KAPOSI SARCOMA
Member
- Jan 13, 2018
- 38
- 50
Nichukue fursa hii kumpongeza waziri ummy kwa uzalendo ulotukuka.huyu mama nimempenda bure,viongozi wote wangekua hivi naamin timu nyingi zingefanya vizuri.nichukue nafasi hii nimtake waziri wa michezo na mkuu wa mkoa wa kilimanjaro kuiga mfano huu .kuna mikoa timu zao zinazid kudidimia kila mwaka na tatizo linajulikana.viongozi wetu jiongezeni katika kuinua soka letu.kufanya hivo kutawapa vijana ajira na kuwaepusha na mambo mabaya kama utumiaji wa madawa ya kulevya nk .