rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,715
Janaba baya sana, hasa kwa wapanda dala dala na watembea kwa miguu
Mmh! kwanini?
Janaba baya sana, hasa kwa wapanda dala dala na watembea kwa miguu
Yanga Connection.
Jamani Mzizi mkavu Yuko wapi? Aje ajibu hili swali namtamania yeye aje ajibu....
Mmh! kwanini?
Mimi mkuu sijajua maana ya janaba ila kwa mambo ya kiimani kuna connection kati ya kulala na mtu na kuwa na mikosi. Kiimani ni kua mtu unapolala na mwanamke maana yake umekua mwili mmoja, mumeunganika katika ulimwengu wa kiroho. Watu wengi hua hatufualitii chanzo cha mabalaa katika maisha. Ulizia watu wengi wanakuambia toka nilale na mwanamke fulani mambo yangu hayanyooki kabisa, kila nifanyacho hakifanikiwi. Kwa hio kuna connection katika ulimwengu wa roho juu ya mikosi na kulala na mwanamke but sio wote.
Kama wewe ni muumini wa dini fuatilia sana mapepo ya wanawake hasa yanapotolewa then yakaulizwa yamefanya nini. Utasikia yanakua kwa wanawake makusudi ili kuaribu destiny za watu. Kuna wanawake ukiwaangalia tu from no where unavutwa kama sumaku. Sasa wanawake wenye hayo mapepo ukilala nae tu, tegemea mikosi. Nachokifahamu kiimani ni hivyo kuna clear connection kati ya mikosi na kulala na mwanamke tena ishu sio kujiswafi baada ya tendo. Pengine ujiswafi katika ulimwengu wa roho pia.
Bujibuji janaba haihusiani na kungonoka, janaba inahusika na kujitakasa kabla hujafanya ibadaNajiuliza sipati jibu. Je Hii kitu janaba ambayo sijui kwa Kiingereza inaitwaje Ina uhusiano gani na mikosi.
Jamaa alitoka kufanya mapenzi gesti, hakuoga, alipofika kwake akajikuta Hana wallet ambayo ilikuwa na Pesa, kadi za bank, vitambulisho muhimu na kadi ya kura. Aliporudi gesti akakuta kile chum a wameshaingia wazinzi wengine.
Gilbiz alikuwa anamshughulikia Chausiku Kwenye Gari, walipomaliza hawakunawa wala kujiosha, alipopaki Gari akakuta limevunjwa kioo kidogo na kuibiwa vifaa Vya ndani.
Nasra alikamatwa na Polisi akinjunji Kwenye Gari, mvulana aliyekuwa naye alikurupuka na kukimbia akimwacha Nasra na msala. Manjagu walimkomba Nasra hela zote na kesho yake alipofika kazini ma auditor waligundua kuna procedures alikuwa hazifuati Mwajiri wake akamtimua.
Jamani Hivi haya Matukio Yanga connection yoyote na janaba au yametokea tu?
Wajuzi wa dini na taratibu za maisha ya kimahusiano naombeni maoni yenu