steam of ice
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 257
- 172
Hahahahaaaa.... Mzaz wa. Come hpn chezea kumbukumb wezi kla kona wpo ni mbinu tu



Hii ni promo Kwa TUSIIME. Ntapeleka na mimi mtoto TusiimeKuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.
Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.
Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.
Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.
Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.
MY REACTION
Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.
Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.
Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.
Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.
Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.
Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.
Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi
😀😀😀😀😀😀mkuu hili swal ni kwamba lilikuwepo kweny mitihan yao ya kumaliza au?Kayumba tulizo soma Sisi ni tofauti na hizi za sasa ambazo watoto wa drs la saba wanaulizwa swali:
Rais wa kwanza wa Tz alikuwa anaitwa Mwalimu Julius Kambarage Nyere_
A. Ra
B. Ri.
C.Re. ( )
Mkuu jikune unapo jiweza hata mtembea miguu atasema yanini gari au mwendokasi wakati miguu unayo?.Kuna Ufahari Gani Wa Kusomesha Watoto Kwenye Shule Hizo Wakati Za Umma Zipo? Shule Za Umma Hazina Upuuzi Huo Wa Kukamua Wazazi
Asubuhi nimesema usikute hili jamaa linamiliki mke na watoto, baada ya kuleta uzi wa Mange kimambi. Hapa jamvini.Kuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.
Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.
Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.
Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.
Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.
MY REACTION
Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.
Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.
Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.
Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.
Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.
Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.
Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi
Hata nifulie vipi sipeleki mwanangu shule za elimu bureKuna Ufahari Gani Wa Kusomesha Watoto Kwenye Shule Hizo Wakati Za Umma Zipo? Shule Za Umma Hazina Upuuzi Huo Wa Kukamua Wazazi
Dah... Sijakuelewa mkuu...Hata nifulie vipi sipeleki mwanangu shule za serikHata nifulie vipi sipeleki mwanangu shule za elimu bure



elimu bure ilikuwa kipindi cha mwalimu tulichosoma sisi; kwa sasa kama una kauwezo ka kundunduliza aise nakushauri kula ugali kabechi mpeleke mtoto shule za maana!! mjengee future nzuri atakushukuru sana kwa maisha yake.Mkuu shule za ELIMU bure zimejaa kwann uteseke??
Aisee, kumbe ndiyomaana Wanawake wasomi wana viburi ambavyo tangu niwajue Wanawake vizuri sijawahi kuona?Sometimes unaweza uka una overpay mkuu.mimi watoto wangu wa kike ndo napeleka english medium primary ili wawe na class wasijenyanyaswa na wanume kama ninavyonyanyaswa ila wakiume napelekea Magufuli wajifunze kuwa fighters.All in All kupanga ni kuchagua
alaa kumbe yupo vizurLwakatare
Ua smart, sidhani kama wengi wamenotice hilo.Lipia tangazo mkuu la kuipromoti hyo shule ya tusiime
Mkuu shule za ELIMU bure zimejaa kwann uteseke??