Get well soon Kiwia!
Tusaidie ili wahusika wawe accountable for........
Get well soon Kiwia!
Nadhani mleta mada na baadhi ya wachangiaji humu hawaelewi na hawana ufahamu kwa wanayoyaongea.
Ni kweli Mh Kiwia alivamiwa na kuumizwa. Kwa binadamu yoyote mwenye hofu ya Mungu,hilo ni jambo baya na linapaswa kulaaniwa bila kujali lilitekelezwa na nani.
Imani yangu, na naamini wengi hamjui ni kwamba si Mh Kiwia, wala chama chake cha CHADEMA, wala mashahabiki wa Chadema au ninyi washadadiaji aliyetoa hata senti tano nyekundu kwa safari yote ya Mh Kiwia tena na msindikizaji wake kutibiwa India.
Hiyo serikali mnayoishutumu na kuitukana utadhani mmezaliwa na wazazi mabazazi wakati wazazi wenu ni watu wema na wenye heshima tu,ndiyo imegharamia na inaendelea kugharamia safari na matibabu yote ya Mh Kiwia.
Hivi hiyo serikali pamoja na kuinyonga kwote kwa nini wakati mwingine msiipe haki ya kuishukuru pale inapobidi? ?
Mkuu nnaomba tuende sawa ,ni kama unafurahia kwa sababu Serikali ina pesa basi iwaue na kuwajeruhi wananchi wake kwa sababu ina pesa za kuwagharamia ,wanacholaumu wachangiaji hapa ni kuwa hakuna hatua zozote kali zilizochukuliwa dhidi ya wale waliomshambulia mbunge huyo kutoka Chadema pia hakuna hatua zozote kali zilizochukuliwa dhidi ya askari waliokuwa eneo la tukio na waliacha kulizuia wakati uwezo walikuwa nao wa kufanya hivyo.Sasa ni nini maana ya usalama wa raia na mali zake?.Uwajibikaji nchi hii hakuna tena ,wapinzani na raia masikini hawana tena haki na wakiitaka wanatakiwa kuinunua.
Bahati mbaya sana haya manyang'au ndo wanatawala nchi, halafu umoja wa mataifa upo kimya tu raia wanateswa na serikali!
Hivi wazazi wako wanaposoma uliyoyaandika humu wanajisikiaje ? NATANGAZA KUKUDHARAU RASMI NA MOJA KWA MOJA KUANZIA LEO HADI PALE UTAKAPOKUFA , UMEUTIA AIBU UKOO WAKO WOTE .slaa alivyo anguka bafuni na yeye mpeleke apolo pia msimsahau lema kurekebishwa tigo network tangu avumbuliwe
.... Kwakweli ccm ni masokwe, siyo binadamu kabisa
Bahati mbaya sana haya manyang'au ndo wanatawala nchi, halafu umoja wa mataifa upo kimya tu raia wanateswa na serikali!
Unatumia kichwa kufugia nywele tuHansard inaonyesha kwamba pamoja na polisi kusimamia mauaji hayo pia ametajwa mbunge wa viti maalum MARIA HEWA kuwa nyuma ya mpango huo , mwisho wa kunukuu .