Uhusiano wa Lowassa na Kikwete na hatma ya CCM

Uhusiano wa Lowassa na Kikwete na hatma ya CCM

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,346
Reaction score
9,846
Wadau naandika makala juu ya Uhusiano wa Lowasa,kikwete na hatma ya CCM.

Naomba mawazo jinsi ya kuweka kichwa cha habari!
Ni hilo tu!
 
Lowassa alishamwaga JK kitambo tangu agundue jamaa ni snitch, hadi leo hii daily JK huwa anamtafuta EL kwa simu ila EL huwa anazipotezea!
 
lowassa alishamwaga jk kitambo tangu agundue jamaa ni snitch, hadi leo hii daily jk huwa anamtafuta el kwa simu ila el huwa anazipotezea!

Nashukuru kwa taarifa,naomba kichwa cha habari!
 
Kichwa cha habari chafaa kiwe UNAFIKI ULIVYOVUNJA URAFIKI WA LOWASSA NA JK.
Sababu Lowassa alimpenda,kumuamini na kujitolea kumsaidia rafiki yake lakini rafiki akamtenda na kumdhalilisha.
Lakini Mungu mkubwa,leo hii Lowassa anaonekana shujaa na mfano wa kuigwa tofauti na mwenzie.
 
Kikwete anampigia lowasa kampein,au Lowasa na Kikwete bado wana uhusiano,au ni ipi kauli ya Kikwete kuhusu Lowasa
 
Hawa jamaa walikuwa marafiki wazurii ila mmoja ni kigeu geu hata ningekuwa mm nisingekubali etiii mtu akikutukana anapewa cheo.. Kwakweli inauma sana jamani naye ana moyo wa nyama siyo wa chuma..
 
Ugomvi Wa Lowassa Na Kikwete Ulianza Pale Lowassa Alipoteuliwa Tu Kuwa Pm Akaanza Kuwadanganya Kila Masha, Nchimbi, Na Wakuu Wa Mikoa Kuwa Ndo Kawapgia Chapuo Kupata Nafasi Hzo Maana Kikwete Alikuwa Kagoma, Kumbe Ni Muhongo, L Akauchuna Akamsubiria Kummaliza Na Kammalza Kweli, Kichwa Kiwe Hivi (i Might Be Wearing A Smile But Firm On Serious Issues About Pm)
 
Wadau naandika makala juu ya Uhusiano wa Lowasa,kikwete na hatma ya CCM.

Naomba mawazo jinsi ya kuweka kichwa cha habari!
Ni hilo tu!
Kichwa cha habari kinyoe wewe mwenyewe kwa sababu unaujua huo undani wa mahusiano kati ya lowassa na kikwete.
 
Mwandishi ndiye anayefahamu maudhui ya habari/makala yake. Heading yoyote itakayosadifu maudhui tutaipokea jamvini na kusoma yaliyomo.
 
Hawakukutana barabarani, lakini wamebwagana barabarani!.
 
lowassa alishamwaga jk kitambo tangu agundue jamaa ni snitch, hadi leo hii daily jk huwa anamtafuta el kwa simu ila el huwa anazipotezea!

Mmh,, Si miezi miwili tu iliyopita Lowassa amedai JK ni rafiki yake hata wakati JK alikuwa anasema wazi kuwa chama kitawakata mafisadi? Lowassa huyu huyu si ndo alikua akifanya juu chini kupiga picha na JK????.

Ukweli ni kuwa hadi Lowassa anajiuzulu uwaziri mkuu,hawa jamaa walikua bado marafiki.

Tatizo likaja kwenye mkutano mkuu wa CCM wakati Lowassa alipotaka kumpindua JK kutoka nafasi ya mwenyekiti wa chama..
hapo ndo JK alipoanza kujiweka mbali na Lowassa.
 
Back
Top Bottom