Uhusiano na mwanamke "classy"

Uhusiano na mwanamke "classy"

Mwelewa

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
2,343
Reaction score
3,286
Well, kabla ya yote napenda kusema naandika thread hii kwasababu ya mada nyingine iliyoanzishwa hapa MMU ikikosoa wanawake classy eti wao hawaolewi kwasababu ya tabia zao tofauti ambazo bila shaka zinawatisha hao wakosoaji.

Hapa swali la kwanza kujiuliza ni je,... ndoa/harusi ni moja ya priority ya mwanamke classy? Sasa hivi opinion kuhusu kuolewa na masuala yote ya ndoa yamebadilika sana na inaonyesha kadiri mwanamke anavyozidi ku-advance kielimu na kifedha hupendelea zaidi kupata kilicho bora na hapa huja suala la mwanaume yupi atamfaa na si mwanamme yoyote yule hata kama umri unaenda.

Kwani ndoa ni nini hata ionekane mwanamke fulani si mkamilifu kisa hana mume?

Huko katika maskani za watu maskini hasa mijini, wanawake classy husemwa vibaya kwasababu ya maisha waliyochagua. Wanasemwa hawaolewi kwasababu wanachagua saaaaana mwisho hujikuta umri umeenda. Lakini hao wanawake classy wao huwaza tofauti kabisa kuhusu dhana ya umri. Wao huwaoni umri kama kigezo cha kujitupa kwa mwanaume yoyote tu.

Nyie mnaopinga lifestyle ya wanawake classy hamuekewi kitu kimoja kuwa wanawake classy hutegemea mambo makubwa toka kwa mtu atakaye date naye. Hapa si pesa tu.......wanawake classy wanavutiwa pia na mwanaume anayeishi kibunifu sio mambo yale yale daily......its boring man.

Mwisho, kama unapenda kuwa na mwanamke classy acha kuwaza mabaya kuwahusu kwasababu haisaidii lolote.....jambo la msingi acha kuishi maisha kimazoea kuwa mbunifu kwasababu hapo ndipo chanzo cha attraction.....yani utakuwa na mvuto kwao si kulalamika na kuwatusi.

One Love.
 
Nilitegemea hilo swali......japo kwa upande mwingine ni rahisi kunielewa namzungumzia yupi.

Mwanamke "classy" ninayemzungumzia hapa ni yule aliyejijenga kielimu na kifedha na mwenye mtazamo wa hii kitu tunaita "feminism".

Mfano mzuri ni Chimamanda Ngozi Adiech. Huyu ni Nigerian author na feminist. Idea zake na lifestyle yake ina reflect mawazo yangu.

Je mmeelewa wadau wawili mlio uliza hapo mwanzo.
 
Nilitegemea hilo swali......japo kwa upande mwingine ni rahisi kunielewa namzungumzia yupi.

Mwanamke "classy" ninayemzungumzia hapa ni yule aliyejijenga kielimu na kifedha na mwenye mtazamo wa hii kitu tunaita "feminism".

Mfano mzuri ni Chimamanda Ngozi Adiech. Huyu ni Nigerian author na feminist. Idea zake na lifestyle yake ina reflect mawazo yangu.

Je mmeelewa wadau wawili mlio uliza hapo mwanzo.

Mkuu em tutajie wabongo walau wawili tu then tuendelee.
 
mhhhh ao niwaoga wa maisha na wengi wao hua wanakua na sura ngumuuu so wanajificha kweny mwamvuli wakusoma na wamejijenga,,,hua wanapenda one night stand,,,kimsing they are boring
 
😀😀😀😀😀😀😀😁😁
 
Idimi na data

Nikikutajia baadhi ya majina ya wanawake wa hapa Tz ambao nawaona ni "classy women" je utaelewa sifa zao?

Well, labda kati yao ni hawa.......Modesta Mahiga, Maria Sarungi na Irene Kiwia.

Vipi hapo umeng'amua lolote maana nimekueleza kuhusu Chimamanda and you don't seem to know her.
 
Bongo classy....!! Ni rare, almost the same sioni tofauti kubwa.
 
Mwelewa

una advance kifedha, kielimu kimaisha then what? the ugly truth ni kua bila ya familia huwezi pata furaha maishani, na familia haiwi bila ya ndoa, Upigwe mdushelele uzae maisha yaende.
Vinginevyo utamaliza kuhangaika mahospitalini kwa matatizo ya tumbo, mara siku haziji vizuri, mara tumbo linauma sana, mara ooh damu zinatoka nyingi.
Hayo ni maumbile mungu ndo amepanga vinginevyo ni kunywa maji ya bahari kwa kutegemea kukata kiu....:bump2:
 
Last edited by a moderator:
mhhhh ao niwaoga wa maisha na wengi wao hua wanakua na sura ngumuuu so wanajificha kweny mwamvuli wakusoma na wamejijenga,,,hua wanapenda one night stand,,,kimsing they are boring

Sio kweli.....wanaume wengi huwaogopa na kuwahofia kwasababu wanaume hao wanajua hawana sifa za kuwa nao.
 
Vipaumbele vya mwanadamu vinabadilika na lifestyle, kipato na elimu.
Dunia ya leo kuna baadhi ya watu wanaona ndoa sio kipaumbele tena.
 
Mwelewa

una advance kifedha, kielimu kimaisha then what? the ugly truth ni kua bila ya familia huwezi pata furaha maishani, na familia haiwi bila ya ndoa, Upigwe mdushelele uzae maisha yaende.
Vinginevyo utamaliza kuhangaika mahospitalini kwa matatizo ya tumbo, mara siku haziji vizuri, mara tumbo linauma sana, mara ooh damu zinatoka nyingi.
Hayo ni maumbile mungu ndo amepanga vinginevyo ni kunywa maji ya bahari kwa kutegemea kukata kiu....:bump2:

Watawa na makasisi hawana furaha maishani mwao?
 
Last edited by a moderator:
Vipaumbele vya mwanadamu vinabadilika na lifestyle, kipato na elimu.
Dunia ya leo kuna baadhi ya watu wanaona ndoa sio kipaumbele tena.

Nakubaliana na wewe.....mambo mengi yanabadikika sana kipindi hiki na suala la ndoa nalo linabadilika.
 
Mwelewa

una advance kifedha, kielimu kimaisha then what? the ugly truth ni kua bila ya familia huwezi pata furaha maishani, na familia haiwi bila ya ndoa, Upigwe mdushelele uzae maisha yaende.
Vinginevyo utamaliza kuhangaika mahospitalini kwa matatizo ya tumbo, mara siku haziji vizuri, mara tumbo linauma sana, mara ooh damu zinatoka nyingi.
Hayo ni maumbile mungu ndo amepanga vinginevyo ni kunywa maji ya bahari kwa kutegemea kukata kiu....:bump2:[/QUOTE

Kuwa na family si kazima ndoa. Wangapi wanafamilia na hawakuwahi kufunga ndoa?
 
Last edited by a moderator:
Mwelewa

una advance kifedha, kielimu kimaisha then what? the ugly truth ni kua bila ya familia huwezi pata furaha maishani, na familia haiwi bila ya ndoa, Upigwe mdushelele uzae maisha yaende.
Vinginevyo utamaliza kuhangaika mahospitalini kwa matatizo ya tumbo, mara siku haziji vizuri, mara tumbo linauma sana, mara ooh damu zinatoka nyingi.
Hayo ni maumbile mungu ndo amepanga vinginevyo ni kunywa maji ya bahari kwa kutegemea kukata kiu....:bump2:
Mna complicate maisha. Ndoa sio kila kitu. Furaha haipatikani kwenye ndoa peke yake. Na asikwambie mtu...wenye ndoa wana stress zaidi kuliko wasiokuwa nazo. Tukisema hapa walio kwenye ndoa na wana Furaha wanyooshe mikono, Kati ya Mia utapata watano.

Sikatai pia zipo ndoa ambazo wapo paradise.
Ni mtazamo tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom