Uhalifu kupungua kwa mwezi 1 next August

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Wandugu,

Sijui ni mtizamo wangu na wa baadhi ya watu? Kuwa kikifikia kipindi cha mfungo wa Ramadhani (Holly month)uhalifu unapungua sana sana. Vibaka wanapungua machangudoa wanaisha kabisa pamoja na utulivu sehemu nyingi za dunia una prevail hata maeneo ya vita vinapungua au kusimama kwa mwezi mtukufu.

Swali ni je?

1. Hawa waliofunga ndio wengi ndio watenda uhalifu?kununua machangu,kupora na ugaidi.
2. Hao wasiofunga ndio wanawatendea uhalifu waliofunga so kipindi cha Ramadhani wanawaonea huruma na kuwaheshimu so hawawasumbui?.

My take and my request

Kwa nn wanadamu tusiishi kama kila siku ni Ramadhani??
 
Wandugu,

Sijui ni mtizamo wangu na wa baadhi ya watu? Kuwa kikifikia kipindi cha mfungo wa Ramadhani (Holly month)uhalifu unapungua sana sana. Vibaka wanapungua machangudoa wanaisha kabisa pamoja na utulivu sehemu nyingi za dunia una prevail hata maeneo ya vita vinapungua au kusimama kwa mwezi mtukufu.

Swali ni je?

1. Hawa waliofunga ndio wengi ndio watenda uhalifu?kununua machangu,kupora na ugaidi.
2. Hao wasiofunga ndio wanawatendea uhalifu waliofunga so kipindi cha Ramadhani wanawaonea huruma na kuwaheshimu so hawawasumbui?.

My take and my request

Kwa nn wanadamu tusiishi kama kila siku ni Ramadhani??

Unaweza kutupa statistics za huo uhalifu unapunguaje? Unatoka kipimo cha ngapi hadi ngapi? Nafikiri tukianzia hapo tutapata majibu murua sana
 
Wandugu,

Sijui ni mtizamo wangu na wa baadhi ya watu? Kuwa kikifikia kipindi cha mfungo wa Ramadhani (Holly month)uhalifu unapungua sana sana. Vibaka wanapungua machangudoa wanaisha kabisa pamoja na utulivu sehemu nyingi za dunia una prevail hata maeneo ya vita vinapungua au kusimama kwa mwezi mtukufu.

Swali ni je?

1. Hawa waliofunga ndio wengi ndio watenda uhalifu?kununua machangu,kupora na ugaidi.
2. Hao wasiofunga ndio wanawatendea uhalifu waliofunga so kipindi cha Ramadhani wanawaonea huruma na kuwaheshimu so hawawasumbui?.

My take and my request

Kwa nn wanadamu tusiishi kama kila siku ni Ramadhani??


Hili halina ubishi hata mauza uza JF yatapungua sana.
 
Hata mauzo ya hii kitu nasikia yana'diminish!..Sina DATA zozote, lakini wauzaji huwa na kilio sana!
446px-American_Pork_Cuts.svg.png
 
Unaweza kutupa statistics za huo uhalifu unapunguaje? Unatoka kipimo cha ngapi hadi ngapi? Nafikiri tukianzia hapo tutapata majibu murua sana
Unapungua frm 100-20%, random sampling
 
Hata mauzo ya hii kitu nasikia yana'diminish!..Sina DATA zozote, lakini wauzaji huwa na kilio sana!
446px-American_Pork_Cuts.svg.png
Kweli tafiti yangu inaonyesha hata mdudu anashuka bei kwa poor deman, sasa sijui wasiofunga ndio wanafunga kula huyo mdudu?
 
Kweli tafiti yangu inaonyesha hata mdudu anashuka bei kwa poor deman, sasa sijui wasiofunga ndio wanafunga kula huyo mdudu?
wanaofunga hao hao ndo wanaoacha kula. No offence but them sheihs are eating this thing like hell where i am! Eti wakifunga ndo wanaacha mhgh!
 
Wandugu,

Sijui ni mtizamo wangu na wa baadhi ya watu? Kuwa kikifikia kipindi cha mfungo wa Ramadhani (Holly month)uhalifu unapungua sana sana. Vibaka wanapungua machangudoa wanaisha kabisa pamoja na utulivu sehemu nyingi za dunia una prevail hata maeneo ya vita vinapungua au kusimama kwa mwezi mtukufu.

Swali ni je?

1. Hawa waliofunga ndio wengi ndio watenda uhalifu?kununua machangu,kupora na ugaidi.
2. Hao wasiofunga ndio wanawatendea uhalifu waliofunga so kipindi cha Ramadhani wanawaonea huruma na kuwaheshimu so hawawasumbui?.

My take and my request

Kwa nn wanadamu tusiishi kama kila siku ni Ramadhani??

Labda tuseme...kwamba wanaofanya kazi hizo ndii wanafunga? Au tuseme ni mwezi mtukufu na pilika pilika za mjini zinapungua watu wakimsujudia mungu wao na kuomba kusamehewa kwa dhambi zao....statistic ingine unaweza fanyia utafuti je wale wezi na categeries ulizosema hapo wanarudi wale wale baada ya mfungo? Au wanakuja wapya as wale washaomba kusamehewa dhambi zao kwa maombi na sadaka hawatopenda tena kurudia hali zao za awali...ila town kunakuwa kumepoza sana.
 
Pengine ni dua zinakuwa zinasikizwa ndio maana uhalifu unapungua na hata demand ya 'mkuu wa meza' inapungua pia!
 
nw pia wale mash..e wanaongozaga
kubadili majina na kula vichochoroni
wakifika home utadhani wamefunga
kumbe loool wameshba na pia wamekandamiza
totoz mitaani
 
Wandugu, Sijui ni mtizamo wangu na wa baadhi ya watu? Kuwa kikifikia kipindi cha mfungo wa Ramadhani (Holly month)uhalifu unapungua sana sana. Vibaka wanapungua machangudoa wanaisha kabisa pamoja na utulivu sehemu nyingi za dunia una prevail hata maeneo ya vita vinapungua au kusimama kwa mwezi mtukufu.Swali ni je?1. Hawa waliofunga ndio wengi ndio watenda uhalifu?kununua machangu,kupora na ugaidi.2. Hao wasiofunga ndio wanawatendea uhalifu waliofunga so kipindi cha Ramadhani wanawaonea huruma na kuwaheshimu so hawawasumbui?.My take and my requestKwa nn wanadamu tusiishi kama kila siku ni Ramadhani??
Nguli upo?? Sawa bwana kwa kikwetu tunasema no comment
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom