OwkyNo hiyo sio sababu yan ndo nilivo ukinitafuta uwe na ishu ya maana ata kama nakupenda sana lakini unanitafuta unataka tuongelee kitu gani nimebase sana kwenye content ya mazungumzo.
Sikatai kuongea na mtu wangu lakini napenda mara nyingi tukutane ndo tupige hzo story zisizo na umuhimu sio nishindwe kufanya mambo ya msingi kisa story ambazo hazina manufaa.
Umeandika ukweli, wanaume tukiwa hatumpendi demu simu na sms zake tunaona km usumbufu,inakujaga automatically hiyo. Nishakuwaga na demu akinihitaji namkataa indirectly,inafika stage mimi mwenyewe nikikaa usiku kuwaza niliyomfanyia naona nimemkosea sana ila pakikucha kesho moto uleule.Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Hata sisi pia usipompenda mtu Simu na sms zake Ni kero... Ila tatizo ALINIAMINISHA Sana kuwa ananipenda... Yaani SANA...kumbe LOOOH it was a lieUmeandika ukweli, wanaume tukiwa hatumpendi demu simu na sms zake tunaona km usumbufu,inakujaga automatically hiyo. Nishakuwaga na demu akinihitaji namkataa indirectly,inafika stage mimi mwenyewe nikikaa usiku kuwaza niliyomfanyia naona nimemkosea sana ila pakikucha kesho moto uleule.
Hayo Mapenzi ya KUOMBA msamaha... Hujakosea siyawezi...kubembeleza tu bila sababu Siwezi..Mimi pia nahitaji kuoneshwa hayo Mapenzi...Siwezi toa TU bila kupokea.Ndugu yangu soma ujumbe huu japo mfupi
Huyo mpenz wako anakupenda sana tena sana tu, ila ana wivu uliopitiliza sana tena sana ndio unaopelekea hali hiyo.
Pili misimamo yake sio ya ajab ajab ila tu ni ww kucheza nae kwa akili sana, mtu kama huyo huwa anahitaj kunyenyekewa zaid ukihis hayuko sawa unapaswa kumwomba msamaha hat kama hujafanya jambo lolote
Amini kwamba jamaa anakupenda sana na wala sio kwamba ni dalili za kukuacha au kukuchukia.
NB; tambua kwamba wanaume wengi weny misimamo mikali huwa hawako romantic sana uromantic huja na kupotea ndan ya dk 1
Point yangu ni ANAKUPENDA
MTEME dunia yenyewe hatuishi milele wakati mwingine unaweza jinyima furaha ya kweli kwa fala mmoja hivi. Mi demu akinipenda huwa namheshimu na napokea simu zake muda wowote ule. Ni dharau kuacha kupokea simu ya mpenzi wako. Hakuna uhuru kwenye mapenzi ndio maana mnatiana.Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Pole sana.Yaaani...NIMEUMIA SANA ROHONI...
Hata JF ntapumzuka kucomment.. I FEEL HURT TO THE CORE
. Ila pole Sana embu jaribu kumpa nafasi mwenzako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....haya bhana
NAKUELEWA MNOYaaani...NIMEUMIA SANA ROHONI...
I FEEL HURT TO THE CORE.
Baada ya tukio gani ndo akasitisha kukuaminisha anakupenda?Hata sisi pia usipompenda mtu Simu na sms zake Ni kero... Ila tatizo ALINIAMINISHA Sana kuwa ananipenda... Yaani SANA...kumbe LOOOH it was a lie
Yaaani...NIMEUMIA SANA ROHONI...
I FEEL HURT TO THE CORE.
Usijali mkuu,ongeza tu maupendo anaweza kukufikiria vizuriHata sisi pia usipompenda mtu Simu na sms zake Ni kero... Ila tatizo ALINIAMINISHA Sana kuwa ananipenda... Yaani SANA...kumbe LOOOH it was a lie