goodlucksanga
Senior Member
- Nov 8, 2011
- 144
- 28
Vitoto vinakulana ngozi mno
Hao walimu hata serikali iwape m2 net kwa mwezi bado wanafunzi watafeli tu.Sababu za kufeli wanafunzi wa kidato cha nne ni zaidi ya mgomo wa walimu (kama kweli upo).
view yangu ni tofauti kabisa kwamba walimu ndo chanzo cha wao kufeli eti mgomo..ni kwamba hata private skulls watoto wameanguka.. Mwaka jana ulikuwa ni wa kizazi cha facebook so nadhani ndo maana wengi wameteleza.. Kila dogo yuko fb kila dogo yuko fb yaani.m hadi saa 9 usiku.. Makampuni ya simu yakazidi itangaza so..m facebook ndo chanzo.. Imao
Uciwe unakalili,kwan fb na twitter ndo imewafelisha,think big!We hizi sababu umetoa wapi? Wakati wahusika wenyewe wamesema ni facebook na tweeter ndo imesababisha.
Ndo maana vijijini wote wamepata div 1 kwakuwa hawaju facebook na tweeter, ndo maana ulaya na amerika wanafunzu wanafeli wote kwa kuwa facebook na tweeter zimeanzia huko.
Itabidi mitihani ya mwaka huu iwekwe kwenye facebook na tweeter ili angalau wanafunzi wafaulu kidogo
Bwana jeromy SIJAKALILI kama ulivyosema, hayo siyo maneno yangu, kama ungesoma kwa makini kidogo tu nini nimeandika mate yasingekutoka hivyo, au na wewe ni muathirika wa haya maafa nini?Uciwe unakalili,kwan fb na twitter ndo imewafelisha,think big!