Uhuru wa mwanamke mwisho ni mlangoni

Uhuru wa mwanamke mwisho ni mlangoni

wewe ndo kidume uliepita jando hasaaa, mi nashangaaa sana na nawahurumia wanaume wanaobaka, wanafanya mapenzi kwa nguvu, wanaweka kilevi, kweli we uwe kidume ufanye yote hayo, enyi wazazi wenzangu tuwafundishe watoto wetu wa kiume uanaume jamani

mkuu nikikusimulia story moja niliwahi kumshawishi msichana akaingia ghetto kwangu nilipomuomba tunda akaninyima ilikua sa a nne usiku,nilikubali matokeo nikamsindikiza hadi karibia na kwao,hakuamini hadi leo,sikujua kumbe hiyo ilinipa heshima sana.Na tokea hapo alinipenda kuliko maelezo.Baadhi ya wanaume hawajui kuwa mapenzi maridhiano yananoga baada ya kukubaliana.
 
ngoja nikae kimya maana mimi ni muathirika wa tabia mbaya .za wanawake ....
 
mkuu nikikusimulia story moja niliwahi kumshawishi msichana akaingia ghetto kwangu nilipomuomba tunda akaninyima ilikua sa a nne usiku,nilikubali matokeo nikamsindikiza hadi karibia na kwao,hakuamini hadi leo,sikujua kumbe hiyo ilinipa heshima sana.Na tokea hapo alinipenda kuliko maelezo.Baadhi ya wanaume hawajui kuwa mapenzi maridhiano yananoga baada ya kukubaliana.

Mimi alitoroka kwao aje alale kwangu dingi ake akastukia sa tano ucku...nikamshAWISHI arud tu hom nikamkodia na taksi,,,ckula hata mate...ndio mke wangu sasa,full heshima
 
Habari wadau wa jukwaa hili!

Ewe mdogo wangu na mkubwa wangu wa kike,t ambua kuwa kabla ya kuanza mahusianao na mwanaume, au mwanamke mpya ni lazima uwe unamjua vizuri kitabia,haiba na mienendo yake.

Usikubali siku ya kwanza hujamjua vizuri anakukaribisha Ghetto unaingia, unakaribishwa kinywaji unakunywa, jua utaumizwa. Ni vizuri ukajiridhisha kwanza na ustaarabu wa mwanaume huyo kabla hujachukua ujasiri wa kuingia ndani ya kuta nne.

Kuta nne mwanmmke huna tena uhuru wa kujitetea kwa lolote. Ni wanawake wangapi wamelazimishwa kutoa tunda mara baada ya kuingia ndani ya kuta nne?

Ni wangapi wamewekewa vilevi na kuliwa tunda? ni wangapi walijitokeza hadharani na kuelezea madhira waliyoyapata bila ridhaa yao ndani ya kuta nne?

Wewe mwanume mwenzangu toa msaada zaidi kwa hili jambo ili kukomesha unyanyasaji na uzalilishaji dhidi ya dada zetu, wapenzi wetu, na ndugu zetu wa kike.

Unajua ni wanawake wangapi wamekutana na mtego huu usiofaa?

Tafakari!
Hii habari hawezi kutekelezeka kwa mwanamke hata mara moja! ukweli nakwambia!

Kuna wanaume ni mazombie! rate ya kutongoza, kukubaliwa mpaka kumfikisha mwanaume ghetto huwa ni kubwa mno ndani ya dakika...

Wanawake wenyewe hawa pesa mbele? atoe wapi muda wa kufanya research! aibiwe? lol, hapa hawawezi!

Kuna siku niliamua kufanya uchunguzi huru, mtaa flani hapa dar es salaam, nikaona nim-approach mwanamke mmoja hivi serious nikiwa na ile conversation ya eye to eye!!!

yule binti nilimuita vizuri tu, akaja! nikamkaribisha vizuri tu mezani kwangu, nikamuomba radhi kwa usumbufu, akasema sawa!

tukaanza mazungumzo, natupa, anatupa! natoa anaweka! mpaka tukafikia hatua kama tumeshakuwa wenyeji kabisaa kumbe niko kwenye utafiti...

Basi bwana, mi muda si muda nikaingia kwenye main body, nikarusha ndoano kuopoa samaki wangu, binti kaanza kung'ata kucha japkuwa alikuwa amezikata! nikaona hapa hapa ndo pa kumkazia! nikakomaa nae huyoo mpaka mwisho! binti kaingia line, kakubali alichoambiwa!

Unajua kilichotokea baada ya hapo?... tuachie ukuta utunze siri!..
 
inategemea kaka kama ni kwa makubaliano basi ni furaha kwake na kama sio ni kulazimisha basi kwake ni huzuni na maumivu makali speaking this out of experience!!!!!!!!!!!!!!

mambo Blue G!

excel kakumiss sana ujue!

ushawahi kula karanga mbichi B-G?
 
Last edited by a moderator:
Hii habari hawezi kutekelezeka kwa mwanamke hata mara moja! ukweli nakwambia!

Kuna wanaume ni mazombie! rate ya kutongoza, kukubaliwa mpaka kumfikisha mwanaume ghetto huwa ni kubwa mno ndani ya dakika...

Wanawake wenyewe hawa pesa mbele? atoe wapi muda wa kufanya research! aibiwe? lol, hapa hawawezi!

Kuna siku niliamua kufanya uchunguzi huru, mtaa flani hapa dar es salaam, nikaona nim-approach mwanamke mmoja hivi serious nikiwa na ile conversation ya eye to eye!!!

yule binti nilimuita vizuri tu, akaja! nikamkaribisha vizuri tu mezani kwangu, nikamuomba radhi kwa usumbufu, akasema sawa!

tukaanza mazungumzo, natupa, anatupa! natoa anaweka! mpaka tukafikia hatua kama tumeshakuwa wenyeji kabisaa kumbe niko kwenye utafiti...

Basi bwana, mi muda si muda nikaingia kwenye main body, nikarusha ndoano kuopoa samaki wangu, binti kaanza kung'ata kucha japkuwa alikuwa amezikata! nikaona hapa hapa ndo pa kumkazia! nikakomaa nae huyoo mpaka mwisho! binti kaingia line, kakubali alichoambiwa!

Unajua kilichotokea baada ya hapo?... tuachie ukuta utunze siri!..

Mkuu unajua wewe una uwezo mkubwa sana wa ushawishi,ndio maana umeifanya hiyo kama mchezo mdogo tu wa kucheza na akili ya huyo binti,na pengine mwanamke yeyote yule, hicho kipaji sio wanaume wote wanacho,nilipokua naandika hiyo mada yangu nilikua nimeshuhudia mengi wanayofanyiwa hawa dada zetu wakifanya kosa tu la kuingia ghetto,lakini sio wavulana wote wanaofanya uhunu huo,ndio maana niliandika kama msaada tu kwa dada zetu ili wawe macho.kuna dogo mmoja alikua bingwa wa kukaribisha wasichana ghetto,demu alipoingia ,kwanza alikaribishwa bia,alipopiga moja ,akaongezwa ya pili,halafu akazinguliwa na blue movie,bila yeye kujua,tayari alikwisha liwa tunda,dogo mwingine alimwekea mdada kilevi ktk soda alipokuja pata fahamu ,tunda lilikua lisha megwa.visa kama hivi ni vingi tu,sikutaka kupanua mjadala,lakini nina story ndefu sana kama msaada kwa wadada zetu.wala sio kuwa wanaofanyiwa hivi hula hela za watu no.ila wengi inabaki kuwa siri yao,na ama kuendelea na mahusiano au kuficha siri.Lalini kwa hiyo research yako inaonesha wewe ni mkali wa hoja na una uweo wa kucheza na akili za warembo hivyo ndvyio mimi ninashauri,tujenge hoja tupate kula matunda.mtu mmoja nilimwambia wanawake ni kama kumchinja ngamia,unamsomea kisomo tu anakaa chini mwenyewe halafu unamchinja,(kama ulivofanya wewe).
 
Mimi alitoroka kwao aje alale kwangu dingi ake akastukia sa tano ucku...nikamshAWISHI arud tu hom nikamkodia na taksi,,,ckula hata mate...ndio mke wangu sasa,full heshima

Safi sana mkuu,unajua wanawake wana akili sana na wanajua kupima uvumilivu wa mwanaume,ukionesha kutokua na tamaa wanajenga imani sana,ukijifanya huna haraka nae siku zinazofuata huwa wanatoa uroda kirahisi sana,ila ukionesha moto huwa wanarudi nyuma.
 
ngoja nikae kimya maana mimi ni muathirika wa tabia mbaya .za wanawake ....

Mkuu nakubaliana na wewe kuwa kuna wanawake wenye tabia za ajabu sana,kama hizo zinazosemwa za kula vya watu na kuzungusha kutoa mchezo,hata mimi nilisha fanyiwa vituko vingi tu na wanawake wa namna hiyo,au anazingua tu,na vibweka vingine vingi,lakini sio wote wako hivyo,hata wanaume waovu sio wote,hicho kitendo cha kukaa kwako kimya kinaonesha ni jinsi gani ulivyo muungwana kama sikosei.Hapa unaweza lipa kisasi kwa msichana mwema,aliekukosea pengine alikua mtu wa hovyo.
 
poa sana Excel,Blue G kakumiss mingi pia,mi nshawahi kula karanga mbichi mara moja tu Excel vipi unataka kunipa ofa nini?
mambo Blue G!

excel kakumiss sana ujue!

ushawahi kula karanga mbichi B-G?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mwanamke ni kama ngamia ukitaka kumchijna msomee kisomo tu atakaa chini mwenyewe na utamchinja tu.tena mtoto wa kike ukijifanya huna haraka naye siku ya kwanza akiingia gheto, kesho atakuja kwa kasi sana atatoa mchezo tu. mimi ninachosikitika ni vitendo vya kiharamia mfano kumlewesha, au matumiziya nguvu kula tunda.mtoto anakuwa mtamu sana ukila tunda kwa kumsomesha kuliko ubakaji."treat a woman as you treat your daughter."
Your daughter!!! Mkuu wewe unageged dota wako?
 
Wanategemea mapokezi mema,ukarimu,kutongozwa,sio kubakwa,na makubliano.Mkuu hata mke huwa anatongozwa ukitaka kula ndoa.
watoto wa dot com bwana. Yaani unajipeleka tu kwenye chumba cha kidume tena yuko peke yake. Shauri yenu wacha muendelee kubakwa hadi mkome.
 
poa sana Excel,Blue G kakumiss mingi pia,mi nshawahi kula karanga mbichi mara moja tu Excel vipi unataka kunipa ofa nini?

nataka nikuonjeshe 'karanga maalum' Blue G!!!!!!

Naomba ijumaa hii uwe mgeni wangu maalum!

Gharama zote juu yangu!

sawa mrembo? please accept the deal...!
 
I accept Excel deal,saa ngapi sasa nna hamuje na hizo karanga mwenzio?
nataka nikuonjeshe 'karanga maalum' Blue G!!!!!!

Naomba ijumaa hii uwe mgeni wangu maalum!

Gharama zote juu yangu!

sawa mrembo? please accept the deal...!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom