- Thread starter
- #21
Tangu UKAWA walipoporomosha matusi mabaya sana dhidi ya Waasisi wa Taifa hili mimi sina hamu nao tena!
Mie nilishawaput off kitaambo
Tangu UKAWA walipoporomosha matusi mabaya sana dhidi ya Waasisi wa Taifa hili mimi sina hamu nao tena!
Kumbe ndo maana mtu anahitaji miaka 7 kumaliza shule ya msingi. Nakuona kama wewe ni wa long hapa JF, iweje huongezi uelewa? Hapa JF kama utakuwa na sifa za uelewa ni pazuri sana kiasi kwamba unaweza ukabadili uwezo wa kufikiri kwako.
Ukitaka kuwalaani UKAWA, anza kwa maoni yako juu ya Lukuvi.
Tangu UKAWA walipoporomosha matusi mabaya sana dhidi ya Waasisi wa Taifa hili mimi sina hamu nao tena!
Ndugu wanajf wanaoamini katika uzalendo kwa nchi yetu, ni muda muafaka wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa uchwara walioshindwa siasa na kuamua kufanya vitendo vyenye nia ovu kwa mustakabali wa nchi yetu.
Kitendo cha hivi karibuni cha hawa wahuni kwa mwavuli wa Ukawa hakipaswi kufumbiwa macho kwa sababu zifuatazo:
1. Huo umoja ni wa kisanii kwa sababu haujasajiliwa kwa mujibu wa sheria yoyote ile.
2. Wana nia ovu kwa sababu wanaamini kuwa hata wakisababisha maafa hakuna wa kukigusa hicho kikundi kwa kuwa hakipo kisheria.
Otherwise kama kweli wangekuwa na nia nzuri wangejipambanua kupitia vyama vyao.
3. Kujipambanua kuwa wanawatetea wananchi ni unafiki uliopitiliza kwa sababu wananchi wote bado fursa yetu ya kufanya maamuzi juu ya hiyo katiba hatujaitumia na tunawasubiri bmk wamalize kazi yao ili nasi tuifanye ya kwetu.
4. Hakuna mwananchi aliyewatuma kuwatetea kwa sababu nafasi ya kufanya maamuzi bado ipo wakati wa kupiga kura ya maoni.
Ni kutokana na ukweli huo hapo juu, wazi kuwa kinachofanywa na ukawa ni uhuni na uhaini kwa kujifanya kuwa wanatetea katiba ya wananchi kumbe wanatetea matumbo yao na maslahi ya mabwano zao wanawatumikia.
Watu kama wewe na wengine wenye mtazamo kama wa kwako hamuamini katika uhuru wa mawazo. Kwenu uhuru wa mawazo ni kushabikia chochote hata kama upuuzi as long as umetoka kwa wapinzani. Im not the one. Uzoefu wangu JF ndo umeniwezesha kupambanua issues na sio kukariri.
CCM ndio wawakilishi halali wa wananchi. Wengine ni vibaraka na mawakala wa shetani
ndugu wanajf wanaoamini katika uzalendo kwa nchi yetu, ni muda muafaka wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa uchwara walioshindwa siasa na kuamua kufanya vitendo vyenye nia ovu kwa mustakabali wa nchi yetu.
Kitendo cha hivi karibuni cha hawa wahuni kwa mwavuli wa ukawa hakipaswi kufumbiwa macho kwa sababu zifuatazo:
1. Huo umoja ni wa kisanii kwa sababu haujasajiliwa kwa mujibu wa sheria yoyote ile.
2. Wana nia ovu kwa sababu wanaamini kuwa hata wakisababisha maafa hakuna wa kukigusa hicho kikundi kwa kuwa hakipo kisheria.
Otherwise kama kweli wangekuwa na nia nzuri wangejipambanua kupitia vyama vyao.
3. Kujipambanua kuwa wanawatetea wananchi ni unafiki uliopitiliza kwa sababu wananchi wote bado fursa yetu ya kufanya maamuzi juu ya hiyo katiba hatujaitumia na tunawasubiri bmk wamalize kazi yao ili nasi tuifanye ya kwetu.
4. Hakuna mwananchi aliyewatuma kuwatetea kwa sababu nafasi ya kufanya maamuzi bado ipo wakati wa kupiga kura ya maoni.
Ni kutokana na ukweli huo hapo juu, wazi kuwa kinachofanywa na ukawa ni uhuni na uhaini kwa kujifanya kuwa wanatetea katiba ya wananchi kumbe wanatetea matumbo yao na maslahi ya mabwano zao wanawatumikia.
Ukawa imekufa inaenda kuua chadema
Mie nilishawaput off kitaambo
CCM wamegundua kuwa walichoandika akina Warioba hakikutoka kwa wananchi. Ndo maana sasa kazi inafanyika ili tuweze kupata katiba ya wananchi[/QUulishaona wapi mwananchi anaomba kuongezewa kodi? Maoni ya warioba ni mzigo
mtoa mada kalaleNdugu wanajf wanaoamini katika uzalendo kwa nchi yetu, ni muda muafaka wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa uchwara walioshindwa siasa na kuamua kufanya vitendo vyenye nia ovu kwa mustakabali wa nchi yetu.
Kitendo cha hivi karibuni cha hawa wahuni kwa mwavuli wa Ukawa hakipaswi kufumbiwa macho kwa sababu zifuatazo:
1. Huo umoja ni wa kisanii kwa sababu haujasajiliwa kwa mujibu wa sheria yoyote ile.
2. Wana nia ovu kwa sababu wanaamini kuwa hata wakisababisha maafa hakuna wa kukigusa hicho kikundi kwa kuwa hakipo kisheria.
Otherwise kama kweli wangekuwa na nia nzuri wangejipambanua kupitia vyama vyao.
3. Kujipambanua kuwa wanawatetea wananchi ni unafiki uliopitiliza kwa sababu wananchi wote bado fursa yetu ya kufanya maamuzi juu ya hiyo katiba hatujaitumia na tunawasubiri bmk wamalize kazi yao ili nasi tuifanye ya kwetu.
4. Hakuna mwananchi aliyewatuma kuwatetea kwa sababu nafasi ya kufanya maamuzi bado ipo wakati wa kupiga kura ya maoni.
Ni kutokana na ukweli huo hapo juu, wazi kuwa kinachofanywa na ukawa ni uhuni na uhaini kwa kujifanya kuwa wanatetea katiba ya wananchi kumbe wanatetea matumbo yao na maslahi ya mabwano zao wanawatumikia.
Mwana CCM mmoja mwenye akili Deo philikunjombe wa Ludewa ameuliza, kama wenzangu mnadai takwimu za warioba ni feki mnafanya nn Dodoma? "
Sawa mungu ana mpango wake, lakini hiki chama, basi tu, tatizo ni watanzania kutokinai
mtoa mada kalale