Uhuni wa shule binafsi

Uhuni wa shule binafsi

Aisee, kumbe ndiyomaana Wanawake wasomi wana viburi ambavyo tangu niwajue Wanawake vizuri sijawahi kuona?

Kumbe hivi ndivyo jinsi wanavyoharibiwa hao Mama & Dada zetu kisaikolojia?
Kuwa "soma mwanangu wa kike ili usije kunyanyaswa na Mumeo atayekuoa"?

So tayari Mtoto wa kike anasoma huku akiwa kashaathirika kisaikolojia kuwa Mwanaume yeyote atayemuoa ni mnyanyasaji?

Hata kama Mungu kamjalia huyo Mwanaume atayekuja kumuoa hekima na busara kwa kulelewa toka kwa wazazi wake akiwa mdogo naye atakuwa ni mnyanyasaji tu akija kumuoa huyo binti yako?

Mungu nisaidie nisije kumpumbaza mtoto wangu wa kike na kumuharibu kiakili kama huyu Mama, maana kashaathirika na manyanyaso ya Mumewe kwa kujua kuwa ndivyo jinsi Wanaume wote tulivyo, badala ya kupiga magoti akikuomba kwa sala ya dhati na kufunga umbadilishie Mumewe aweze kuishi naye katika hekima kwa kuwa hakuna linaloshindikana kwako Mungu muweza ya yote.
Mkuu tukubali tukatae,usawa wa kijinsia unapatikana kwa kuwapa binti zetu elimu bora kwanza.Ndio maana lazima tuhakikisha hawa binti zetu tunawaempower ili wapate elimu bora kabisa
 
Kuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.

Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.

Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.

Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.

Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.

MY REACTION

Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.

Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.

Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.

Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.

Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.

Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.

Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi
Jingine Ni taaluma ya mwanao waweza kuta watoto 100 wote wanna aandikiwa wamekuwa wa 1,2,3 hasa hufanya hivi kwa watoto ambao hawaishi karibukaribu
 
Hii shule haipo Maeneo ya Kibo na tawi lingine Mabibo kweli
 
Sometimes unaweza uka una overpay mkuu.mimi watoto wangu wa kike ndo napeleka english medium primary ili wawe na class wasijenyanyaswa na wanume kama ninavyonyanyaswa ila wakiume napelekea Magufuli wajifunze kuwa fighters.All in All kupanga ni kuchagua
😂😂😂😂😂😂nimecheka ila sikutakiwa kucheka!..pole
 
Hili jambo ni kweli, mimi nililetewa deni la Tsh 87,500/= nikamtuma mama la mama akafuatilie ilo suala maana najijua kwa hasira
😂😂😂... mimi mwenyewe wanangu wamekaa 6mths bila kuwapa vitabu.. nikawa naogopa kuwzukia shule maana sijui nn kingetokea.. aisee nilivyoenda siku 1😂😂😋mume wangu akasema ww utafanya watoto wafukuzwe shule nilicharuka
 
Jingine Ni taaluma ya mwanao waweza kuta watoto 100 wote wanna aandikiwa wamekuwa wa 1,2,3 hasa hufanya hivi kwa watoto ambao hawaishi karibukaribu
Mimi naujua huu mchezo so huwa ninchofanya ni kuangalia maendeleo ya mtoto vis nafasi yake darasani.Kuna mambo ukiona mtoto yanampiga chenga basi umeliwa
 
Kuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.

Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.

Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.

Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.

Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.

MY REACTION

Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.

Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.

Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.

Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.

Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.

Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.

Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi
Ungwagawia kelebu za haja kama ulivyorithishwa na Juma jamba
 
Mimi naujua huu mchezo so huwa ninchofanya ni kuangalia maendeleo ya mtoto vis nafasi yake darasani.Kuna mambo ukiona mtoto yanampiga chenga basi umeliwa
Halafu Kuna jingine la kubadilisha karatasi za mitihani ya watoto hasa wa madarasa ya chini awali - darasa la 4 kwa kuwa aandikia majina watoto ambao wana ukaribu na wazazi wao wenye mpunga mrefu ili kuchota Ankara toka kwao.halafu mitihani ya hao gojogojo hupewa wasio na mpunga mrefu.ila ubora wa elimu ya mwanao utaipata ktk mazoezi utakayompa home na katika mitihani ya Baraza ANAFUMUA MBAYA
 
Endeleeni na Elimu Bure,wachagga wanasomesha watoto wao kwa mamilioni ya hela alafu wakipata uongozi mbalialia uoendeleo na kulipiza visasi kama huyu jamaa wenu wa sasa
 
Kuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.

Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.

Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu. Tuweni makini sana na shule hizi

Kwahiyo wanao wanafundishwa na kenge sio, sijui akili zao zitakuwaje!!??
 
mpeleke st.kayumba huko ni kununua uniform na kuwastress walimu tu akija dc!
 
Kwanza haijaongoza kitaifa,imeongza Dsm kitaifa in ya sita lakini kwa kuiba mtihani.Hiyo ndo Sera yao siku zote.
Sikutaja nafasi iliyoshika boss kwa DSM yenyewe ndo namba moja na kitaifa ni kama ulivyosema wewe. Mtoto ni mara mia tatu umpeleke st ann kuliko shule zingine.
.
Green acres wanavimwalimu vya ajabu sana mwalimu ana division 4 ya 32 anamfundisha mtoto kizungu nilishangazwa sana, lakini st ann wapo strictly kwenye ufundishaji wao
 
Kuna shule inaitwa Brain Trust School acha kabisa yaani bado wiki shule ifungwe halafu mwanangu kaandikiwa barua eti anadaiwa 90,000 ya usafiri kumamae nikasema hapa walimu watakuwa wanatafuta hela ya sikukuu sitoi hata senti
 
Nasikia kuna baadhi ya shule wanafunzi wote darasani wanakuwa top 3.
 
Back
Top Bottom