NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Kwenye Hotuba ndeefuu ya Jk kadai tunatumia vibaya uhuru wa habari tulionao vibaya kuwachimbachimba watu. Lakini hapa amesahau kuwa hivi sasa ni karne ya 21 ya sayansi na teknologia pia hali ya sasa huwezi kufananisha na enzi ya cold war watu kufungwa midomo wasiseme kwa ujumla kashangaza sana watu.
Je Rais anataka viongozi wakitumia madaraka waliyonayo watu wakae kimya. kwa maoni yangu naona anataka kuleta mambo ya kizamani ya kuwatisha vyombo vya habari,wapinzani na jumuia mbalimbali wasichokonoe uozo wa serikali yake na kuusema haya mambo ya kutishana yalishapitwa na wakati na namwomba abatilishe usemi wake watu tupo huru kuongea chochote asitutishe kuwasema rafiki zake lazima tuweseme wametuibia fedha zetu.
Je Rais anataka viongozi wakitumia madaraka waliyonayo watu wakae kimya. kwa maoni yangu naona anataka kuleta mambo ya kizamani ya kuwatisha vyombo vya habari,wapinzani na jumuia mbalimbali wasichokonoe uozo wa serikali yake na kuusema haya mambo ya kutishana yalishapitwa na wakati na namwomba abatilishe usemi wake watu tupo huru kuongea chochote asitutishe kuwasema rafiki zake lazima tuweseme wametuibia fedha zetu.