Huo ni mtazamo wako mkuu.......Unajua Nchi haiongozwi kwa utashi wa Mtu pekee au mihemuko ya kisiasa la hasha.......Ndiyo maana kwenye post namba 173 ya
Nyani Ngabu ameuliza swali muhimu sana na sijui walio wengi humu ndani wamelielewaa....???
Mkuu do'nt come with simple Mind.......Una umri gani.....? Unajua kitu kinachoitwa kumtibu Mtu Kisaikolojia..........????
Lizarazu...... Lizarazu......Lizarazu.chunga Mdomo wako kama unakosa hoja ya kuchangia ni vizuri ukakaa kimywa kuliko kutukana watu ambao mama yako anawaheshimu.....!!!! niniposema Usalama wa Nchi kwanza ninamaanisha ya kuwa hatuwezi kuleta maagency wa upelelezi kutoka Nje kufanya kazi nchini mwetu.....Unajua RISK ya kufanya hivyo wewe.....weweeeeeeee weweeeeeeeee................Unaongea kama unapass Air.............H2s