Uhamiaji wadai Heche amevuka mpaka wa Sirari kinyume na sheria

Uhamiaji wadai Heche amevuka mpaka wa Sirari kinyume na sheria

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
654
Reaction score
1,598

KUHUSU MHE. JOHN WEGESA HECHE KUONDOKA NCHINI BILA KUFUATA TARATIBU


Idara ya Uhamiaji inapenda kuujulisha Umma kuwa leo tarehe 18 Oktoba, 2025 katika Kituo cha Uhamiaji cha Mpaka wa Sirari mkoani Mara, Mhe. John Wegesa Heche ameondoka nchini kwa kuvuka mpaka na kuingia nchi jirani bila kufuata taratibu na Kanuni za Uhamiaji zilizoundwa chini ya Sheria ya Uhamiaji Sura ya 54.

Soma Pia: John Heche amekamatwa na kuzuiliwa mpaka wa Sirari akiwa anaelekea Kenya kwenye mazishi ya Odinga

Hivyo, Idara ya Uhamiaji inatoa wito kwa raia wa Tanzania na wageni wote wanaotoka na kuingia nchini kufuata taratibu na kanuni zinazongoza uingiaji, ukaazi na utokaji wa watu nchini ili kuepuka kutenda kosa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

IMG_1752.jpeg


======
Kilichotokea:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, amefanikiwa kuvuka mpaka wa Tanzania na Kenya kupitia mpaka wa Sirari mkoani Mara jioni ya siku ya Jumamosi Oktoba 18, 2025, baada ya kuzuka mvutano kati ya maofisa wa uhamiaji wa Tanzania na wenzao wa Kenya.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mtu wa karibu na Heche aliyekuwa mpakani hapo, tukio hilo lilitokea wakati kiongozi huyo akijaribu kuvuka kuelekea nchini Kenya ambako anatarajiwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, yatakayofanyika Jumapili Oktoba 19, 2025, katika kijiji chake cha Bondo.

Chanzo hicho kimeeleza kuwa Heche alikumbana na maofisa wa uhamiaji wa Tanzania ambao walidai kuwa anahusishwa na kesi nchini, na hivyo wakajaribu kumzuia kuendelea na safari yake, lakini upande wa Kenya ulitaka ushahidi wa kisheria wa kumzuia kuvuka.

“Hapa ni One Stop Center, ukiwa unapiga muhuri wa passport tayari unakuwa upande wa Kenya. Askari wa Tanzania walikuja na kudai Heche ana kesi, lakini wenzao wa Kenya waliuliza kama kuna zuio la mahakama. Waliposhindwa kuonesha nyaraka yoyote ya kumzuia, askari wa Kenya walikataa kumkabidhi. Baada ya giza kuanza kuingia, wananchi wa Kenya wakamchukua kutoka kwa Askari wa Kenya na kuondoka naye,” kimesema chanzo hicho.

Kwa mujibu wa chanzo hicho, Heche sasa yupo nchini Kenya baada ya kupokelewa na wananchi waliokuwa mpakani.

Awali, taarifa rasmi ya CHADEMA ilisema kuwa Heche alizuiwa na maofisa wa Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania wakati akijiandaa kuvuka mpaka, na kwamba hati yake ya kusafiria ilizuiwa bila maelezo ya wazi.

Mpaka sasa mamlaka za Tanzania hazijatoa kauli rasmi kuhusu tukio hilo.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Mapema leo katika mpaka wa Sirari / Isibania One Stop Border Post:



 
Doesn’t make sense, Heche anaishi wilaya ya mpakani hakuna mtu wa maeneo hayo ambae hajui njia ya kuingia nchi jirani.

Binafsi ninawashikaji Kilimanjaro wenye mabaa, wanaingiza Tusker kila siku kwa njia za panya kwa pick-up zao; mpaka kesho kutoka Kenya.

Heche ameheshimu tu taratibu za kwenda alipotaka kwenda kihalali kwa kufuata sheria.

Shida zaidi kwanini wamzuie? Hata huyo ‘Bobi Wine’ sasa hivi ‘Museveni’ kampa police escort ya kutosha. Mambo ambayo ‘Museveni’ kajifunza kwetu namna ya kuonyesha uchaguzi ulikuwa halali.

Shida hiko wapi kwenye hii serikali ya Samia. Ni kama vile hakuna wacheza foul waliozoeleka kaweka wapuuzi ambao hawajui tiktaka za kula na kipofu kabisa (be it she is the worst president ever in the history of the world).

The nonsense is too appalling. Kuna sababu gani ya kumzuia Heche kwenda Kenya zaidi ya ujinga.
 

KUHUSU MHE. JOHN WEGESA HECHE KUONDOKA NCHINI BILA KUFUATA TARATIBU


Idara ya Uhamiaji inapenda kuujulisha Umma kuwa leo tarehe 18 Oktoba, 2025 katika Kituo cha Uhamiaji cha Mpaka wa Sirari mkoani Mara, Mhe. John Wegesa Heche ameondoka nchini kwa kuvuka mpaka na kuingia nchi jirani bila kufuata taratibu na Kanuni za Uhamiaji zilizoundwa chini ya Sheria ya Uhamiaji Sura ya 54.

Soma Pia: John Heche amekamatwa na kuzuiliwa mpaka wa Sirari akiwa anaelekea Kenya kwenye mazishi ya Odinga

Hivyo, Idara ya Uhamiaji inatoa wito kwa raia wa Tanzania na wageni wote wanaotoka na kuingia nchini kufuata taratibu na kanuni zinazongoza uingiaji, ukaazi na utokaji wa watu nchini ili kuepuka kutenda kosa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

View attachment 3490526
Wanamfurahisha nani
 
Sasa chama kuwa na kiongozi uhamishoni kama ilivyokuwa enzi ANC ilipokuwa na viongozi uhamishoni kukimbia utawala wa kikaburu wa Afrika ya Kusini.

Hii ni hatua mojawapo nzuri huku Tundu Lissu akiwa anajitetea kama Nelson Mandela kesi ya kesi ya kihistoria mwaka 1962, na ANC kuhakikisha wana viongozi uhamishoni Tanzania, Zambia, Mozambique, Zimbabwe kuhakikisha mapambano ya mabadiliko hayakwamishwi kwa viongozi wote kutuwa mbaroni kwa kesi za uhaini au michongo...

SOMA :
TOKA MAKTABA :

 
Lissu akiwa anajitetea kama Nelson Mandela kesi ya kesi ya kihistoria mwaka 1962 katika korti ya utawala wa makaburu wa South Africa ya ubaguzi ...


TOKA MAKTABA :

MBELE YA MFUMO HAKI JINAI WA KIKABURU

Tundu Lissu aonesha umakini, ujasiri kama aliokuwa nao Nelson Mandela katika mahakama ya utawala wa wabaguzi wachache, kesi ya kihistoria mwaka 1962:


On Freedom / Uhuru / Reforms​

"Black Man in a White Court"​

Nelson Mandela's First Court Statement - 1962​


Nelson Mandela International Day​

18 July​

Menu
Nelson Mandela, President of the African National Congress, addresses a press conference where he called for a 'phased maintenance' of sanctions. 03 December 1991. Copyright UN Photo/John Isaac

© UN Photo/John Isaac

On Freedom​

"Black Man in a White Court"​

Nelson Mandela's First Court Statement - 1962​


  • Extracts from the court record of the trial of Mandela held in the Old Synagogue court, Pretoria, from 15 October to 7 November 1962. Mandela was accused on two counts, that of inciting persons to strike illegally (during the 1961 stay-at-home) and that of leaving the country without a valid passport. He conducted his own defence.

MANDELA:
Your Worship, before I plead to the charge, there are one or two points I would like to raise.

Firstly, Your Worship will recall that this matter was postponed last Monday at my request until today, to enable Counsel to make the arrangements to be available here today.

Although Counsel is now available, after consultation with him and my attorneys, I have elected to conduct my own defence. Some time during the progress of these proceedings, I hope to be able to indicate that this case is a trial of the aspirations of the African people, and because of that I thought it proper to conduct my own defence.

Nevertheless, I have decided to retain the services of Counsel, who will be here throughout these proceedings, and I also would like my attorney to be available in the course of these proceedings as well, but subject to that I will conduct my own defence.

The second point I would like to raise is an application which is addressed to Your Worship. Now at the outset, I want to make it perfectly clear that the remarks I am going to make are not addressed to Your Worship in his personal capacity, nor are they intended to reflect upon the integrity of the court. I hold Your Worship in high esteem and I do not for one single moment doubt your sense of fairness and justice. I must also mention that nothing I am going to raise in this application is intended to reflect against the Prosecutor in his personal capacity.

The point I wish to raise in my argument is based not on personal considerations, but on important questions that go beyond the scope of this present trial.

I might also mention that in the course of this application I am frequently going to refer to the white man and the white people.

I want at once to make it clear that I am no racialist, and I detest racialism, because I regard it as a barbaric thing, whether it comes from a black man or from a white man.

The terminology that I am going to employ will be compelled on me by the nature of the application I am making.
I want to apply for Your Worship's recusal from this case.

I challenge the right of this court to hear my case on two grounds.

Firstly, I challenge it because I fear that I will not be given a fair and proper trial.

Secondly, I consider myself neither legally nor morally bound to obey laws made by a parliament in which I have no representation.

In a political trial such as this one, which involves a clash of the aspirations of the African people and those of whites, the country's courts, as presently constituted, cannot be impartial and fair.

In such cases, whites are interested parties. To have a white judicial officer presiding, however high his esteem, and however strong his sense of fairness and justice, is to make whites judges in their own case.

It is improper and against the elementary principles of justice to entrust whites with cases involving the denial by them of basic human rights to the African people.

What sort of justice is this that enables the aggrieved to sit in judgement over those against whom they have laid a charge?
A judiciary controlled entirely by whites and enforcing laws enacted by a white parliament in which Africans have no representation - laws which in most cases are passed in the face of unanimous opposition from Africans -


MAGISTRATE:
I am wondering whether I shouldn't interfere with you at this stage, Mr Mandela. Aren't we going beyond the scope of the proceedings? After all is said and done, there is only one court today and that is the White Man's court. There is no other court.

What purpose does it serve you to make an application when there is only one court, as you know yourself. What court do you wish to be tried by?


MANDELA:
Well, Your Worship, firstly I would like Your Worship to bear in mind that in a series of cases our courts have laid it down that the right of a litigant to ask for a recusal of a judicial officer is an extremely important right, which must be given full protection by the court, as long as that right is exercised honestly.

Now I honestly have apprehensions, as I am going to demonstrate just now, that this unfair discrimination throughout my life has been responsible for very grave injustices, and I am going to contend that that race discrimination which outside this court has been responsible for all my troubles, I fear in this court is going to do me the same injustice.


Now Your Worship may disagree with that, but Your Worship is perfectly entitled, in fact, obliged to listen to me and because of that I feel that Your Worship-


MAGISTRATE:
I would like to listen, but I would like you to give me the grounds for your application for me to recuse myself.


MANDELA:
Well, these are the grounds, I am developing them, sir. If Your Worship will give me time -


MAGISTRATE:
I don't wish to go out of the scope of the proceedings

happy to do so? READ MORE : Nelson Mandela's First Court Statement - 1962
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
We pumbavu unachosha sana na huu upuuzi wako,zimebaki siku 11 nenda pale ukaandamane na urudi useme ulienda.
Usituletee blaah blaah hapa shenzy kabisa
 
Je Tukio la Leo Linakwenda Kuandika Historia Mpya Tanzania ?

UTAWALA WA CCM NI KAMA ZIMWI WALA WATU, KATIKA HADITHI ZA WAGIRIKI

Hawataki kabisa viongozi wa vyama vya upinzani kupewa haki ya kuishi uhamishino kuendeleza mapambano ya mabadiliko wakiwa salama mbali na vyombo onevu vya dola na vile vya mfumo haki jinai unaonyanyasa wadai mabadiliko
Tanzania utawala wake gandamizi wa wachache ndani ya CCM unaweza kuitumbukiza nchi katika hatari kubwa kama itakataa kukubali mabadiliko ya kuleta haki ili nchi isifike huko kwa mapinduzi ya kijeshi au makabiliano ya kimapambano

HISTORIA YA VIONGOZI WA NCHI ZA KUSINI YA AFRIKA WALIOKWENDA UHAMISHONI NA KUONGOZA MAPAMBANO YA MABADILIKO

Viongozi wa kutafuata ukombozi wa Kusini mwa Afrika waliokimbilia uhamishoni walisaidia kazi hiyo muhimu ya kuchagiza mabadiliko kwa kuanzisha mtandao wa kimataifa wa usaidizi wa kisiasa na kijeshi, kuunda taasisi za elimu na kijamii katika nchi zinazowakaribisha, na kuelekeza mapambano ya silaha na diplomasia ya kimataifa.

Walianzisha makao makuu katika mataifa yanayounga mkono kama Tanzania na Zambia, ambapo waliwafunza wapiganaji, waliendesha shule na hospitali, na kutangaza propaganda kuweka mapambano hayo machoni pa umma.

Shughuli za kijeshi na kisiasa
  • Kambi za mafunzo ya kijeshi zimeanzishwa:
    Viongozi kama wale wa African National Congress (ANC) na Zimbabwe African National Union (ZANU) waliunda vituo katika nchi kama vile Algeria, Misri, Ethiopia, Angola, Msumbiji, na Tanzania kutoa mafunzo kwa wapiganaji katika vita vya msituni.

  • Mapambano ya silaha yaliyoratibiwa:
    Waliendeleza mapambano kupitia hatua za kijeshi kutoka kwa misingi hii ya nje, hata kama mapambano ya kisiasa yaliendelea chinichini ndani ya nchi.

  • Ilianzisha mtandao wa kisiasa na kidiplomasia:
    Vuguvugu lililohamishwa lilianzisha ofisi na uwepo katika makumi ya nchi ili kujenga uungwaji mkono wa kimataifa, ambao ulikuwa muhimu kwa kudumisha shinikizo kwa utawala wa kibaguzi.
Taasisi za kijamii na elimu
  • Imetoa huduma kwa waliohamishwa:
    Katika nchi kama Tanzania, harakati zilizohamishwa zilitoa "nyumba ya mbadala" kwa wakimbizi, kutoa chakula, makazi, na jamii.

  • Vifaa vya elimu vilivyoanzishwa:
    ANC ilianzisha shule kama vile Chuo cha Uhuru cha Solomon Mahlangu (SOMAFCO) ili kutoa elimu kwa vijana waliohamishwa waliokimbia nchi, mara nyingi wakichukua mawazo ya ujamaa na kuzingatia kujitegemea.

  • Huduma ya afya iliyoendelezwa:
    Harakati hizo pia zilijenga na kuendesha hospitali ili kuwahudumia wanachama wa mapambano na jamii zinazowazunguka.
Ushirikiano wa kimataifa na ufahamu
  • Tangaza kwa ulimwengu:
    Watu waliohamishwa walitumia redio na machapisho kutangaza ujumbe wao na kuandaa kampeni za kimataifa, kuweka pambano hilo kuonekana katika jukwaa la kimataifa.

  • Imeshawishiwa kwa usaidizi:
    Uongozi uliohamishwa ulijishughulisha na diplomasia ya kimataifa, na kupata uungwaji mkono kutoka kwa serikali na mashirika kote ulimwenguni.

  • Maoni ya umma ya kimataifa yaliyohamasishwa:
    Uongozi uliohamishwa ulifanya kazi na vikundi kama vile Vuguvugu la Kupambana na Ubaguzi wa Rangi nchini Uingereza kuandaa maandamano na kampeni ambazo zilishinikiza serikali na mashirika ya kimataifa kuchukua hatua dhidi ya ubaguzi wa rangi.
 
TOKA MAKTABA :

Mahojiano na Prof. P.A.N Mihanjo kuhusu hali ya kisiasa nchini.

Prof. Eginald P.A.N. Mihanjo. PhD, MA in History, BA (Hon.) Educ. (UDSM) amewahi kuwa Kaimu Makamu Mkuu Wa Chuo Kikuu, Mhadhiri mwandamizi ndani na nje ya nchi, Mkurugenzi wa mafunzo wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa NDC kinachotoa mafunzo ya usalama -stratejia- ulinzi, mhadhiri Chuo cha Diplomasia cha Tanzania na Msumbiji Foreign Relation Kurasini.. pia ni mtaalamu wa Usalama, Ulinzi, Usuluhishi wa Migogoro kimataifa na kikanda ..

 
Sasa chama CHADEMA pia vyama vingine vya upinzani Tanzania kuwa na kiongozi / viongozi / waratibu / makada uhamishoni kama ilivyokuwa enzi ANC ilipokuwa na viongozi uhamishoni kukimbia utawala wa kikaburu wa Afrika ya Kusini.

TOKA MAKTABA :

Oliver Reginald Tambo akisimulia maisha yake wakiwa pamoja na Nelson Mandela wakiwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Fort Hare nchini South Africa


View: https://m.youtube.com/watch?v=xgHDlDAKDrE

Bango mlangoni lilloandikwa kwa rangi ya shaba kwenye mlango wa ofisi yetu likisomeka Ofisi ya huduma ya kisheria ya Tambo na Mandela . Tulifanya kazi kama mawakili huko Johannesburg katika jengo chakavu kando ya barabara kutoka kwa Mahakama ya Hakimu Mkazi.

Nyumba ya Chansela katika Mtaa wa Fox ilikuwa mojawapo ya majengo machache ambayo wapangaji Waafrika wangeweza kufungua ofisi: jengo lilimilikiwa na Wahindi. Hii ilikuwa kabla ya shoka la Sheria ya Kibaguzi ya kutenga maeneo kuanguka na kutangaza eneo hilo kuwa "malaum kwa weupe tu " na wamiliki wa nyumba wenyewe walifunguliwa mashitaka ikiwa hawakuwafukuza Waafrika.

MANDELA NA TAMBO ziliandikwa kwa herufi kubwa kwenye vioo vya madirisha kwenye ghorofa ya pili, na herufi hizo zilijitokeza kama changamoto. Kwa wazungu Afrika Kusini ilikuwa changamoto mbaya ya kutosha kwamba wanaume wawili wenye ngozi nyeusi wanapaswa kufanya kazi kama mawakili, lakini ilikuwa mbaya zaidi kwamba herufi hizo pia zilielezea kutoa ushirikiano bila kujali rangi au ideolojia ya kisiasa.

Nelson Mandela na mimi Oliver Reginald Tambo sote tulizaliwa jimbo la Transkei, yeye mwaka mmoja baada yangu. Tulikuwa wanafunzi pamoja katika Chuo Kikuu cha Fort Hare. Pamoja na wengine tulikuwa tumeanzisha Umoja wa Vijana wa African National Congress ANC . Tulikwenda pamoja katika Kampeni ya Uasi ya 1952 dhidi ya sheria za kibaguzi, katika mgomo wa jumla dhidi ya Serikali ya kikaburu na tukaketi katika kizimba kilekile wakati wa Kesi ya Uhaini.

Kwa miaka mingi tulifanya kazi bega kwa bega katika ofisi zilizo karibu na Mahakama ya Hakimu mkazi mkuu. Ili kufikia madawati yetu ya Ofisi kila asubuhi, mimi na Nelson ilitubidi kujipenyeza katikati ya misururu ya foleni za watu waliofurika kuanzia kwenye viti kwenye chumba cha kusubiri hadi kwenye korido.


Afrika Kusini ya Utawala wa Makaburu wachache ina sifa mbaya ya kujivunia kuwa miongoni mwa nchi yenye idadi kubwa ya wafungwa duniani. Jela zimejaa Waafrika waliofungwa kwa makosa makubwa - na uhalifu wa unyanyasaji unazidi kuongezeka katika jamii ya kibaguzi - lakini pia kwa makosa madogo ya kisheria ambazo hakuna jamii iliyostaarabika inaweza kuadhibu kwa kifungo.

Afrika ya utawala wa Makaburu hata kukosa ajira pia ilihesabika ni uhalifu kwa sababu hakuna Mwafrika anayeweza kukwepa kwa muda mrefu kukamatwa ikiwa kijitabu chake cha utambulisho hakina muhuri wa ajira rasmi iliyoidhinishwa. Kukosa ardhi pia kunaweza kuwa kosa, na tulihoji kila wiki mamia ya wakulima waliokumbwa na mabadiliko ya kuporwa ardhi kutoka mashambani, ambao walikuja kutuambia ni vizazi vingapi vya familia zao vimefanya kazi katika kipande kidogo cha ardhi ambacho walikuwa wakitimuliwa sasa.


Hata kutengeneza bia ya kienyeji ya Kiafrika kilabuni kama umkhomboti, chibuku, dengelua au kangara n.k , kuinywa au kutumia ili kuongeza kipato kidogo cha familia ilikuwa ni hatia ya kutupwa jela, na wanawake wanaofanya hivyo wanakabiliwa na faini kubwa na vifungo vya jela. Kumpiga busu mzungu inaweza kuwa kosa. Kuishi katika eneo "baya" - eneo lililotangazwa kuwa la mzungu - inaweza kuwa hatia kwa Waafrika.


Sheria za ubaguzi wa rangi za Afrika Kusini zinageuza watu wasiohesabika wasio na hatia kuwa "wahalifu". Ubaguzi wa rangi huchochea chuki na kuchanganyikiwa miongoni mwa watu. Vijana, wanaopaswa kuwa shuleni au kujifunza ufundi, huzurura mitaani, hujiunga na magenge na kulipiza kisasi kwa jamii inayowakabili kwa njia ya kisingizio cha uhalifu au umaskini.

MaFaili yetu katika ofisi ya uwakili ya usaidizi wa kisheria zilibeba maelfu ya hadithi hizi katika paragraph ya hapo juu , tulipoanza ushirikiano wetu wa kutoa huduma ya usaidizi wa kisheria, hatukuwa waasi dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini, uzoefu wetu katika ofisi zetu ungerekebisha upungufu huo. Tulikuwa tumepanda hadhi ya kitaaluma katika jamii yetu, lakini kila kesi mahakamani, kila ziara ya magereza kuwahoji wateja, ilitukumbusha juu ya unyonge na mateso yanayowakumba watu wetu.

Nelson, mmoja wa familia ya kifalme ya Transkei, alifundishwa tangu utotoni kwa ajili ya kulinda heshima, hadhi na kuishi kwa kupewa hifadhi ya haki. Alizaliwa karibu na Umtata mwaka wa 1918, alikuwa mtoto mkubwa wa chifu wa Tembo. Baba yake alifariki akiwa na umri wa miaka kumi na miwili na malezi na elimu yake vikachukuliwa na Chifu Mkuu. Nelson, Sabata, Chifu Mkuu wa Watembu na mpinzani wa Serikali, na Kaizer Matanzima, Waziri Mkuu wa Transkei na mshiriki mkuu na Serikali ya Kitaifa, walielimishwa pamoja.


Katika umri wa miaka l6, Nelson alikwenda chuo kikuu tajwa cha Fort Hare walikosoma baadaye waafrika tajwa kina Robert Mugabe, Dr. Kamuzu Banda, Emmanuel J.E. Makaidi wa Tanganyika na huko tulikutana kwa mara ya kwanza na Nelson Mandela: katika mgomo mkubwa wa wanafunzi.

1760828753034.jpeg

Photo : Emmanuel J.E Makaidi mzaliwa wa Masasi Lindi Tanganyika msomi wa vyuo vya Fort Hare Transkei , Witwastersrand Johannesburg vya South Africa kabla ya 1960 na kisha kuelekea Howard University Marekani. Makaidi amewahi kuwa mwenyekiti wa chama cha NLD pia umoja wa UKAWA Tanzania .

STORY YA OLIVER TAMBO INAENDELEA :
Nelson na Tambo baada ya Fort Hare, tuliachana. Niliendelea kufundisha hisabati katika Shule ya St. Peter huko Johannesburg. Kutoka shule hii, iliyouawa na Serikali katika miaka ya baadaye kwa sababu ilikataa kuinamisha kichwa chini ya kanuni zilizoamriwa na serikali za elimu maalum kwa Waafrika iliyo "duni" (Elimu ya Kibantu), ambayo ilikuwa na sifa ya wahitimu mfululizo wa vijana makini walioingizwa ndani ya African National Congress ANC, kwa sababu ilikuwa kiongozi wa harakati zetu za kizalendo, kitaifa za haki zetu.

Nelson alikimbia kutoka Transkei ili kutoroka ndoa ya 'mkeka' ya kikabila kuoa binamu zake na wajomba zake walikuwa wakijaribu kumpangia kwa lazima. Huko Johannesburg, alikutana kwa mara ya kwanza na Waafrika wa mijini katika kitongoji cha Kiafrika kilichojaa watu wengi: msongamano wa watu, kukamatwa mara kwa mara na doria za polisi wakidai vitambulisho (vipande /pasi) , umaskini na vibao vyenye maandishi ya kufadhaisha kuwa eneo hili au lile ni maalumu kwa watu weupe vilivyobandikwa na utawala wa wazungu wabaguzi.


Walter Sisulu, Katibu Mkuu wa African National Congress katika kipindi muhimu, alifanya urafiki na kumshauri na kumtaka asome sheria. Mandela alisoma kwa njia ya posta ili kupata shahada ya sanaa, alijiunga na shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Witwatersrand na baadaye aliandikishwa kwa kampuni ya mawakili wa kizungu. Tulikutana tena mwaka wa 1944 katika safu ya Umoja wa Vijana wa African National Congress.

Kama binadamu mtu huru , Nelson ana shauku, mhemko, hisia za kuudhika kwa haraka na uchungu na kutamani kulipiza kisasi kwa matusi na upendeleo wanaopewa wazungu . Ana hewa ya asili ya mamlaka. Ana karama ya kuvutia umati wa watu: anaushawishi wa kudumisha ari ya muda mrefu kupigania vuguvugu la mabadiliko amvayo anaamini na anaaminiwa na vijana pia wanawake. Amejitolea na hana woga. Yeye anakubalika kama ndiye kiongozi wa vuguvugu aliyezaliwa.

Lakini mapema, alikuja kuelewa kwamba ukandamizaji unaofanywa na serikali ya kikaburu ulikuwa ni wa kikatili sana kuruhusu mikutano ya halaiki na maandamano ambayo kwayo watu wangeweza kutoa malalamiko yao na matumaini ya kusuluhishwa. Ilikuwa na manufaa machache kuongoza mikutano mikubwa. Serikali ya kikaburi haikusikia na punde si punde mabomu ya machozi yakalipuliwa na mitutu ya bunduki ikaelekezwa dhidi ya umma wa wananchi waliodai mabadiliko. Haki ya kilio chetu haikutambuliwa.


Umaarufu wa viongozi kama Mandela ulionekana kama mwaliko wa kuikabili serikali. Nelson Mandela alipigwa marufuku kuzungumza, kuhudhuria mikusanyiko ANC, Johannesburg, au kutoa interview / mahojiano na media ya shirika lolote la habari. Hotuba, maandamano, maandamano ya amani, maandalizi ya kisiasa yakawa yamepigwa marufuku na kutangazwa ni kinyume cha sheria za nchi .

Kati ya kundi hilo lote la vijana, Mandela na rafiki yake wa karibu na kiongozi mwenza, Walter Sisulu, labda ndio waliokuwa wepesi zaidi kupata uhalisia changamoto kubwa ya mapambano ya Waafrika dhidi ya adui mwenye nguvu zaidi barani Afrika: Nchi yenye viwanda vingi, yenye silaha za kutosha, inayoongozwa na kundi la watu weupe wenye itikadi kali na walioazimia kutetea haki yao na chuki yao, ushirikiano wao na mataifa makubwa beberu na kubwa zaidi mfumo wa faida wa sera ukandamizaji katika bara Afrika. Nelson alikuwa mtu muhimu katika akili tunduizi kufikiri, kupanga na kubuni mbinu mpya.

Ilitubidi kuunda muungano wa nguvu usiotegemea rangi bali kujitolea kukomesha kabisa ubaguzi wa rangi na ukandamizaji; tungetafuta washirika, wa rangi yoyote ile, mradi tu wangekubaliana kabisa juu ya malengo yetu ya ukombozi. Watu wa Kiafrika, kwa asili ya idadi yao, ushujaa wao, na unyonge wa ukandamizaji wao, wangekuwa viongozi wa mapambano. Ilitubidi kuwapanga watu, mjini na mashambani, kama chombo cha mapambano. Mandela aliandaa mpango wa "M", mpango rahisi wa busara wa shirika kwa misingi ya mitaani, ili watu wa kujitolea wa African National Congress wawe na mawasiliano ya kila siku na watu, na kujua mahitaji yao na kuweza kuwahamasisha. Hakuonekana tena kwenye jukwaa la umma na majukwaa machache yaliruhusiwa kadiri miaka ilivyosonga, lakini alikuwa miongoni mwa watu sikuzote, akiwaongoza waandamani wake pia kuwapanga.


Wakati wa Kesi ya Uhaini, juhudi hizi katika mshikamano zilishtakiwa. Mandela alikwenda kutoka seli ya gereza hadi kizimbani na kisha kwenye eneo walilokaa mashahidi, wakati mshtakiwa alipojitetea, yeye na washtakiwa wenzake walifafanua sera ya ANC African National Congress mahakamani. Washitakiwa wote waliokuwa kizimbani waliachiliwa huru , lakini kufutwa kwa kesi hiyo haikuashiria mwisho wa kipindi hicho na kesi kufunguliwa upya.

Kufikia 1960, karibu kila kiongozi wa Kiafrika alifungwa na kuwekewa vikwazo na amri ya Serikali. Hakukuwa na haki ya kujipanga kufanya shughuli za kisiasa. Mnamo Machi, 1960, kulikuwa na maandamano ya kupinga pasi yaliyoitishwa na chama kilichojitenga cha Pan Africanist Congress, na mkusanyiko wa amani huko Sharpeville ambapo vijana waliambuliwa kupigwa risasi. ANC iliitisha mgomo wa kitaifa wa maandamano.

Nchi nzima ikajibu azimio la maandamano yaliyoitishwa kupinga ukandamizaji . ANC ikatangazwa kuwa ni chama cha kisiasa haramu, pamoja na kile cha Pan Africanist Congress.

Katika hali ya hatari ya miezi mitano iliyotangazwa na serikali ya kikaburu , karibu kila mwanachama wa ANC aliyejulikana alifungwa, lakini wakati wa Dharura na hata zaidi baadaye ANC iliamua kufanya harakati za chini ya ardhi. Sasa mpango wa Mandela "M" ulikuja wenyewe. Aliyekuwa katikati, akiunganisha kamba pamoja, akihamasisha shughuli ambazo, kama zikikamatwa, zinaweza kumaanisha kufungwa kwa muda mrefu kwa wanaharakati wa ANC, alikuwa Nelson.

Mnamo Mei, 1961, Afrika Kusini ilitangazwa kuwa Jamhuri. Kulikuwa na kura ya maoni ya wazungu, lakini hakuna Mwafrika aliyeshauriwa. Watu wa Kiafrika waliamua kuna njia za kufanya upinzani wao dhidi ya serikali . Mgomo mkuu ndiyo utakuwa jibu. Mgomo huo uliitishwa kwa jina la Nelson Mandela. Aliacha nyumba yake, afisi yetu, mke wake na watoto kujitoa muhanga ili kuishi maisha ya uvunjaji sheria wa kisiasa za kikaburu . Hapa ilianza hadithi ya "Black Pimpernel". Aliishi mafichoni, akikutana na washirika wake wa karibu wa kisiasa tu, akizunguka nchi nzima kwa kujificha, akijitokeza hapa kuongoza na kushauri, akitoweka tena wakati serikali kupitia makachero kukifanya uwindaji ulipopamba moto sana kumtia mbaroni .

Mgomo huo wa kitaifa,ulivunjwa na muungano wa polisi na jeshi ambao haujawahi kutokea. Iwapo maandamano ya amani kama haya yangesitishwa kwa nguvu basi wananchi wangelazimika kutumia njia nyingine za mapambano; hili lilikuwa hitimisho lisiloepukika. ANC haikuwa tena mrengo wa kitaifa wa kizalendo, ilikuwa ni mapambano ya chinichini ya upinzani. Vitendo vya hujuma viliitikisa nchi kuanzia nusu ya pili ya 1961. “Umkhonto we Sizwe” (Mkuki wa Taifa) ulikuwa umeundwa na uliingia kazini.

Nilikuwa (Oliver Tambo) nimeondoka Afrika Kusini mapema mwaka wa 1960 kwenda uhamishoni , nilitumwa na ANC kufungua ofisi yetu nje ya nchi. Mandela wakati huo alikuwa gerezani wakati wa hali ya hatari iliyotangazwa baada ya Sharpeville. Nilimwona tena, cha kushangaza, mwaka 1961 na 1962, alipotoka mafichoni mahali fulani huko Afrika Kusini, alivushwa mpaka na kufikishwa kwenye mkutano wa Addis Ababa wa Pan African Freedom Movement of East and Central Africa [1] kueleza mbele ya wajumbe sera ya mapambano ya chama chetu ushirikishwaji wa watu wetu.

Nchini Afrika Kusini, mapambano ya uhuru yamekua ya kusikitisha na yasiyokoma. Mandela alirejea nyumbani kutoka Addis Ababa na kuweza kunusurika maisha ya hatari chini ya ardhi kwa muda wa miezi 17 hadi aliposalitiwa na mtoa habari na kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano kwa uongozi wake wa mgomo wa 1961 na kuondoka nchini kwenda nje ya nchi kinyume cha sheria.


Kutoka kwa selo yake gerezani, Nelson Mandela alipandishwa kizimbani katika Kesi maarufu kihistoria ya Rivonia kujibu mashtaka na wengine wanane - miongoni mwao Walter Sisulu. Shitaka hilo lilikuwa la hujuma na kula njama za kupindua Serikali kwa nguvu. Ulimwengu ulitazama kesi hiyo na unajua hukumu ya hatia na hukumu ya kifungo cha maisha.

Nelson Mandela yuko Robben Island leo. Msukumo wake unaishi katika moyo wa kila mzalendo wa Kiafrika. Yeye ndiye ishara ya uongozi wa kujitolea ambao mapambano yetu yameelekezwa na watu wetu wanahitaji. Yeye ni mtu mgumu, mkakamavu asiyekata tamaa lakini ana uwezo wa kunyumbulika na kukabili mateso ya gerezani bila kukata tamaa . Yeye ni mtu imara , lakini anajua kwamba anapata nguvu zake kutoka kwa nguvu ya umma, umati mkubwa wa watu, ambao wanaunda mapambano ya uhuru katika nchi yetu.

Nina hakika kwamba maandamano yaliyotendeka dunia nzima wakati wa Kesi ya Rivonia yaliokoa maisha ya Mandela na washtakiwa wenzake kutokana na hukumu ya kifo. Lakini nchini Afrika Kusini, kifungo cha maisha humaanisha kifungo hadi kifo - au hadi kushindwa kwa Serikali, ambayo inawashikilia watu hawa. Hukumu wanazotumikia ni ukumbusho wa kutisha kwamba wapambanaji kama hao hawapaswi kupotezwa gerezani; kwamba hakuna suluhu la mzozo wa Afrika Kusini linaloweza kupatikana, huku wananchi wakinyimwa uongozi huo; kwamba Mandela amefungwa si kwa ajili ya kukaidi sheria ya ubaguzi wa rangi bali kwa sababu alidai madai ya watu wote wanaoishi na kufa chini ya mfumo wa kikatili wa utawala wa ubaguzi kwa misingi ya rangi ambao ulimwengu unaujua.


[1] Pan African Freedom Movement of East and Central Africa (PAFMECSA) iliundwa katika mkutano wa wawakilishi wa vuguvugu la utaifa kutoka Kenya, Uganda, Nyasaland, Rhodesia Kaskazini na Zanzibar - huku Julius Nyerere wa Tanganyika akiwa Mwenyekiti. Baadaye ilipanuliwa kwa kukubaliwa kwa harakati za Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe) na Afrika Kusini. Harakati hizo ziliruhusiwa kufungua ofisi Dar es Salaam Tanganyika ilipopata uhuru
 
Hivi hawa watu wa Uhamiaji vichwani mwao kuna akili za kutosha kweli?

Hii nayo ni taarifa ya kutoa kwa waTanzania?

Wanatoa hii taarifa iwasaidie vipi waTanzania

Mbona hawasemi kwa nini imemlazimu Heche kuchukua hatua hiyo kama ni kweli?

Wawaeleze waTanzania kwa nini Heche imebidi asafiri kwa njia hiyo.
 
Back
Top Bottom