Ndugu wanajf wanaoamini katika uzalendo kwa nchi yetu, ni muda muafaka wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa uchwara walioshindwa siasa na kuamua kufanya vitendo vyenye nia ovu kwa mustakabali wa nchi yetu.
Kitendo cha hivi karibuni cha hawa wahuni kwa mwavuli wa Ukawa hakipaswi kufumbiwa macho kwa sababu zifuatazo:
1. Huo umoja ni wa kisanii kwa sababu haujasajiliwa kwa mujibu wa sheria yoyote ile.
2. Wana nia ovu kwa sababu wanaamini kuwa hata wakisababisha maafa hakuna wa kukigusa hicho kikundi kwa kuwa hakipo kisheria.
Otherwise kama kweli wangekuwa na nia nzuri wangejipambanua kupitia vyama vyao.
3. Kujipambanua kuwa wanawatetea wananchi ni unafiki uliopitiliza kwa sababu wananchi wote bado fursa yetu ya kufanya maamuzi juu ya hiyo katiba hatujaitumia na tunawasubiri bmk wamalize kazi yao ili nasi tuifanye ya kwetu.
4. Hakuna mwananchi aliyewatuma kuwatetea kwa sababu nafasi ya kufanya maamuzi bado ipo wakati wa kupiga kura ya maoni.
Ni kutokana na ukweli huo hapo juu, wazi kuwa kinachofanywa na ukawa ni uhuni na uhaini kwa kujifanya kuwa wanatetea katiba ya wananchi kumbe wanatetea matumbo yao na maslahi ya mabwano zao wanaowatumikia.
Kitendo cha hivi karibuni cha hawa wahuni kwa mwavuli wa Ukawa hakipaswi kufumbiwa macho kwa sababu zifuatazo:
1. Huo umoja ni wa kisanii kwa sababu haujasajiliwa kwa mujibu wa sheria yoyote ile.
2. Wana nia ovu kwa sababu wanaamini kuwa hata wakisababisha maafa hakuna wa kukigusa hicho kikundi kwa kuwa hakipo kisheria.
Otherwise kama kweli wangekuwa na nia nzuri wangejipambanua kupitia vyama vyao.
3. Kujipambanua kuwa wanawatetea wananchi ni unafiki uliopitiliza kwa sababu wananchi wote bado fursa yetu ya kufanya maamuzi juu ya hiyo katiba hatujaitumia na tunawasubiri bmk wamalize kazi yao ili nasi tuifanye ya kwetu.
4. Hakuna mwananchi aliyewatuma kuwatetea kwa sababu nafasi ya kufanya maamuzi bado ipo wakati wa kupiga kura ya maoni.
Ni kutokana na ukweli huo hapo juu, wazi kuwa kinachofanywa na ukawa ni uhuni na uhaini kwa kujifanya kuwa wanatetea katiba ya wananchi kumbe wanatetea matumbo yao na maslahi ya mabwano zao wanaowatumikia.