Uhuni wa shule binafsi

Uhuni wa shule binafsi

Kwa wahaya pale tabata ata usiwapeleke mpaka kinyozi ni muhaya pale😂😂.
.
Wapeleke St ann ipo mbezi luis mmiliki wake nae ni muhaya (mbunge wa bukoba) ila haina itikadi za kihaya.
Wahaya wanazidi kuwachoma misindano tu.......hahahhahahah
 
Sasa unakimbilia huku kuja kulialia ndio wamiliki wa shule wapo?? Pia shule binafsi ziko zaidi ya elfu moja nchi nzima. Inakuaje uwajumlishie huko?? Pia wewe yaelekea ulikuwa unalipa ada ya wanao kwa vibaba kiasi kwamba wameshindwa kutunza kumbukumbu zako. Pia yaelekea vyuma vimekaza unatafuta kisingizio cha kuwahamishia kule elimu bure.
 
Hapa kila mtu atasema anasomesha watoto wake English medium hata kama hajawahi kuzaa
 
Kwa wahaya pale tabata ata usiwapeleke mpaka kinyozi ni muhaya pale😂😂.
.
Wapeleke St ann ipo mbezi luis mmiliki wake nae ni muhaya (mbunge wa bukoba) ila haina itikadi za kihaya.
Haa ha ha, mkuu kwani kuna tatizo gani staff wote wakiwa Wahaya!? Unahisi watoto watakua wanafundishwa Kihaya!?
 
Sometimes unaweza uka una overpay mkuu.mimi watoto wangu wa kike ndo napeleka english medium primary ili wawe na class wasijenyanyaswa na wanume kama ninavyonyanyaswa ila wakiume napelekea Magufuli wajifunze kuwa fighters.All in All kupanga ni kuchagua
Pole sana mama
 
Sikutaja nafasi iliyoshika boss kwa DSM yenyewe ndo namba moja na kitaifa ni kama ulivyosema wewe. Mtoto ni mara mia tatu umpeleke st ann kuliko shule zingine.
.
Green acres wanavimwalimu vya ajabu sana mwalimu ana division 4 ya 32 anamfundisha mtoto kizungu nilishangazwa sana, lakini st ann wapo strictly kwenye ufundishaji wao
Mkuu st. Anne hapafai napajua sana sema hatuwezi sema hadharani hata kutokuw kwenye while zilizofutiwa mitihani ni maajabu ya dunia.Mkuu wa shule ile had I Advanced level in form six leaver tena div.three.Ni usanii mtupu.
 
Kayumba tulizo soma Sisi ni tofauti na hizi za sasa ambazo watoto wa drs la saba wanaulizwa swali:

Rais wa kwanza wa Tz alikuwa anaitwa Mwalimu Julius Kambarage Nyere_

A. Ra
B. Ri.
C.Re. ( )
Ha Ha Ha Ha HA. So funny.
Niwaelezee wazazi tunahangaika sana. Wengi tunakimbilia Private schools, we have to be very very very careful tusije poteza pesa zetu na kupata elimu za kubabaisha. Hivi unadhani kwa nini shule ya privte a- Ada ni 60mill. kwa mwaka na nyingine 3 mil kwa mwaka? NAdhani utapata jibu kwa kifupi shule nyingine za private standar zake ni Poor kabisa. Kwa kifupi Sylabus ya Tanzania ( mnazoziita za kayumba) bado ni perfect labda tu kiingereza ( ambacho nakubaliana nacho ni muhimu). Naomba Wizara ya Elimu kwani ndiyo hiyo hiyo inasimamia Private Schoold kama mlikuwa hamjui, ifanye assessment ya shule zoote za Private na ziwekewe daraja za ubora kama Hotels ili wazazi watoe hela kihalali wanaotaka na wenye pesa. Otherwise shule za Public bado ni super na kwa sasa kutokana na Serekali ya Awamu ya 5 zitazidiku kuwa excellent kama Vyuo vya Serekali. Tatizom a shele za Private ni kiutafuniwa kila kitu! Wakifika vyuoni inakuwa shida!
I can give you my experienece. Mimi nilisoma a very good nursery school- mpaka sasa sijawahi kuona nursery school nzuri kama ile Tanzania- LakininStd 1 to 7 ( St. Kayumba), kufika form One Mweeee, wale watu wazima wenzangu je mnakumbuka kitabu ' Learning Through Language?!?!?!?!?!? Tuachie hapo, sitaitaja shule kuepuka identification la kini ni shule moja yam Serekali, watoto wengi wa 'wakubwa' walikuwa wanasoma pale , yopu can imagine , wengine wametoka Olympio, wengine St. Joseph ( English medium school) - Mweee- (jamani watoto wa siku hizi wale wanaosoma Swahili medium schoo mnaweza kutumia mitandao kujifunza English jamani). Temu ya kwanza - kizunguzungu- waliotoka english medium school -wanaongoza- Lakini shule niliyotoka tulifundishwa yoooote- nakumbuka Sayansi namini wengi tulipata Mia kwa mia. Sasa Issue Kiingereza. Kufupisha story temu yapili St. Kayumba tuliwaaacha mbaali wenzetu. ( imagine sisis miaka saba kiswahili. Wenzetu miaka saba Kiingereza) ilichukua miezi sitat tu kuwa nao sambamba na kuwapita. Tuzidi kuishinikiza Serekali kuboresha ( uzuri wameanza kuziboresha kwa speed ya ajabu) basi Wenye watoto Shule za kiswahili wasisononeke lakini wazazi, tutumie muda mwingi saaana kuwasimamia watoto katika masomo wata-make it tu- Kuwa himiza wajifunze kiingereza kwenye mitandao jamani endapo issue ni kiingereza.
 
Kuna shule ya Msingi inaitwa Sinza,hivi ile ni ya Binafsi au ya Serikali? Nilikuwa naangalia matokeo ya Darasa la Saba aiseee inafanya vizuri kweli kweli.Halafu pia naangalia matokeo ya baadhi ya shule za binafsi mbona zina matokeo ya ovyo ovyo mpaka ikanipa wakati mgumu wa kuchagua shule.Halafu hiyo Tusiime inayopewa Promo naona nao wamekuwa na tamaa na Pesa.Shule ina wanafunzi wengi kama shule ya Kayumba.Huko Sekondari ndio balaaa wanatoa hadi divisheni zinazokaribia na zero.
 
Ha Ha Ha Ha HA. So funny.
Niwaelezee wazazi tunahangaika sana. Wengi tunakimbilia Private schools, we have to be very very very careful tusije poteza pesa zetu na kupata elimu za kubabaisha. Hivi unadhani kwa nini shule ya privte a- Ada ni 60mill. kwa mwaka na nyingine 3 mil kwa mwaka? NAdhani utapata jibu kwa kifupi shule nyingine za private standar zake ni Poor kabisa. Kwa kifupi Sylabus ya Tanzania ( mnazoziita za kayumba) bado ni perfect labda tu kiingereza ( ambacho nakubaliana nacho ni muhimu). Naomba Wizara ya Elimu kwani ndiyo hiyo hiyo inasimamia Private Schoold kama mlikuwa hamjui, ifanye assessment ya shule zoote za Private na ziwekewe daraja za ubora kama Hotels ili wazazi watoe hela kihalali wanaotaka na wenye pesa. Otherwise shule za Public bado ni super na kwa sasa kutokana na Serekali ya Awamu ya 5 zitazidiku kuwa excellent kama Vyuo vya Serekali. Tatizom a shele za Private ni kiutafuniwa kila kitu! Wakifika vyuoni inakuwa shida!
I can give you my experienece. Mimi nilisoma a very good nursery school- mpaka sasa sijawahi kuona nursery school nzuri kama ile Tanzania- LakininStd 1 to 7 ( St. Kayumba), kufika form One Mweeee, wale watu wazima wenzangu je mnakumbuka kitabu ' Learning Through Language?!?!?!?!?!? Tuachie hapo, sitaitaja shule kuepuka identification la kini ni shule moja yam Serekali, watoto wengi wa 'wakubwa' walikuwa wanasoma pale , yopu can imagine , wengine wametoka Olympio, wengine St. Joseph ( English medium school) - Mweee- (jamani watoto wa siku hizi wale wanaosoma Swahili medium schoo mnaweza kutumia mitandao kujifunza English jamani). Temu ya kwanza - kizunguzungu- waliotoka english medium school -wanaongoza- Lakini shule niliyotoka tulifundishwa yoooote- nakumbuka Sayansi namini wengi tulipata Mia kwa mia. Sasa Issue Kiingereza. Kufupisha story temu yapili St. Kayumba tuliwaaacha mbaali wenzetu. ( imagine sisis miaka saba kiswahili. Wenzetu miaka saba Kiingereza) ilichukua miezi sitat tu kuwa nao sambamba na kuwapita. Tuzidi kuishinikiza Serekali kuboresha ( uzuri wameanza kuziboresha kwa speed ya ajabu) basi Wenye watoto Shule za kiswahili wasisononeke lakini wazazi, tutumie muda mwingi saaana kuwasimamia watoto katika masomo wata-make it tu- Kuwa himiza wajifunze kiingereza kwenye mitandao jamani endapo issue ni kiingereza.
Shule za serikali zinaweza kuwa vizuri sana.Tena Kwa sasa hivi uwezekano wa watoto kufanya vizuri ni mkubwa.Ila wafanye yafuatayo kuboresha
1.Idadi ya wanafunzi madarasani iwe standard siyo Darasa lina wanafunzi 80.
2.Wazazi wawafuatilie watoto wao na kuwasimamia kama wanavyofanya kwa watoto wanaosoma private.
3.Shule ziwe na mazingira mazuri.
4.Serikali iongeze hela za kuendeshea shule.
Nakuhakikishia shule zitakuwa vizuri tu.Shule za Private ni ada tu imekuwa kubwa lakini matokeo yao hayana tofauti sana na Kayumba.Angalia matokeo unakuta wanafunzi kibao wamepata maksi za C.Sasa mtoto umemlipia milioni kumi Kwa mwaka then naye anapata C kama kayumba?
 
Kuna shule moja ya serikali inafanyiwa majaribio.Katika miaka kadhaa ijayo wanataka kuona kama itakuwa ipo katika viwango vya juu vya kufaulisha.
 
elimu bure ilikuwa kipindi cha mwalimu tulichosoma sisi; kwa sasa kama una kauwezo ka kundunduliza aise nakushauri kula ugali kabechi mpeleke mtoto shule za maana!! mjengee future nzuri atakushukuru sana kwa maisha yake.
Shule za Private za kupeleka watoto muwe mnafanya upembuzi yakinifu kabla ya kupeleka mtoto kuna nyingine hazina tofauti na kayumba.Ada kubwa anachopata hakuna
 
Back
Top Bottom