Udaku classified newspaper, don't mind.
Source: Uhuru mnapoteza muda kwenye mambo ambayo siyo ya msingi baadala ya kushughulika na matatizo ya wapiga kura wenu.
time will tell!
Ngoromiko, siku hizi UHURU inaitwa NIPASHE! Unajua UHURU haliaminiki ukaweka Nipesha siyo? Propaganda uchwara hizo.Ziara ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika mikoa ya Kanda ya Kusini, imehitimishwa kwa viongozi wa juu wa chama hicho, Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk.
Willbroad Slaa kutofautiana.
Hali hiyo ilisababisha msuguano mkali ndani ya kikao cha ndani cha tathmini kilichofanyika mjini Ruangwa muda mfupi baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi
Likangara mjini hapa.
Kutibuana huko kulitokana na Mbowe kukataa mpango wa Dk. Slaa kutimua viongozi katika maeneo mbalimbali ambako ziara hiyo imefanyika wakiwemo viongozi karibu wote wa wilaya Ruangwa mkoani Lindi.
Kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu (CWT) wilayani Ruangwa, ambapo Mbowe alipinga hatua ya Dk. Slaa kutaka baadhi ya viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Wilaya Abdallah Mang'onyola na mlezi wa chama hicho wilayani hapa Juma Lichonyo ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa mkoa wa chama hicho waachie madaraka.
Kikao hicho kilichoanza majira ya saa 2: 30 usiku hadi saa tano, kilifanyika baada ya kumalizika kwa mikutano ya hadhara katika maeneo mbalimbali na kupata mafanikio kidogo.
Habari za ndani za uhakika zinasema kuwa mahudhurio hafifu ya watu ndiyo yamemsukima Dk. Slaa kuamuru kufukuzwa kwa baadhi ya viongozi hao akidai wamekisaliti chama hali iliyomfanya Mbowe kupinga, akisema
mpango huo unasababisha chama kulegalega.
Kwa mujibu taarifa za uhakika mkutao huo ulilenga kufanya thathmini baada ya ziara ya viongozi wa Chadema wilayani hapa kukosa watu wengi katika mikutano yao tofauti na matarajio yao hivyo kudai ni hujuma zinafanywa na
viongozi waliowatimua.
CHANZO: NIPASHE
Bonyeza kitufe cha Report Abuse Mkuu.............nafikiri itashughulikiwa harakaNaunga mkono hoja 100 kwa 100 hii habari haipo NIPASHE MODS acheni kulegea mnasababisha JF inakuwa kijiwe cha porojo na mambo ya uongo!!
Sio "nusura kiwake", kimesha waka huko.
Bonyeza kitufe cha Report Abuse Mkuu.............nafikiri itashughulikiwa haraka
Watakubishia!!!!!Ziara ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika mikoa ya Kanda ya Kusini, imehitimishwa kwa viongozi wa juu wa chama hicho, Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk.
Willbroad Slaa kutofautiana.
Hali hiyo ilisababisha msuguano mkali ndani ya kikao cha ndani cha tathmini kilichofanyika mjini Ruangwa muda mfupi baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi
Likangara mjini hapa.
Kutibuana huko kulitokana na Mbowe kukataa mpango wa Dk. Slaa kutimua viongozi katika maeneo mbalimbali ambako ziara hiyo imefanyika wakiwemo viongozi karibu wote wa wilaya Ruangwa mkoani Lindi.
Kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu (CWT) wilayani Ruangwa, ambapo Mbowe alipinga hatua ya Dk. Slaa kutaka baadhi ya viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Wilaya Abdallah Mang'onyola na mlezi wa chama hicho wilayani hapa Juma Lichonyo ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa mkoa wa chama hicho waachie madaraka.
Kikao hicho kilichoanza majira ya saa 2: 30 usiku hadi saa tano, kilifanyika baada ya kumalizika kwa mikutano ya hadhara katika maeneo mbalimbali na kupata mafanikio kidogo.
Habari za ndani za uhakika zinasema kuwa mahudhurio hafifu ya watu ndiyo yamemsukima Dk. Slaa kuamuru kufukuzwa kwa baadhi ya viongozi hao akidai wamekisaliti chama hali iliyomfanya Mbowe kupinga, akisema
mpango huo unasababisha chama kulegalega.
Kwa mujibu taarifa za uhakika mkutao huo ulilenga kufanya thathmini baada ya ziara ya viongozi wa Chadema wilayani hapa kukosa watu wengi katika mikutano yao tofauti na matarajio yao hivyo kudai ni hujuma zinafanywa na
viongozi waliowatimua.
CHANZO: NIPASHE
Ngoromiko, siku hizi UHURU inaitwa NIPASHE! Unajua UHURU haliaminiki ukaweka Nipesha siyo? Propaganda uchwara hizo.
Ngoromiko, siku hizi UHURU inaitwa NIPASHE! Unajua UHURU haliaminiki ukaweka Nipesha siyo? Propaganda uchwara hizo.
Nipe bei ya NIPASHE plz!Ngoromiko, siku hizi UHURU inaitwa NIPASHE! Unajua UHURU haliaminiki ukaweka Nipesha siyo? Propaganda uchwara hizo.
Mkuu humu ndani kuna mi mtu ina vichwa vigumu kama NAZI,sasa inakubishia wakati hata bei ya gazeti lenyewe hayajui...gosh!Naelewa tofauti ya UHURU na NIPASHE. Ni magazeti mawili tofauti. Source yangu ni NIPASHE, nashangaa mnatokwa na mapovu ya bluu kwa kung'ang'ana kuwa si kweli.
MODS waki-prove kuwa source yangu si kweli.... wanifungie maisha.
kama mtoto vile...si uweke link basi watu wakuelewe unang'ang'ana kulazimisha uaminiwe ilihali una kithibiotisho? weka link ya hiyo habari kuwaprove wrong wanaopingaNami naunga mkono 100% kwamba kama hii habari haiko kwenye website ya Nipashe, MODS wanifungie maisha.