Uhusiano wa Chagga na Kikuyu

Uhusiano wa Chagga na Kikuyu

Rais hawezi kutoka si kwa wanaojiita wachaga tu bali kaskazini nzima haitakuwa na rais. Labda marais wa Civil Society's tu kama vyama vya siasa na NGO nyingine.

Wataishia kugombea tu. Maana wanaongoza kwa kutoa wagombea wengi zaidi wa urais kwa nchi hii
Mpaka sasa ni makabila matano pekee Tanzania ndiyo yametoa maraisi.. Tanzania kuna makabila zaidi ya 120..
 
 
Umeandika maneno mengi lkn ni kwamba unazunguka pale pale tu kama wenzako, tuanze taratibu, ni nini maana ya Kabila? Hayo mambo yote ulioyataja yapo kwa baadhi ya wanaoitwa Wapare pia hata ukivuka boda upande wa Kenya kuna watu wanaitwa Wataita wana hayo yote uliyoyataja hata lugha wanaingiliana na wanaoitwa Wachaga TZ mbona hawaitwi kabila la Wachaga?

Hivyo tuanzie hapo niambie maana ya Kabila kwanza!
Povu LA bure tu.kama kabila lako Lina majina ya uroki urasa Kimario swai shirima Njau yakiwa na maana moja basi na ww ni mchaga maana mila itakuwa moja
 
Umeulizwa swali hapo juu, labda ndo unalijibu. Nijibu kwa ufupi kabisa, bila mboyoyo.

1. Mchaga ni nani?
2. Luga ya kichaga ni ipi?
Mchaga ni MTU mwenye asili ya maeneo ya uchagani huko mkoani Kilimanjaro ukitoa maeneo ya upareni the rest ni chaggaland
 
Rais hawezi kutoka si kwa wanaojiita wachaga tu bali kaskazini nzima haitakuwa na rais. Labda marais wa Civil Society's tu kama vyama vya siasa na NGO nyingine.

Wataishia kugombea tu. Maana wanaongoza kwa kutoa wagombea wengi zaidi wa urais kwa nchi hii
Na akitokea huko utaenda wapi?
 
Kitu kilichopo apa Africa Mashariki. Kuna kundi la Wakenya wanajalibu kufanya juu chini kuwaunganisha watanzania katika maliasili yetu. Sasa ukisikia changanya na ya kwako..
Kwa taarifa ndogo ukubwa wa Tanzania ni sawa na ujumlishe Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na eneo la ukubwa wa kilometers za mraba 67,000. Sasa ukisikia maneno ya kuadaika inakuwa aisaiidii, kumbuke aya ya kuungana ni faida kwa mataifa makubwa yanayogeuza soko apa kwetu
 
Back
Top Bottom