Jamani mbona kimya ni kweli hakuna mwenye taarifa yoyote?
una hofu ya nini subiri barua!jamani mbona kimya ni kweli hakuna mwenye taarifa yoyote?
upo uhamisho ndiyo wiki hii na wengi waliokuwa wakuu wa idara wamepewa UDED katika baadhi ya halmashauri za wilaya, pia wapo vijana waliopewa ukuu wa idara katika local govt maeneo mbali wa mbali, nafaham maeneo machache kama Geita watu wanapelekwa, Mtwara, Iringa. Kwa ujumla kuna uteuzi wa wapya wengi kuliko wanaohamishwa
Habari wana jf, Mwenye taarifa kuhusu aliye teuliwa kuwa mkurugenzi ya manispaa ya Arusha atujuze, alipotokea, na aliyekuwepo awali ameamishiwa wapi..
Mnataka mumteke au mfanye vitendo vya kigaidi.Habari wana jf, Mwenye taarifa kuhusu aliye teuliwa kuwa mkurugenzi ya manispaa ya Arusha atujuze, alipotokea, na aliyekuwepo awali ameamishiwa wapi..