uhamiaji scale zao ni TPSW na sio TGS kama mdau alivyosema hapo juu!! coplo inaanzia 389000 mpaka 547000 basic,graduate yupo kati ya 547000 mpaka 7 na usheeee!!! lakini kuna posho ya 150,000/= so akili mu kichwa!!
u kno now days pple r not after salary but allowances.so wale jamaa wanamishahara midogo ila mambo yao makubwa usiombe.nilikuwa namanga 1 day naelekea kenya dogo m1 Wa uhamiaji alichana hela akutupa chini alikuwa ndani ya cresta.watu wakawa wanaongea Kuwa dogo kashapiga za magendo.kwa iyo kwa taarifa yako these pple hawaiishi kwa salaries.
mishahara ya uhamiaji ni midogo kuliko polisi ila kwa wale ambao sio waaminifu rushwa kwa mwezi ni ni mara kumi ya mshahara
Ubahatike kukaaa boda ndo upate hiyo rushwa
Habari wadau,
Kwa wale wenye taarifa mwageni hapa, mshahara wa uhamiaji kwa graduate (mkaguzi msaidizi) ni shilingi ngapi kwa mwezi??
Koplo na Constable nao wanalipwa shilingi ngapi?
Kama haujui fanya upite, usichafue hewa.
NAWASILISHA.
u kno now days pple r not after salary but allowances.so wale jamaa wanamishahara midogo ila mambo yao makubwa usiombe.nilikuwa namanga 1 day naelekea kenya dogo m1 Wa uhamiaji alichana hela akutupa chini alikuwa ndani ya cresta.watu wakawa wanaongea Kuwa dogo kashapiga za magendo.kwa iyo kwa taarifa yako these pple hawaiishi kwa salaries.
mishahara ya uhamiaji ni midogo kuliko polisi ila kwa wale ambao sio waaminifu rushwa kwa mwezi ni ni mara kumi ya mshahara
Haizidi laki 5 mkuu kwa graduates,huko kwa coplo na konstebo utajiongeza mwenyewe.