Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,286
Well, kabla ya yote napenda kusema naandika thread hii kwasababu ya mada nyingine iliyoanzishwa hapa MMU ikikosoa wanawake classy eti wao hawaolewi kwasababu ya tabia zao tofauti ambazo bila shaka zinawatisha hao wakosoaji.
Hapa swali la kwanza kujiuliza ni je,... ndoa/harusi ni moja ya priority ya mwanamke classy? Sasa hivi opinion kuhusu kuolewa na masuala yote ya ndoa yamebadilika sana na inaonyesha kadiri mwanamke anavyozidi ku-advance kielimu na kifedha hupendelea zaidi kupata kilicho bora na hapa huja suala la mwanaume yupi atamfaa na si mwanamme yoyote yule hata kama umri unaenda.
Kwani ndoa ni nini hata ionekane mwanamke fulani si mkamilifu kisa hana mume?
Huko katika maskani za watu maskini hasa mijini, wanawake classy husemwa vibaya kwasababu ya maisha waliyochagua. Wanasemwa hawaolewi kwasababu wanachagua saaaaana mwisho hujikuta umri umeenda. Lakini hao wanawake classy wao huwaza tofauti kabisa kuhusu dhana ya umri. Wao huwaoni umri kama kigezo cha kujitupa kwa mwanaume yoyote tu.
Nyie mnaopinga lifestyle ya wanawake classy hamuekewi kitu kimoja kuwa wanawake classy hutegemea mambo makubwa toka kwa mtu atakaye date naye. Hapa si pesa tu.......wanawake classy wanavutiwa pia na mwanaume anayeishi kibunifu sio mambo yale yale daily......its boring man.
Mwisho, kama unapenda kuwa na mwanamke classy acha kuwaza mabaya kuwahusu kwasababu haisaidii lolote.....jambo la msingi acha kuishi maisha kimazoea kuwa mbunifu kwasababu hapo ndipo chanzo cha attraction.....yani utakuwa na mvuto kwao si kulalamika na kuwatusi.
One Love.
Hapa swali la kwanza kujiuliza ni je,... ndoa/harusi ni moja ya priority ya mwanamke classy? Sasa hivi opinion kuhusu kuolewa na masuala yote ya ndoa yamebadilika sana na inaonyesha kadiri mwanamke anavyozidi ku-advance kielimu na kifedha hupendelea zaidi kupata kilicho bora na hapa huja suala la mwanaume yupi atamfaa na si mwanamme yoyote yule hata kama umri unaenda.
Kwani ndoa ni nini hata ionekane mwanamke fulani si mkamilifu kisa hana mume?
Huko katika maskani za watu maskini hasa mijini, wanawake classy husemwa vibaya kwasababu ya maisha waliyochagua. Wanasemwa hawaolewi kwasababu wanachagua saaaaana mwisho hujikuta umri umeenda. Lakini hao wanawake classy wao huwaza tofauti kabisa kuhusu dhana ya umri. Wao huwaoni umri kama kigezo cha kujitupa kwa mwanaume yoyote tu.
Nyie mnaopinga lifestyle ya wanawake classy hamuekewi kitu kimoja kuwa wanawake classy hutegemea mambo makubwa toka kwa mtu atakaye date naye. Hapa si pesa tu.......wanawake classy wanavutiwa pia na mwanaume anayeishi kibunifu sio mambo yale yale daily......its boring man.
Mwisho, kama unapenda kuwa na mwanamke classy acha kuwaza mabaya kuwahusu kwasababu haisaidii lolote.....jambo la msingi acha kuishi maisha kimazoea kuwa mbunifu kwasababu hapo ndipo chanzo cha attraction.....yani utakuwa na mvuto kwao si kulalamika na kuwatusi.
One Love.