Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,965
- 4,052
Pombe huondoa aibu hata mkweo mkiwa mmepombeka wote mkawa mazingira tata kidogo anaweza kuuchezea
Ulevi unaomaanishwa hapa sio ule wa kuzima!. Hapa tunaamisha kama ni safari piaga 5! Kama nyagi piga kasichana! Na kana hizi light beer piga kama 5-8!... wine piga chupa 1 inategemea na aina ya wine!!!Sizani kwa upande wangu hua ni tofauti nikiwa vyombo sina hamu ya Ngono hata sishituki
Nijuavyo mimi kwanza inategemeana na aina ya pombe unayokunywa kwa kuwa kila pombe ina kemikali tofauti na nyingine na kila kemikali ina function tofauti na madhara tofauti.WAKUU NIMEWAHI KUSKIA MARA KADHAA KUWA MWANAMKE/MWANAUME AKIPIGA KILAJI (POMBE) HUWA ANAPATA ASHKI YA NGONO, JE HII INA UKWELI WOWOTE? KAMA INA UKWELI, JE NI NINI KINATOKEA AS A REACTION IN A BODY AMBACHO KINASABABISHA HALI HIYO?
Right joanahSio kweli kabisa
Anakua nazo tu kabla hajanywa pombe sema akinywa aibu zinamtoka na kuonesha hisia zake wazi wazi