Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
afu mijamaa iangalie imenenepeana na bado inakunywa soda hapo...mitanzania haijionei huruma.....
ndio maana mko gizani,maskini,akili hamna....kudadadeki na raisi wenu ndio kilaza afrika nzima....Yoyo,
Umekuwa kwa mara kadhaa ukiwahadaa na kuwatusi watanzania,
mfano; Mitanzania mivivu (in one of your last week's post), na hiyo hapo kwenye red pia ni dhihirisho tosha. Wewe kuwa mKenya isiwe taabu, tunajivunia Utanzania wetu ila jirekebishe nchi yetu hatujazoea kuwatusi wenzetu/majirani.
ndio maana mko gizani,maskini,akili hamna....kudadadeki na raisi wenu ndio kilaza afrika nzima....
Waache wafulie,kwa nini wasingeiboresha ikae kibiashara zaidi kuliko kuishi kwa mipasho?Kumbe Bro. Miki yuko mtaa huu?
Waache wafulie,kwa nini wasingeiboresha ikae kibiashara zaidi kuliko kuishi kwa mipasho?Kumbe Bro. Miki yuko mtaa huu?
Wadau, kweli CCM imechoka............kwa kuwa TBC imebaki kuwa chombo kikuu cha propaganda cha CCM basi Uhuru FM imebaki kuwa si chochote. Angalia kiti alichokalia Mkurugenzi wake Bro. Mikidadi kilivyochoka.