
 
kwa ujumla unaweza kuoa ikawa chachu ya kuendelea kwa kasi zaidi bila kujali ulomuoa ana kipato au laa.ila pia msingi huo unaweza pia kua kinyume chake. iko hivi unaweza kuoa mke aidha ana kazi au hana mukawa na maendeleo kwasababu kile kidogo unachopata kinatumika vizuri na mukawe kujieka vijisent kesho mukajikuta mumefanya cha maana pia atakupa ushaur.au uoe mwanamke kazi yake iwe ni stareh mwanzo mwisho na kile kinachopatikana akajenge kwao.nk
 
hahaha hatujawahi kumwona shetani ila visa vyake vinatupa picha tunaimagine hata kwako pia lol
Hahaaaaa! At first i was HURT but now i am OFFENDED! I might not be so comforting but let you not forget that I STILL HAVE A SOUL TOO!
 
Mmmmh mi ngoja nipite kimya kimya cc Eli79
 
Last edited by a moderator:
ndoa pia ni sehemu ya mafanikio, so kuoa na mafanikio vina uhusiano mkubwa sana....
 
Back
Top Bottom