LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,303
Kuna kamchezo Fulani kachafu sana kanafanywa na wamiliki wa shule za private ( Nursery and Primary ).Usipokuwa makini unaweza kuingia kingi.
Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.
Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.
Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.
Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.
MY REACTION
Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.
Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.
Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.
Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.
Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.
Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.
Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi
Ni hivi nasomesha Watoto wawili shule mbili tofauti.Mmoja class 5mwingine chekechea.
Ada nishamaliza kote but nimeletewa memos.
Wa std 5 memo inasema nadaiwa laki tatu na ishirini.
Wa vidudu memo inasema nadaiwa laki na 39.
MY REACTION
Wa Std 5 nikaandika barua kwenye uongozi wa shule kuwaomba wanipe ufafanuzi wa deni langu.Barua iliambatana na nakala za malipo niliyo Fanya kwa mwaka mzima.
Naona wakawa wapole na kujikausha as if they wrote nothing to me.
Barua yao ilikuwa inasisitiza eti pesa hiyo isipolipwa mtoto hatoruhusiwa kufanya mitihani.***** ZAO.
Sasa hivi wana agiza hela ya beach.
Wa chekechea nimewapigia simu wahusika kuwaomba wanipe ufafanuzi but kila nikipiga naambiwa ooh sipo ofisini ntakufafanulia vizuri nikifika ofisini and blah blah.
Leo nimewaibukia wakaanza kujikanyaga kanyaga mwisho wa siku naambiwa kuna makosa yalifanyika.
Kama mnatafuta hela ya xmass semeni nyie kenge nyie sio kubambikizia watu ***** zenu.
Nimekuwa disappointed na shule hizo mbili and mwakani Wanangu nawahamishia Tusiime pale najua hakuna longo longo.
Kama wameshindwa kuwa waaminifu kwa pesa kidogo kama hiyo inonekana hata taarifa wanazo nippa kuhusu maendeleo ya watoto ni za uongo pia ili kuni encourage niamini shule inafundisha vizuri.
FALSUS IN UNO FALSUS IN OMNIBUS ( FALSE IN ONE THING FALSE IN EVERY THING)
Tuweni makini sana na shule hizi