Uhuru wa wachunguzi huru

Uhuru wa wachunguzi huru

Mi nadhani suala la nani anayelipa sio ishu naamini kwa sababu watakaokuja ni professionals watafanya kazi accordingly na isitoshe watatoa vielelezo ku back up their findings!
Hii ni Nchi au dangulo hao Scotland Yard or FBI waje kwenye nchi yetu........wachunguze na yasiyowahusu.........Mmetumwaeeeeeeeeeee..................!!!!!!!?? mnataka Nchi iwekwe rehani kisa Uchunguzi...............hili si jambo dogo hata kidogo hao wanaotaka uchunguzi wa nje waangaliwe kwa jicho la tatu............Acheni kuishi kwa SONONI.........usalama wa nchi kwanza mambo mengine baadae eboooooooooo.............
 
Tokea Mh. Lissu anusurike kwenye shambulio dhidi ya uhai wake siku ashara na kitu zilizopita, kumekuwepo na sauti kadhaa zinazodai au zinazotaka tukio hilo lichunguzwe na wachunguzi 'huru' kutoka nje ya nchi.

Sababu yake kubwa ni kwamba vyombo vya ndani [ya nchi] vya usalama haviko huru kuweza kufanya uchunguzi huo kwa sababu vyenyewe ndivyo vinavyoshukiwa kupanga na kutekeleza jaribio hilo ili kutimiza matakwa ya mtu au watu wa huko serikalini na kwenye CCM.

Hisia hizo [za kuishuku na kuituhumu] nazielewa. Hivyo watu wanaotaka kuona wachunguzi huru wakichunguza nao nawaelewa.

Ila, kuna vitu vinanitatiza kidogo kuhusu huo u huru wa hao wachunguzi na utayari wa kambi ya Lissu na kambi ya serikali kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi wao endapo utatokea.

La kwanza, ni nani atayeingia gharama za hao wachunguzi?

Tuseme CHADEMA na wafadhili wao ndiyo wataingia hizo gharama.

Kama hivyo ndo itavyokuwa, je, hao wachunguzi watakuwa huru kiasi gani ilhali wanalipwa na upande wa mnusurika wa jaribio?

CHADEMA kweli inaweza kuwalipa hao wachunguzi huru halafu hao wachunguzi watoe uchunguzi ambao ni kinyume na madai ya CHADEMA [kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya usalama ndiye mhusika]? Kama wataletwa na CHADEMA maana yake ni kwamba wao ni waajiriwa wa hicho chama. Akili yangu haioni ni jinsi gani hao wachunguzi huru wanaweza kutoa matokeo yaliyo kinyume na hisia za watu waliowaajiri.

Je, serikali nayo ipo tayari kweli kuyakubali matokeo ya hao wachunguzi huru ambao huenda wakalipwa na hicho chama pinzani?

Na vipi kwa mfano serikali ikubali ujio wa hao wachunguzi na iingie gharama kwa kazi watayoifanya, je, CHADEMA ipo tayari kuyapokea na kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi hata kama yakiwa tofauti na vile wao wadhaniavyo?

Kumbuka, kama serikali ndiyo itayoingia gharama za hao watu maana yake ni kwamba watakuwa wanaitumikia serikali iliyopo madarakani ambayo ni ya CCM.

Kwa mtaji huo hao wachunguzi huru watakuwa wapo huru kiasi gani?

Hili suala ni gumu kwa kweli. Kila ninapowaza na kuwazua sipati majibu.

Sijui nyie wadau mnalionaje hilo suala.

Jumapili njema.

Mkuu kama issue ni nani atakayelipa, acha serikali alipe ila hawa jamaa huwa wako huru na siku zote wanachohitaji ni kukaribishwa formerly na serikali iliyo madarakani ili kutoa msaada. Katika historia ya service zao hawajawahi shindwa kuwapata wahusika na sababu za uhalifu wao. Wala isingetokea wakashindwa kwa hili la mh. Lissu. Hii ndiyo sababu kubwa ya wanaokataa -- hofu wanafahamu kuwa kuumbuka hukoooo kwaja!
 
Hii ni Nchi au dangulo hao Scotland Yard or FBI waje kwenye nchi yetu........wachunguze na yasiyowahusu.........Mmetumwaeeeeeeeeeee..................!!!!!!!?? mnataka Nchi iwekwe rehani kisa Uchunguzi...............hili si jambo dogo hata kidogo hao wanaotaka uchunguzi wa nje waangaliwe kwa jicho la tatu............Acheni kuishi kwa SONONI.........usalama wa nchi kwanza mambo mengine baadae eboooooooooo.............

Mtu asiyejulikana anaweza sema tofauti na wewe mkuu? Your comment bears the full mark of the unknown assailants in the subject of the independent investigation.
 
Vyombo vya usalama vitamkamata nani ikiwa mashahidi wa muhimu wote wapo Nairobi?
Hata wale wamiliki wa Premio ya blue na wale wa Nisan nyeupe hatuwezi kuanza nao mpaka asubiriwe dereva wa Lissu aliyenusurika kufa?!
 
Mkuu kama issue ni nani atakayelipa, acha serikali alipe ila hawa jamaa huwa wako huru na siku zote wanachohitaji ni kukaribishwa formerly na serikali iliyo madarakani ili kutoa msaada. Katika historia ya service zao hawajawahi shindwa kuwapata wahusika na sababu za uhalifu wao. Wala isingetokea wakashindwa kwa hili la mh. Lissu. Hii ndiyo sababu kubwa ya wanaokataa -- hofu wanafahamu kuwa kuumbuka hukoooo kwaja!

Wakija na kufanya uchunguzi wao ulio huru mtayakubali matokeo nyie?

Wakisema kuwa uchunguzi wao umebaini kuwa mipango ya kumuua Lissu ilipangwa na watu wengine walio tofauti kabisa na CCM, serikali yake, na/au Paul Makonda mtakubali au mtahamisha magoli?

Manake mnavyong'ang'ania huo uchunguzi ni kama vile mnatarajia kupata matokeo mnayoyataka au yatayowafurahisha!

Naamini wakija hao Scotland Yard na kubaini kuwa hilo jaribio halihusiani kabisa na watu mnaowahisi mtahamisha magoli na kutaka FBI nao waje.

Y'all are just a bunch of mindless losers.
 
Hii ni Nchi au dangulo hao Scotland Yard or FBI waje kwenye nchi yetu........wachunguze na yasiyowahusu.........Mmetumwaeeeeeeeeeee..................!!!!!!!?? mnataka Nchi iwekwe rehani kisa Uchunguzi...............hili si jambo dogo hata kidogo hao wanaotaka uchunguzi wa nje waangaliwe kwa jicho la tatu............Acheni kuishi kwa SONONI.........usalama wa nchi kwanza mambo mengine baadae eboooooooooo.............
Usalama wa nchi uko hatarini kivipi kwamba wakija area d na kufanya upelelezi ndo hatari au unafikiri CIA au M16 au MOSSAD ndo watapenyezwa? Hatari unayohofia wewe ni ipi kupinduliwa magufuli au! Nahisi wewe ni mvivu wa kufikiri!
 
Hii ni Nchi au dangulo hao Scotland Yard or FBI waje kwenye nchi yetu........wachunguze na yasiyowahusu.........Mmetumwaeeeeeeeeeee..................!!!!!!!?? mnataka Nchi iwekwe rehani kisa Uchunguzi...............hili si jambo dogo hata kidogo hao wanaotaka uchunguzi wa nje waangaliwe kwa jicho la tatu............Acheni kuishi kwa SONONI.........usalama wa nchi kwanza mambo mengine baadae eboooooooooo.............

Usalama wa nchi, kwa hiyo unataka kutuaminisha nchii hii iko salama hata sasa?

huo usalama wa nchi mngekuwa nao hao wasiojulikana wasingekuwa wamefahamika mpaka Leo hii?

Uchunguzi huru unafanyika baada ya vyombo vyenu vya kihuni kukosa credibility.
 
Wakija na kufanya uchunguzi wao ulio huru mtayakubali matokeo nyie?

Wakisema kuwa uchunguzi wao umebaini kuwa mipango ya kumuua Lissu ilipangwa na watu wengine walio tofauti kabisa na CCM, serikali yake, na/au Paul Makonda mtakubali au mtahamisha magoli?

Manake mnavyong'ang'ania huo uchunguzi ni kama vile mnatarajia kupata matokeo mnayoyataka au yatayowafurahisha!

Naamini wakija hao Scotland Yard na kubaini kuwa hilo jaribio halihusiani kabisa na watu mnaowahisi mtahamisha magoli na kutaka FBI nao waje.

Y'all are just a bunch of mindless losers.

Bwana Nyani, ujasiri wa kum address mtu kama nyie unaupata wapi? Na kama vile haitoshi unakwenda mbali zaidi na kusema "Y'all are just a bunch of mindless losers" kwa maana wewe humo haumo.

Ama kweli Nyani haoni Kundule!

Kwa mawazo yako ya kinyani nyani wewe siyo loser ila wengine wote. Kinyani nyani wengine wote wako na kundu la ajabu ajabu isipokuwa wewe. Raha sana kwenye jamvi hili believe me majority ya usernames zinaendana kabisa na wakuu zinaowawakilisha.
 
Tokea Mh. Lissu anusurike kwenye shambulio dhidi ya uhai wake siku ashara na kitu zilizopita, kumekuwepo na sauti kadhaa zinazodai au zinazotaka tukio hilo lichunguzwe na wachunguzi 'huru' kutoka nje ya nchi.

Sababu yake kubwa ni kwamba vyombo vya ndani [ya nchi] vya usalama haviko huru kuweza kufanya uchunguzi huo kwa sababu vyenyewe ndivyo vinavyoshukiwa kupanga na kutekeleza jaribio hilo ili kutimiza matakwa ya mtu au watu wa huko serikalini na kwenye CCM.

Hisia hizo [za kuishuku na kuituhumu] nazielewa. Hivyo watu wanaotaka kuona wachunguzi huru wakichunguza nao nawaelewa.

Ila, kuna vitu vinanitatiza kidogo kuhusu huo u huru wa hao wachunguzi na utayari wa kambi ya Lissu na kambi ya serikali kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi wao endapo utatokea.

La kwanza, ni nani atayeingia gharama za hao wachunguzi?

Tuseme CHADEMA na wafadhili wao ndiyo wataingia hizo gharama.

Kama hivyo ndo itavyokuwa, je, hao wachunguzi watakuwa huru kiasi gani ilhali wanalipwa na upande wa mnusurika wa jaribio?

CHADEMA kweli inaweza kuwalipa hao wachunguzi huru halafu hao wachunguzi watoe uchunguzi ambao ni kinyume na madai ya CHADEMA [kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya usalama ndiye mhusika]? Kama wataletwa na CHADEMA maana yake ni kwamba wao ni waajiriwa wa hicho chama. Akili yangu haioni ni jinsi gani hao wachunguzi huru wanaweza kutoa matokeo yaliyo kinyume na hisia za watu waliowaajiri.

Je, serikali nayo ipo tayari kweli kuyakubali matokeo ya hao wachunguzi huru ambao huenda wakalipwa na hicho chama pinzani?

Na vipi kwa mfano serikali ikubali ujio wa hao wachunguzi na iingie gharama kwa kazi watayoifanya, je, CHADEMA ipo tayari kuyapokea na kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi hata kama yakiwa tofauti na vile wao wadhaniavyo?

Kumbuka, kama serikali ndiyo itayoingia gharama za hao watu maana yake ni kwamba watakuwa wanaitumikia serikali iliyopo madarakani ambayo ni ya CCM.

Kwa mtaji huo hao wachunguzi huru watakuwa wapo huru kiasi gani?

Hili suala ni gumu kwa kweli. Kila ninapowaza na kuwazua sipati majibu.

Sijui nyie wadau mnalionaje hilo suala.

Jumapili njema.
Acha kufikiri kitoto
Mmeshaambiwa hao jamaa wanataka tu barua ya serikali kuwaruhusu,km hamna link semeni tuwape,
In mbowes voice
 
Mtu asiyejulikana anaweza sema tofauti na wewe mkuu? Your comment bears the full mark of the unknown assailants in the subject of the independent investigation.
Huo ni mtazamo wako mkuu.......Unajua Nchi haiongozwi kwa utashi wa Mtu pekee au mihemuko ya kisiasa la hasha.......Ndiyo maana kwenye post namba 173 ya Nyani Ngabu ameuliza swali muhimu sana na sijui walio wengi humu ndani wamelielewaa....???
Usalama wa nchi uko hatarini kivipi kwamba wakija area d na kufanya upelelezi ndo hatari au unafikiri CIA au M16 au MOSSAD ndo watapenyezwa? Hatari unayohofia wewe ni ipi kupinduliwa magufuli au! Nahisi wewe ni mvivu wa kufikiri!
Mkuu do'nt come with simple Mind.......Una umri gani.....? Unajua kitu kinachoitwa kumtibu Mtu Kisaikolojia..........????
Usalama wa nchi, kwa hiyo unataka kutuaminisha nchii hii iko salama hata sasa?

Acha upimbii wewe, huo usalama wa nchi mngekuwa nao hao wasiojulikana wasingekuwa wamefahamika mpaka Leo hii?

Uchunguzi huru unafanyika baada ya vyombo vyenu vya kihuni kukosa credibility.

Lizarazu...... Lizarazu......Lizarazu.chunga Mdomo wako kama unakosa hoja ya kuchangia ni vizuri ukakaa kimywa kuliko kutukana watu ambao mama yako anawaheshimu.....!!!! niniposema Usalama wa Nchi kwanza ninamaanisha ya kuwa hatuwezi kuleta maagency wa upelelezi kutoka Nje kufanya kazi nchini mwetu.....Unajua RISK ya kufanya hivyo wewe.....weweeeeeeee weweeeeeeeee................Unaongea kama unapass Air.............H2s
 
Huo ni mtazamo wako mkuu.......Unajua Nchi haiongozwi kwa utashi wa Mtu pekee au mihemuko ya kisiasa la hasha.......Ndiyo maana kwenye post namba 173 ya Nyani Ngabu ameuliza swali muhimu sana na sijui walio wengi humu ndani wamelielewaa....???

Mkuu do'nt come with simple Mind.......Una umri gani.....? Unajua kitu kinachoitwa kumtibu Mtu Kisaikolojia..........????


Lizarazu...... Lizarazu......Lizarazu.chunga Mdomo wako kama unakosa hoja ya kuchangia ni vizuri ukakaa kimywa kuliko kutukana watu ambao mama yako anawaheshimu.....!!!! niniposema Usalama wa Nchi kwanza ninamaanisha ya kuwa hatuwezi kuleta maagency wa upelelezi kutoka Nje kufanya kazi nchini mwetu.....Unajua RISK ya kufanya hivyo wewe.....weweeeeeeee weweeeeeeeee................Unaongea kama unapass Air.............H2s
Hamna lolote hivi kwani hao M16 au MOSSAD wanavizia tundu lissu apigwe risasi ndo waje?Dont think so upelelezi wa tukio hilo ni wa kipolisi hauna risk yoyote unless wahusika wawe ndo!!!!Hapo nakubaliana na wewe wasije hatuwezi kurisk kihivo!
 
Tokea Mh. Lissu anusurike kwenye shambulio dhidi ya uhai wake siku ashara na kitu zilizopita, kumekuwepo na sauti kadhaa zinazodai au zinazotaka tukio hilo lichunguzwe na wachunguzi 'huru' kutoka nje ya nchi.

Sababu yake kubwa ni kwamba vyombo vya ndani [ya nchi] vya usalama haviko huru kuweza kufanya uchunguzi huo kwa sababu vyenyewe ndivyo vinavyoshukiwa kupanga na kutekeleza jaribio hilo ili kutimiza matakwa ya mtu au watu wa huko serikalini na kwenye CCM.

Hisia hizo [za kuishuku na kuituhumu] nazielewa. Hivyo watu wanaotaka kuona wachunguzi huru wakichunguza nao nawaelewa.

Ila, kuna vitu vinanitatiza kidogo kuhusu huo u huru wa hao wachunguzi na utayari wa kambi ya Lissu na kambi ya serikali kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi wao endapo utatokea.

La kwanza, ni nani atayeingia gharama za hao wachunguzi?

Tuseme CHADEMA na wafadhili wao ndiyo wataingia hizo gharama.

Kama hivyo ndo itavyokuwa, je, hao wachunguzi watakuwa huru kiasi gani ilhali wanalipwa na upande wa mnusurika wa jaribio?

CHADEMA kweli inaweza kuwalipa hao wachunguzi huru halafu hao wachunguzi watoe uchunguzi ambao ni kinyume na madai ya CHADEMA [kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya usalama ndiye mhusika]? Kama wataletwa na CHADEMA maana yake ni kwamba wao ni waajiriwa wa hicho chama. Akili yangu haioni ni jinsi gani hao wachunguzi huru wanaweza kutoa matokeo yaliyo kinyume na hisia za watu waliowaajiri.

Je, serikali nayo ipo tayari kweli kuyakubali matokeo ya hao wachunguzi huru ambao huenda wakalipwa na hicho chama pinzani?

Na vipi kwa mfano serikali ikubali ujio wa hao wachunguzi na iingie gharama kwa kazi watayoifanya, je, CHADEMA ipo tayari kuyapokea na kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi hata kama yakiwa tofauti na vile wao wadhaniavyo?

Kumbuka, kama serikali ndiyo itayoingia gharama za hao watu maana yake ni kwamba watakuwa wanaitumikia serikali iliyopo madarakani ambayo ni ya CCM.

Kwa mtaji huo hao wachunguzi huru watakuwa wapo huru kiasi gani?

Hili suala ni gumu kwa kweli. Kila ninapowaza na kuwazua sipati majibu.

Sijui nyie wadau mnalionaje hilo suala.

Jumapili njema.
mashahidi wakuu wamewaficha nairobi wameshindwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi bado wanavikosea heshima vyombo vyetu vilivyohakikisha amani kwa miaka 55 kwa kusema hawana imani navyo huu ni upuuzi wa hali ya juu siungi mkono uchunguzi wa nje
 
Unanikumbusha ripoti za REDET na CCM, ni ngumu kupindua matokeo anayoyataka sponsor.
 
Hii ni Nchi au dangulo hao Scotland Yard or FBI waje kwenye nchi yetu........wachunguze na yasiyowahusu.........Mmetumwaeeeeeeeeeee..................!!!!!!!?? mnataka Nchi iwekwe rehani kisa Uchunguzi...............hili si jambo dogo hata kidogo hao wanaotaka uchunguzi wa nje waangaliwe kwa jicho la tatu............Acheni kuishi kwa SONONI.........usalama wa nchi kwanza mambo mengine baadae eboooooooooo.............
Nani alikwambia nchi inalindwa kwa kuwambia Scotland Yard wasije? Unazan kama wanaissue na kanchi kenu wakitaka wanashindwa kuja? Boresheni mifumo yenu, unafkir kaz za majasusi wakitaka kwenda sehem lazma wapige hodi!!
Basi sawa.
 
Dr Ulimboka iliishia wapi? Hivi akiwa mwanachadema yeye? Ok kibiti kule vipi nako? Maj Gen yeye haitaji uchunguzi wa kimataifa.......
 
Nani alikwambia nchi inalindwa kwa kuwambia Scotland Yard wasije? Unazan kama wanaissue na kanchi kenu wakitaka wanashindwa kuja? Boresheni mifumo yenu, unafkir kaz za majasusi wakitaka kwenda sehem lazma wapige hodi!!
Low thinking capacity.........!!!!????? umekula mchana huu Mkuu......????
 
Sijala, ukifika nitakula. Vp, we umefungua kinywa mzee au hauna sukari?
Bado sijala ila nimeagiza mihogo ya kukaanga hapa Pugu mnadani niipoze njaa kwani nahangaikia kibarua kwa hawa YAPI Contr sijui nitapata kama una link na yeyote naomba uniunganishe Mkuu................Nimepigika sanaaaaaaaaaaa.........
 
Bado sijala ila nimeagiza mihogo ya kukaanga hapa Pugu mnadani niipoze njaa kwani nahangaikia kibarua kwa hawa YAPI Contr sijui nitapata kama una link na yeyote naomba uniunganishe Mkuu................Nimepigika sanaaaaaaaaaaa.........
Link gan unayotaka wizara ya Kazi na Ajira ipo, peleka malalamiko yako huko
 
Back
Top Bottom