Uhusiano kati ya Janaba na Mikosi

Uhusiano kati ya Janaba na Mikosi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,433
Najiuliza sipati jibu. Je Hii kitu janaba ambayo sijui kwa Kiingereza inaitwaje Ina uhusiano gani na mikosi.
Jamaa alitoka kufanya mapenzi gesti, hakuoga, alipofika kwake akajikuta Hana wallet ambayo ilikuwa na Pesa, kadi za bank, vitambulisho muhimu na kadi ya kura. Aliporudi gesti akakuta kile chum a wameshaingia wazinzi wengine.

Gilbiz alikuwa anamshughulikia Chausiku Kwenye Gari, walipomaliza hawakunawa wala kujiosha, alipopaki Gari akakuta limevunjwa kioo kidogo na kuibiwa vifaa Vya ndani.

Nasra alikamatwa na Polisi akinjunji Kwenye Gari, mvulana aliyekuwa naye alikurupuka na kukimbia akimwacha Nasra na msala. Manjagu walimkomba Nasra hela zote na kesho yake alipofika kazini ma auditor waligundua kuna procedures alikuwa hazifuati Mwajiri wake akamtimua.

Jamani Hivi haya Matukio Yanga connection yoyote na janaba au yametokea tu?
Wajuzi wa dini na taratibu za maisha ya kimahusiano naombeni maoni yenu
 
Last edited by a moderator:
Hakukoga janaba akakumbwa na jini....msemo wa waswahili
 
Afu Bujibuji unafanya mapenzi unatoka guest mpaka home bila hata kujiswafi aise wacha balaa zikukute
Hata kama ni kwenye gari hata maji huna ujioshe uondoe ule uchafu unavaa hivyo hivyo na harufu na uchafu ule
 
Last edited by a moderator:
Afu Bujibuji unafanya mapenzi unatoka guest mpaka home bila hata kujiswafi aise wacha balaa zikukute
Hata kama ni kwenye gari hata maji huna ujioshe uondoe ule uchafu unavaa hivyo hivyo na harufu na uchafu ule

Mr Rocky ndugu yangu umeadimika Sana. Niiangalia sinema ya Rambo Huwa nakukumbuka sana
 
Last edited by a moderator:
mi nikiwa na hiyo so called janaba ndio napata pesa ile mbaya!
 
Mr Rocky ndugu yangu umeadimika Sana. Niiangalia sinema ya Rambo Huwa nakukumbuka sana


Nipo mkuu Bujibuji
Huku bana kwa sasa ni siasa tupu zimejaa huko ukiingia unakutana na siasa na kampeni tuu huoni hata cha kusoma au kujibu
Hao watu ni wachafu mkuu Bujibuji maana kwenye hizo mambo unatakiwa uwe hata na maji ya kujiswafi kurudishia nguo kwenye mwili ambao haujaonja maji wakati umetoka kwenye sex ni uchafu bana
 
Last edited by a moderator:
Mmmh!
Ngoja nikamuulize somo yangu.
 
nilichokusudia kuandika kimenitoka ntarudi nikikumbuka
 
Najiuliza sipati jibu. Je Hii kitu janaba ambayo sijui kwa Kiingereza inaitwaje Ina uhusiano gani na mikosi.
Jamaa alitoka kufanya mapenzi gesti, hakuoga, alipofika kwake akajikuta Hana wallet ambayo ilikuwa na Pesa, kadi za bank, vitambulisho muhimu na kadi ya kura. Aliporudi gesti akakuta kile chum a wameshaingia wazinzi wengine.

Gilbiz alikuwa anamshughulikia Chausiku Kwenye Gari, walipomaliza hawakunawa wala kujiosha, alipopaki Gari akakuta limevunjwa kioo kidogo na kuibiwa vifaa Vya ndani.

Nasra alikamatwa na Polisi akinjunji Kwenye Gari, mvulana aliyekuwa naye alikurupuka na kukimbia akimwacha Nasra na msala. Manjagu walimkomba Nasra hela zote na kesho yake alipofika kazini ma auditor waligundua kuna procedures alikuwa hazifuati Mwajiri wake akamtimua.

Jamani Hivi haya Matukio Yanga connection yoyote na janaba au yametokea tu?
Wajuzi wa dini na taratibu za maisha ya kimahusiano naombeni maoni yenu

!!!!!!!!!!!!!!!????????

.................... Ask yourself.............
 
Last edited by a moderator:
Janaba baya sana, hasa kwa wapanda dala dala na watembea kwa miguu
 
Jamani Mzizi mkavu Yuko wapi? Aje ajibu hili swali namtamania yeye aje ajibu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom