Uhusiano kati ya Janaba na Mikosi

Uhusiano kati ya Janaba na Mikosi

Bujibuji janaba haihusiani na kungonoka, janaba inahusika na kujitakasa kabla hujafanya ibada
Kinacholeta mkosi ni mtu mwenyewe kwakuwa kuna watu wanatembea na mikosi yao, hata uogee Jik na magadi Kama huyo mtu ana kimavi utaisoma
Ishu ya kuharibu mtoto inatokana na kuleta joto Jipya kwenye mwili wako tofauti na la mamake(hii ni mada ndefu)
Lakini pia tendo la ngono ni tendo la kinyama lenye MAHUSIANO ya moja kwa moja na shetani na kuzimu ndio maana linahusishwa saana na janaba
mshana jr Hiyo ya kujitakasa kabla ya ibada si ni Udhu?
 
Last edited by a moderator:
Sasa ntakwambia.....niliwahi kufanya uzinzi mahali sikujiswafi nikapata ugonjwa.Nilipomuuliza na kufuatilia yule mwenza hakuwa na gonjwa hilo.Tuache uzinzi kuna adhabu za hapa hapa.
 
Bujibuji janaba haihusiani na kungonoka, janaba inahusika na kujitakasa kabla hujafanya ibada
Kinacholeta mkosi ni mtu mwenyewe kwakuwa kuna watu wanatembea na mikosi yao, hata uogee Jik na magadi Kama huyo mtu ana kimavi utaisoma
Ishu ya kuharibu mtoto inatokana na kuleta joto Jipya kwenye mwili wako tofauti na la mamake(hii ni mada ndefu)
Lakini pia tendo la ngono ni tendo la kinyama lenye MAHUSIANO ya moja kwa moja na shetani na kuzimu ndio maana linahusishwa saana na janaba

hebu tuandalie somo LA kubemenda..... maana tunadanganyana Sana uswazi
 
Last edited by a moderator:
hebu tuandalie somo LA kubemenda..... maana tunadanganyana Sana uswazi

Nilishawahi kuliweka kule MMU lakini likapata upinzani Sana, watetezi wakisema hakuna mahusiano yeyote labda tulirudie tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom