Uhuru katika Mahusiano?

Ila watoto wa kike kweli Mwalimu wenu kipofu, hivi inakuwaje kwanza unakuwa na mahusiano na kijana mjangalia Mpira ?
Mkuu ina maana waangalia mpira hawapaswi kupendwa? Pia asilimia kubwa ya watanzania ni washabiki wa mpira sasa kweli binti akichagua kwa kigezo hicho si anapunguza Sana uwezekano wa kupata mwenza?
Halafu issue ni jamaa hampendi tu hampendi huyu dada
Uko conservative Sana mkuu
 
Namini nimekubali..Sipendwi [emoji3][emoji3][emoji3]
Maana Mapenzi yalomurua hayajawai kuwa hivi ....
Kucheeka Sana kilio kipo karibu...
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. Doooh
Ila sitoacha kuwa muaminifu na kufanya yaliyo mema coz of this.
Sometimes we win.. sometimes we loose... But our faith remains the same

Wanasema kama hakuna waaminifu, kuwa mwaminifu. Kuna wengine wakishaumizwa ndio wanaona ni nafasi ya kujiachia kufanya upuuzi wakidhani wanakomoa walipoumizwa kumbe sio.

Muombe Mungu utulivu ujiponye maumivu taratibu yataisha na nadhani hakuna haja ya kumuaga kuanza kumwambia sijui unaona muachane tu kwa sababu ya 1,2,3. Akiamua kukuchezea atakuwin kwa kuwa anajua udhaifu wako cha kufanya punguza kumtafuta ukimya utakusaidia sana na uwe busy na mambo yako utamsahau kabisa. Ila umependa sana ulizama mazima kwa mtu ambae hakustahili kabisa.
 
Hakuna mpenzi hapo, umekutana na watu wenye style ya hit and run , pole
 
Mkuu mbona kama umefurahia Sana
Nimecheka sana
 
Tafakari kwa makini.
 
Ndo hivyooo
 
Pole afadhali ungeendelea na yule aliyekua anakutaka umfulie Nguo huku hajakuoa alikua anatengeneza mazingira ya ww kua Mke bora kwake, sasa hapo umekutana na wale wanaojiita mabaharia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Yule wakufulia nguo jamani mnapenda Sana kunikumbusha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…