Uhuni wa ukawa huu hapa

Uhuni wa ukawa huu hapa

Mkuu yataje hapa hayo matusi...
Maana wewe huna uwezo wa kutofautisha matusi na ukweli. Eleza ni yapi yalikuwa ni matusi??

Kama hukuyasikia kamuombe Mtei, muasisi wa Chadema akupe nakala ya matusi aliyotoa Lisu Kama yeye melaani sisi nani wa kuyakana?
 
Kama hukuyasikia kamuombe Mtei, muasisi wa Chadema akupe nakala ya matusi aliyotoa Lisu Kama yeye melaani sisi nani wa kuyakana?

Mkuu achana naye huyo. Hawa ndo maalum kwa ajili ya kutolewa kafara na wakiambiwa wamsujudie Lisu, hawasita kufanya. Halafu nawashangaa watu wengine, wameshupaa kumtetea wakati mwenyewe ameshatambua kosa lake ndo maana amejificha Pemba kwa Babu ili amsafishe laana ya kumtusi Mwalimu.
 
iliwaambia toka mwanzo hiko chmacha kihuni huni....na muongozaj wa uhuni ni LISU.....CHADEMA ,CUF,NSSR yan hivi nivyama vya kihuni
 
Ni kwa nini wasingesubiri mchakato wa kutengeneza katoba ukamilike ndo wafanye hicho wakifanyacho. Hiki ni kielelezo tosha cha uhuni wao. Wanajuaje kuwa wananchi hawatapinga watapinga katiba itakayowasilishwa kwao.

Kumbe wewe huna akili kabisa!! Nikifikiri umeandika kitu unachokijua kumbe hopeless kabisa.
 
Kama unaweza kutambua mwanao mmoja ni muhuni na ukashindwa kumtambua taahira basi wewe ni zaidi ya chizi.
 
Ukizoe uongo huachi. Takwimu Mbovu Dodoma mnafanya nini? Nendeni majimboi kwenu mkavune na wanchi?
 
wewe mbona ulikaa na mwenzi wako kwa miezi/miaka ndo ukaamua kutangaza nia baada ya kufahamu mwaweza kuwa pamoja kisheriaaaaa?
 
UKAWA ni kikundi kinachoongozwa na wwtu mataahira wa kisiasa

Wewe ndiye taahira namba moja maana kushabikia ccm lazima utakuwa na upungufu wa akili kabisa,ccm inatesa wananchi indirectly ba hata ibadharau maoni yao na wewe unajifanya eti mwana ccm!hakika una mapungufu.
 
Kukosolewa ni jambo moja na kutukanwa ni jambo jingine.

Samahani mkuu, ni kivipi waasisi walitukanwa? Na ilikuwa na nani? Maana kila siku me nasikia kuwa waasisi wametukanwa but ni kivip? sifahamu!!
 
Hata kundi la 201 halijasajiliwa lakini linatajwa...au hapo unaona vipi mkuu

Wewe kweli hamnazo, sheria ya kutunga katiba mpya inalitambua kundi la wajumbe 201 wa kuteuliwa na rais na sheria hiyo iko wazi.Kasome
SHERIA YA MABADILIKO YA KATIBA SURA YA 83(TOLEO LA MWAKA, 2012)
 
Nakuomba tena, Toa maoni yako juu ya Lukuvi.

Kwangu mimi he was just another senior nonsense member of the bunge la katiba, with very less effective brain, unfortunately, very much appreciated by fellow CCM members and pro-CCM like you! This puts UKAWA at a higher level of thinking. A level of and at a public sense.

Hawa jamaa wasikuchoshe wana ugonjwa unaitwa SMS (SELECTIVE MEMORY SYNDROME)

Wanachagua pale wanpoona pana wafaa tu vingine wanaviacha. Ugonjwa mbaya sana huo.
 
Back
Top Bottom