Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Nchi hii kuna viongozi wa ajabu ajabu sana, hivi waziri anapata wapi mamlaka ya kuzuia uhamisho wa mtumishi wa umma ambaye mkataba wake unamruhusu kuhamia eneo lolote kisheria?
Utakuta mtu ana miaka mpaka 8 hadi 10 anafanya kazi ndani ya eneo moja, lakini leo hii anaomba kuhama kufuata familia yake anajitokeza mtu mmoja kwa jeuri yake anasema uhamisho umesitishwa. Hivi wewe Ndugu Ummu ungekaa miaka 8 mbali na ndoa yako ungefurahia?
Mnakuwa na statements za hovyo eti mtu akitaka kuhama ni mpaka wabadilishane kituo, kwa utaratibu upi? Mkataba umeandikwa kubadilishana au ni ukuaji wenu tu?
Kwakweli serikali chini ya CCM ni shida tupu. Hatuwezi kuendesha nchi kwa matamko tu bila kufuata sheria, mmeshindwa kuendesha nchi mmebakia na matamko na kusaidiwa na polisi. Hii haikubaliki muondoke tu muache kunyanyasa watu bila sababu.
Mambo ya kusema kama hutaki acha kazi, ni kauli zisizo na uungwana kila mwananchi ana haki yake kutakiwa Serikalini ikiwa ana sifa. Mambo ya kama hutaki kufanya kazi acha si kauli nzuri hata kidogo.
Utakuta mtu ana miaka mpaka 8 hadi 10 anafanya kazi ndani ya eneo moja, lakini leo hii anaomba kuhama kufuata familia yake anajitokeza mtu mmoja kwa jeuri yake anasema uhamisho umesitishwa. Hivi wewe Ndugu Ummu ungekaa miaka 8 mbali na ndoa yako ungefurahia?
Mnakuwa na statements za hovyo eti mtu akitaka kuhama ni mpaka wabadilishane kituo, kwa utaratibu upi? Mkataba umeandikwa kubadilishana au ni ukuaji wenu tu?
Kwakweli serikali chini ya CCM ni shida tupu. Hatuwezi kuendesha nchi kwa matamko tu bila kufuata sheria, mmeshindwa kuendesha nchi mmebakia na matamko na kusaidiwa na polisi. Hii haikubaliki muondoke tu muache kunyanyasa watu bila sababu.
Mambo ya kusema kama hutaki acha kazi, ni kauli zisizo na uungwana kila mwananchi ana haki yake kutakiwa Serikalini ikiwa ana sifa. Mambo ya kama hutaki kufanya kazi acha si kauli nzuri hata kidogo.