Emmanuel David jr
Senior Member
- Dec 20, 2015
- 154
- 67
Daaah mpaka mke wake amshike kwenye utamu etiAiseee uhamisho nishidaaa hakieleweki labda mpaka mzee atakapoamka vizuri.noma kweli yaani
Daaah mpaka mke wake amshike kwenye utamu etiAiseee uhamisho nishidaaa hakieleweki labda mpaka mzee atakapoamka vizuri.noma kweli yaani
Nyumban ni nyumban
Njoo mtwara mi nije ruvuma idara ya secondary. 0766269332
Nyumban ni nyumban
Njoo mtwara mi nije ruvuma idara ya secondary. 0766269332
Uhamisho wa Tz huzingatia maslai ya nchi na sio matatizo waliyonayo watumishi. Kwa mtazamo wangu mwaka huu uhamisho haupo kwa sababu baadhi ya sector, elimu kwa mfano; walimu walioko shuleni wameshamaliza mada zote. Hivyo labda wanaweza kutoa uhamisho pamoja na ajira from January 2017
Uhamisho wa Tz huzingatia maslai ya nchi na sio matatizo waliyonayo watumishi. Kwa mtazamo wangu mwaka huu uhamisho haupo kwa sababu baadhi ya sector, elimu kwa mfano; walimu walioko shuleni wameshamaliza mada zote. Hivyo labda wanaweza kutoa uhamisho pamoja na ajira from January 2017
HuwelewekiUhamisho wa Tz huzingatia maslai ya nchi na sio matatizo waliyonayo watumishi. Kwa mtazamo wangu mwaka huu uhamisho haupo kwa sababu baadhi ya sector, elimu kwa mfano; walimu walioko shuleni wameshamaliza mada zote. Hivyo labda wanaweza kutoa uhamisho pamoja na ajira from January 2017