nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,901
- 14,611
Kutokana na Ramani ya Afrika ku fitinishwa mwaka 1884-1885,kuna Fitna baridi iliwekwa makusudi ili kukidhi VIU vya maharamia waliohusika katika mambo hayo.
Bila kujijua na kuendelea kuabudu fikra za maharamia hao bado tunaendelea kufuata mipaka waliyotuwekea kwa sababu zao.
Kwa mfano wamakonde wapo Tz na pia wapo Mzqe Je mpaka pale ulitakiwa uwe wapi? Hata hili sakata la Ziwa nyasa chanzo ni kuendelea kuabudu mipaka iliyowekwa na wale wezi zama hizo.
Angalia wamasai wapo Kenya na wapo TZz, kama hiyo haitoshi cheki wajaluo:Wanyambo je? hawasikilizani na wanyarwanda na wabaganda? Pia waha na watu wa fasi ya Kongo kina papaa wanasikilizana bila shaka.Pande za Mkoa wa Rukwa na Zambia huelewana bila taabu.
Wameru wapo kenya na Tanzania na wanasikilizana vizuri sana WaChagga katika maongezi yao kuna vitu husikilizana na vichache hutofautiana kutokana na kwamba wewe ni Mchagga wa wapi,kwa mfanno mRombo au mMachame Vivyo hivyo wa KIkuyu ni jamii hii hii ya wa Chagga,mbali na lugha kuzikilizana hata mambo yao ya kiasili kwa mfano ndoa zao,taratibu za ndoa zao ni zilezile za wa Chagga jaribu kufuatilia Star Tv(kwenye kipindi cha bridal blah blah).
Je ni lini Afrika itaweka tofauti zao pembeni na kuamua kuungana kuwa nchi moja?
Search Results
Bob Marley- Africa Unite (live) - YouTube
Bila kujijua na kuendelea kuabudu fikra za maharamia hao bado tunaendelea kufuata mipaka waliyotuwekea kwa sababu zao.
Kwa mfano wamakonde wapo Tz na pia wapo Mzqe Je mpaka pale ulitakiwa uwe wapi? Hata hili sakata la Ziwa nyasa chanzo ni kuendelea kuabudu mipaka iliyowekwa na wale wezi zama hizo.
Angalia wamasai wapo Kenya na wapo TZz, kama hiyo haitoshi cheki wajaluo:Wanyambo je? hawasikilizani na wanyarwanda na wabaganda? Pia waha na watu wa fasi ya Kongo kina papaa wanasikilizana bila shaka.Pande za Mkoa wa Rukwa na Zambia huelewana bila taabu.
Wameru wapo kenya na Tanzania na wanasikilizana vizuri sana WaChagga katika maongezi yao kuna vitu husikilizana na vichache hutofautiana kutokana na kwamba wewe ni Mchagga wa wapi,kwa mfanno mRombo au mMachame Vivyo hivyo wa KIkuyu ni jamii hii hii ya wa Chagga,mbali na lugha kuzikilizana hata mambo yao ya kiasili kwa mfano ndoa zao,taratibu za ndoa zao ni zilezile za wa Chagga jaribu kufuatilia Star Tv(kwenye kipindi cha bridal blah blah).
Je ni lini Afrika itaweka tofauti zao pembeni na kuamua kuungana kuwa nchi moja?
Search Results
Bob Marley- Africa Unite (live) - YouTube