Magufuli atasaidiwa na failure mwenzake odinga
.kwa hiyo zile ng'ombe zenye pembe ndefu zilizokuwa zinapitishwa pale Namanga Border mbiombio kumbe ni zawadi ya marafiki hawa wanapeana?
Duhfalcon mombasa Kwa kweli mtu yeyote asiye na Lowassa atapoteza, upepo ninaouona Tanzania ni kama ule ulitendeka kwetu tulipoangusha KANU, yaani hapa labda CCM wawe na mikakati ya wizi wa kura tena kwa mamilioni lakini sioni wakitoka. Nchi imetokota ikaiva, naona Watanzania hata huku Kenya wameibuka ghafla na wana matumaini sana, yaani CCM wakirudi kwenye uongozi, Wabongo wengi watavunjika mioyo.