Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Mlete feza bro
Mkuu tukubali tukatae,usawa wa kijinsia unapatikana kwa kuwapa binti zetu elimu bora kwanza.Ndio maana lazima tuhakikisha hawa binti zetu tunawaempower ili wapate elimu bora kabisaAisee, kumbe ndiyomaana Wanawake wasomi wana viburi ambavyo tangu niwajue Wanawake vizuri sijawahi kuona?
Kumbe hivi ndivyo jinsi wanavyoharibiwa hao Mama & Dada zetu kisaikolojia?
Kuwa "soma mwanangu wa kike ili usije kunyanyaswa na Mumeo atayekuoa"?
So tayari Mtoto wa kike anasoma huku akiwa kashaathirika kisaikolojia kuwa Mwanaume yeyote atayemuoa ni mnyanyasaji?
Hata kama Mungu kamjalia huyo Mwanaume atayekuja kumuoa hekima na busara kwa kulelewa toka kwa wazazi wake akiwa mdogo naye atakuwa ni mnyanyasaji tu akija kumuoa huyo binti yako?
Mungu nisaidie nisije kumpumbaza mtoto wangu wa kike na kumuharibu kiakili kama huyu Mama, maana kashaathirika na manyanyaso ya Mumewe kwa kujua kuwa ndivyo jinsi Wanaume wote tulivyo, badala ya kupiga magoti akikuomba kwa sala ya dhati na kufunga umbadilishie Mumewe aweze kuishi naye katika hekima kwa kuwa hakuna linaloshindikana kwako Mungu muweza ya yote.
Jingine Ni taaluma ya mwanao waweza kuta watoto 100 wote wanna aandikiwa wamekuwa wa 1,2,3 hasa hufanya hivi kwa watoto ambao hawaishi karibukaribuKuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.
Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.
Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.
Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.
Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.
MY REACTION
Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.
Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.
Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.
Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.
Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.
Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.
Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi
😂😂😂😂😂😂nimecheka ila sikutakiwa kucheka!..poleSometimes unaweza uka una overpay mkuu.mimi watoto wangu wa kike ndo napeleka english medium primary ili wawe na class wasijenyanyaswa na wanume kama ninavyonyanyaswa ila wakiume napelekea Magufuli wajifunze kuwa fighters.All in All kupanga ni kuchagua
😂😂😂... mimi mwenyewe wanangu wamekaa 6mths bila kuwapa vitabu.. nikawa naogopa kuwzukia shule maana sijui nn kingetokea.. aisee nilivyoenda siku 1😂😂😋mume wangu akasema ww utafanya watoto wafukuzwe shule nilicharukaHili jambo ni kweli, mimi nililetewa deni la Tsh 87,500/= nikamtuma mama la mama akafuatilie ilo suala maana najijua kwa hasira
Mimi naujua huu mchezo so huwa ninchofanya ni kuangalia maendeleo ya mtoto vis nafasi yake darasani.Kuna mambo ukiona mtoto yanampiga chenga basi umeliwaJingine Ni taaluma ya mwanao waweza kuta watoto 100 wote wanna aandikiwa wamekuwa wa 1,2,3 hasa hufanya hivi kwa watoto ambao hawaishi karibukaribu
Ungwagawia kelebu za haja kama ulivyorithishwa na Juma jambaKuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.
Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.
Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.
Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.
Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.
MY REACTION
Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.
Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.
Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.
Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.
Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.
Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.
Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi
Ile ndo haifai kabisa wezi was mtihani na upuuzi mwingi ada inabadirika kila term.Kwa wahaya pale tabata ata usiwapeleke mpaka kinyozi ni muhaya pale.
.
Wapeleke St ann ipo mbezi luis mmiliki wake nae ni muhaya (mbunge wa bukoba) ila haina itikadi za kihaya.
Halafu Kuna jingine la kubadilisha karatasi za mitihani ya watoto hasa wa madarasa ya chini awali - darasa la 4 kwa kuwa aandikia majina watoto ambao wana ukaribu na wazazi wao wenye mpunga mrefu ili kuchota Ankara toka kwao.halafu mitihani ya hao gojogojo hupewa wasio na mpunga mrefu.ila ubora wa elimu ya mwanao utaipata ktk mazoezi utakayompa home na katika mitihani ya Baraza ANAFUMUA MBAYAMimi naujua huu mchezo so huwa ninchofanya ni kuangalia maendeleo ya mtoto vis nafasi yake darasani.Kuna mambo ukiona mtoto yanampiga chenga basi umeliwa
BURE GHALI MPAKA MTOTO ANAMALIZA STD SEVEN HAMNA MATUMAINI HATA YA KUPATA WASTANI WA CMkuu shule za ELIMU bure zimejaa kwann uteseke??
Kuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.
Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.
Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu. Tuweni makini sana na shule hizi
Lakini ndiyo imeongoza kitaifa kwa matokeo ya darasa la saba.Ile ndo haifai kabisa wezi was mtihani na upuuzi mwingi ada inabadirika kila term.
Kwanza haijaongoza kitaifa,imeongza Dsm kitaifa in ya sita lakini kwa kuiba mtihani.Hiyo ndo Sera yao siku zote.Lakini ndiyo imeongoza kitaifa kwa matokeo ya darasa la saba.
Sikutaja nafasi iliyoshika boss kwa DSM yenyewe ndo namba moja na kitaifa ni kama ulivyosema wewe. Mtoto ni mara mia tatu umpeleke st ann kuliko shule zingine.Kwanza haijaongoza kitaifa,imeongza Dsm kitaifa in ya sita lakini kwa kuiba mtihani.Hiyo ndo Sera yao siku zote.