Uhuru Kenyatta anayesifiwa na CHADEMA kwa demokrasia, aiandikia UN ili Viongozi wa Kitaifa wawe na Kinga ya Kutoshitakiwa (Immunity).

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemwandikia Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres, akimuomba kujadili juu ya kuanzisha Kinga ya Kutoshitakiwa (immunity) kwa Viongozi walioko madarakani. Endapo hoja hiyo itakubaliwa, Mahakama ya Haki (ICJ) inayochukuliwa kama Mahakama ya Dunia, italazimika kutekeleza uamuzi huo.
Lengo la kutaka kujadiliwa kwa hoja hiyo ni kutokana na suala la Immunity kusumbua sana katika miaka ya hivi karibuni. Uamuzi huo, umekuja kwa wakati ambao Nchi za Kiafrika zimekuwa zikiipinga Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC) juu ya msimamo wake wa muda mrefu wa kumshitaki Rais wa Sudan, Omar al-Bashir kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu, mauaji ya kimbari (genocide) na uhalifu wa kivita.
Je, CHADEMA wanakubaliana na maamuzi hayo ya Role Model wao? Je, siyo vizuri wakatoa tamko?
Na hapa ndipo pa kumtofautisha Rais Magufuli dhidi ya wanafiki. CHADEMA toeni tamko kama ambavyo mmekuwa mkimuunga mkono Kenyatta.
Je, angekuwa Rais Magufuli ndiye amepeleka petition hiyo, ingekuwaje.
Wajuvi wa mambo ya haki za binadamu, pamoja na wazee wenzangu wa kutoa mapovu tusaidiane juu ya hili.

IMG_5952.JPG
 
Uhuru kamkung'uta sana Odinga mpka odinga kaamua kusalimu amri lkn chadema watakwambia uhuru ana democrasia kwa vile tu ana ng'ata na kupuliza!

By the way.. Upinzani wa Kenya ni majasiri, hawa wa kwetu ni waoga na wanajiuza kila siku.
 
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemwandikia Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres, akimuomba kujadili juu ya kuanzisha Kinga ya Kutoshitakiwa (immunity) kwa Viongozi walioko madarakani. Endapo hoja hiyo itakubaliwa, Mahakama ya Haki (ICJ) inayochukuliwa kama Mahakama ya Dunia, italazimika kutekeleza uamuzi huo.
Lengo la kutaka kujadiliwa kwa hoja hiyo ni kutokana na suala la Immunity kusumbua sana katika miaka ya hivi karibuni. Uamuzi huo, umekuja kwa wakati ambao Nchi za Kiafrika zimekuwa zikiipinga Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC) juu ya msimamo wake wa muda mrefu wa kumshitaki Rais wa Sudan, Omar al-Bashir kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu, mauaji ya kimbari (genocide) na uhalifu wa kivita.
Je, CHADEMA wanakubaliana na maamuzi hayo ya Role Model wao? Je, siyo vizuri wakatoa tamko?
Na hapa ndipo pa kumtofautisha Rais Magufuli dhidi ya wanafiki. CHADEMA toeni tamko kama ambavyo mmekuwa mkimuunga mkono Kenyatta.
Je, angekuwa Rais Magufuli ndiye amepeleka petition hiyo, ingekuwaje.
Wajuvi wa mambo ya haki za binadamu, pamoja na wazee wenzangu wa kutoa mapovu tusaidiane juu ya hili.

View attachment 828025
Kwa maana yako hapa umeandika kitu gani wewe mbumbumbu?
 
Uhuru kamkung'uta sana Odinga mpka odinga kaamua kusalimu amri lkn chadema watakwambia uhuru ana democrasia kwa vile tu ana ng'ata na kupuliza!

By the way.. Upinzani wa Kenya ni majasiri, hawa wa kwetu ni waoga na wanajiuza kila siku.
Wewe umewacha lini kujiuza pale kinondoni makaburini?
 
CHADEMA wanampenda Uhuru kwa sababu anaruhusu maandamano na makusanyiko ya watu. Zaidi ya hapo sidhani kama kuna kitu kingine kinachowafanya wampende kaka Kenyatta.
 
Uhuru ana mambo yake ya kusifiwa kuhusu demokrasia, lakini sio kila kitu. Kuruhusu uchaguzi kurudiwa na kuruhusu maandamano ya kumpinga si jambo rahisi kwa nchi za waswahili. Hata hivyo haina maana asifiwe kila kitu kama jiwe anavyotaka
 
CHADEMA wanampenda Uhuru kwa sababu anaruhusu maandamano na makusanyiko ya watu. Zaidi ya hapo sidhani kama kuna kitu kingine kinachowafanya wampende kaka Kenyatta.
Walimfurahia sana Kenyatta alipowahenyesha Wapinzani wenzao NASA huku wakimkashifu Odinga hata alipopinga matokeo mahakamani na kushinda kesi.
Huwa najiuliza, hivi wanatarajia nini na wao kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020? Watamwomba Raila mpinzani ama wataiomba Uhuru ambaye ni Serikali? This is karma.
 
Walimfurahia sana Kenyatta alipowahenyesha Wapinzani wenzao NASA huku wakimkashifu Odinga hata alipopinga matokeo mahakamani na kushinda kesi.
Huwa najiuliza, hivi wanatarajia nini na wao kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020? Watamwomba Raila mpinzani ama wataiomba Uhuru ambaye ni Serikali? This is karma.
Odinga ana miaka 73 sidhani kama bado anazo ndoto za kuwa rais wa Kenya. Upinzani wa kwetu sio wa kuuamini, upo kimaslahi zaidi.
 
hivi nchi hii kuna watu wanamkubali Kenyata?basi acheni ccm itawale milele tu
 
Uhuru ana mambo yake ya kusifiwa kuhusu demokrasia, lakini sio kila kitu. Kuruhusu uchaguzi kurudiwa na kuruhusu maandamano ya kumpinga si jambo rahisi kwa nchi za waswahili. Hata hivyo haina maana asifiwe kila kitu kama jiwe anavyotaka
Unasema sawa lakini ukisikiliza comments za Wapinzani kutokana Tanzania hasa mahaba yao kwa Kenyatta, unajiuliza sana kwani waliwazidi mbali Wakenya kumpigia kampeni Uhuru ashinde ili tu kumfadhaisha Magufuli endapo rafiki yake Raila atashindwa Uchaguzi.
 
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemwandikia Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres, akimuomba kujadili juu ya kuanzisha Kinga ya Kutoshitakiwa (immunity) kwa Viongozi walioko madarakani. Endapo hoja hiyo itakubaliwa, Mahakama ya Haki (ICJ) inayochukuliwa kama Mahakama ya Dunia, italazimika kutekeleza uamuzi huo.
Lengo la kutaka kujadiliwa kwa hoja hiyo ni kutokana na suala la Immunity kusumbua sana katika miaka ya hivi karibuni. Uamuzi huo, umekuja kwa wakati ambao Nchi za Kiafrika zimekuwa zikiipinga Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC) juu ya msimamo wake wa muda mrefu wa kumshitaki Rais wa Sudan, Omar al-Bashir kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu, mauaji ya kimbari (genocide) na uhalifu wa kivita.
Je, CHADEMA wanakubaliana na maamuzi hayo ya Role Model wao? Je, siyo vizuri wakatoa tamko?
Na hapa ndipo pa kumtofautisha Rais Magufuli dhidi ya wanafiki. CHADEMA toeni tamko kama ambavyo mmekuwa mkimuunga mkono Kenyatta.
Je, angekuwa Rais Magufuli ndiye amepeleka petition hiyo, ingekuwaje.
Wajuvi wa mambo ya haki za binadamu, pamoja na wazee wenzangu wa kutoa mapovu tusaidiane juu ya hili.

View attachment 828025[/
Kila siku wewe ni kuwaza tu chadema? Chochote ukiona ww ni kulink na cdm umerogwa au ww mchawi?
 
Lengo la kutaka kujadiliwa kwa hoja hiyo ni kutokana na suala la Immunity kusumbua sana katika miaka ya hivi karibuni. Uamuzi
Angalau Uhuru Kenyatta anajenga hoja na kuipeleka ikajadiliwe, ni mtu anaejiamini sana. Mbali ya kua ni very down to earth lakini pia haogopi challenge wala mijadala kama baadhi ya .watawala wa nchi nyingine za kiafrika

Nilimkubali sana huyu Rais alipoamua kuchukua njia tofauti na ile ya El Bashir kwa kwenda mwenyewe The Hague na kuyakabili mashtaka yake bila kujali nafasi yake ya kisiasa aliyokua nayo wakati huo hadi pale alipofutiwa mashtaka yake na sasa yupo huru. Hajapungukiwa na kitu chochote zaidi ya kujiongezea heshima katika jumuiya ya kimataifa
 
Mgambilwa ni mntu ,

..msimamo wa serekali ya Tz kuhusu hoja aliyotoa Uhuru Kenyatta ni nini?
Ndugu, wewe unaelewa wazi kuwa msimamo wa Nchi za Kiafrika huwa ni wa pamoja lakini Wapinzani huwa unajidai wanaishi Ulaya.
Sitaki kufahamu ingekuwa ni Tanzania, hao wanaojiita akina Mange, Fatma, Sarungi, LHRC, Zitto, Lissu etc, wangekesha mitandaoni na vyombo vya habari wakidai - eeehh si tuliwaambia, hii Serikali ni ya kidikteta, wanaogopa kushitakiwa... na blah blah kibao.
Bahati mbaya sana kwako limeanzishwa na model wao, wanatamani hata ardhi ipasuke.
Am now eagerly waiting to see how this will develop to as far as the African democracy and Tanzanians hypocrisy is concerned. Much more to come probably?
 
Back
Top Bottom