Uhusiano na mwanamke "classy"

Uhusiano na mwanamke "classy"

Mwanamke classy ni ambaye
-Anajiheshimu na kuheshimu wengine.
-Responsible for her actions and herself (anajitunza, anajipenda etc)
-Independent (uwepo usiwepo maisha kwake yanaenda tu)
-Smart ( unaweza ukaongea nae maswala ya siasa, technology, michezo, uchumi na mkaelewana because she tries to keep herself updated with current affairs.
-Confident (Anajitambua, hana wivu wa kitoto..)
-Ana lugha ya ukarimu/upole (hamna kelele na matusi kila saa)
-Fun and funny (huwezi kuboreka ukiwa naye)
-Mature (anajua kuhandle situations kama mtu mzima sio kulialia tu)

Sasa wenye sifa hizo mbona wote wameshaolewa.. Unaanzaje mkwepa mke kama huyo.
 
Sasa wenye sifa hizo mbona wote wameshaolewa.. Unaanzaje mkwepa mke kama huyo.
Muanzisha uzi anaona classy ni kuwa na elimu na kipato cha juu. Hao wasomi wasioolewa sio "classy" Ni wanawake tu ambao wamefanikiwa kimaisha lakini kuna vitu wanakosa. Na hao ndio ambao hawaolewi. Hayo niliyoorodhesha nilikua natoa jibu kwa aliyeuliza mwanamke classy yukoje.
 
Mkuu Mwelewa, I guess wewe ni mwanamke ambae unajihisi ni ''classy'' !

naona you trying kujipa faraja na kujiweka kwenye comfort zone. Ofcoz I agree with you to some extent kwamba katika maisha kila mtu ana priorities zake regarding kimaendeleo ama kujipa furaha! LIFE has a lot of options. That's why kuna watu wanakaribia uzee bila kuoa/kuolewa and they are happy in their lives.

Na nilichokuja kujifunza mimi binafsi ni kwamba, katika Maisha... indicators za 'FURAHA' zina-vary from person to person.
Halafu wanasema ''Life is what you make''
 
Furaha ya Mwanadamu iko kwenye kuishi kwa wema,Ndoa ni jambo jema ambalo lilianza kwa Adam na Hawa..Hakika ya dunia ni starehe..na starehe iliyobora kumpata Mwanamke Mwema.
 
Well, kabla ya yote napenda kusema naandika thread hii kwasababu ya mada nyingine iliyoanzishwa hapa MMU ikikosoa wanawake classy eti wao hawaolewi kwasababu ya tabia zao tofauti ambazo bila shaka zinawatisha hao wakosoaji.

Hapa swali la kwanza kujiuliza ni je,... ndoa/harusi ni moja ya priority ya mwanamke classy? Sasa hivi opinion kuhusu kuolewa na masuala yote ya ndoa yamebadilika sana na inaonyesha kadiri mwanamke anavyozidi ku-advance kielimu na kifedha hupendelea zaidi kupata kilicho bora na hapa huja suala la mwanaume yupi atamfaa na si mwanamme yoyote yule hata kama umri unaenda.

Kwani ndoa ni nini hata ionekane mwanamke fulani si mkamilifu kisa hana mume?

Huko katika maskani za watu maskini hasa mijini, wanawake classy husemwa vibaya kwasababu ya maisha waliyochagua. Wanasemwa hawaolewi kwasababu wanachagua saaaaana mwisho hujikuta umri umeenda. Lakini hao wanawake classy wao huwaza tofauti kabisa kuhusu dhana ya umri. Wao huwaoni umri kama kigezo cha kujitupa kwa mwanaume yoyote tu.

Nyie mnaopinga lifestyle ya wanawake classy hamuekewi kitu kimoja kuwa wanawake classy hutegemea mambo makubwa toka kwa mtu atakaye date naye. Hapa si pesa tu.......wanawake classy wanavutiwa pia na mwanaume anayeishi kibunifu sio mambo yale yale daily......its boring man.

Mwisho, kama unapenda kuwa na mwanamke classy acha kuwaza mabaya kuwahusu kwasababu haisaidii lolote.....jambo la msingi acha kuishi maisha kimazoea kuwa mbunifu kwasababu hapo ndipo chanzo cha attraction.....yani utakuwa na mvuto kwao si kulalamika na kuwatusi.

One Love.

Certainly u are one of them
 
wanawake km hawa almost wana common behaviour sio tu kwamba wanachagua watu wanaofanana nao, kiuwezo na mafanikio.

Mwanamke ni mwanamke tu haijalishi kigezo ilimradi tu awe napapuchi na mwanamme atakuwa mwanamme mpaka hii dunia itakwisha ili mradi awe rijali haswa

kwenye mapenzi akuna vyeo kijana wala formular , sheria na ndomana huku mtaani kila leo wanawake wa aina hiyo hata wakiolewa hawadumu wanaachwa.
 
Mwelewa

una advance kifedha, kielimu kimaisha then what? the ugly truth ni kua bila ya familia huwezi pata furaha maishani, na familia haiwi bila ya ndoa, Upigwe mdushelele uzae maisha yaende.
Vinginevyo utamaliza kuhangaika mahospitalini kwa matatizo ya tumbo, mara siku haziji vizuri, mara tumbo linauma sana, mara ooh damu zinatoka nyingi.
Hayo ni maumbile mungu ndo amepanga vinginevyo ni kunywa maji ya bahari kwa kutegemea kukata kiu....:bump2:
Hapo umeongea hakuna cha classy wala sijui nini mwanamke ni mwanamke tu..acha mambo ya ku copy copy huko ndio maana ndoa za siku hizi hata hazikai kwa sababu ya huo u class siuji upu...zi gani mwingine.Tatizo umezaliwa kama mwanaume na hujielewi kwa nini umekuwa mwanaume,pili wadada nao hawajitambui kwa nn wamekuwa wanawake.Ukichanganya na hivi vielimu kama cha huyo "classy"Ndio mvurugano,kama uliamua kuwa na mwanaume na ukatawanya miguu yako miwli kushoto kulia baaasi amua kujituliza na si mashauzi...tia mashauzi unatiwa mashauzi...msidanganyike wanume waliokamili hawana mbwembwe ambazo wengi wanafikiria.
 
Hapo umeongea hakuna cha classy wala sijui nini mwanamke ni mwanamke tu..acha mambo ya ku copy copy huko ndio maana ndoa za siku hizi hata hazikai kwa sababu ya huo u class siuji upu...zi gani mwingine.Tatizo umezaliwa kama mwanaume na hujielewi kwa nini umekuwa mwanaume,pili wadada nao hawajitambui kwa nn wamekuwa wanawake.Ukichanganya na hivi vielimu kama cha huyo "classy"Ndio mvurugano,kama uliamua kuwa na mwanaume na ukatawanya miguu yako miwli kushoto kulia baaasi amua kujituliza na si mashauzi...tia mashauzi unatiwa mashauzi...msidanganyike wanume waliokamili hawana mbwembwe ambazo wengi wanafikiria.

Wewe acha hizo.....mwanamke si mwanamke tu na mwanaume si mwanaume tu.
 
Lakini hao wanawake classy wao huwaza tofauti kabisa kuhusu dhana ya umri. Wao huwaoni umri kama kigezo cha kujitupa kwa mwanaume yoyote tu.

​we endelea kuwadanganya wenzio ila muda ukifika ndio mtajua kuwa menopause sio ugonjwa wa meno!
 
Back
Top Bottom