NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Wandugu,
Sijui ni mtizamo wangu na wa baadhi ya watu? Kuwa kikifikia kipindi cha mfungo wa Ramadhani (Holly month)uhalifu unapungua sana sana. Vibaka wanapungua machangudoa wanaisha kabisa pamoja na utulivu sehemu nyingi za dunia una prevail hata maeneo ya vita vinapungua au kusimama kwa mwezi mtukufu.
Swali ni je?
1. Hawa waliofunga ndio wengi ndio watenda uhalifu?kununua machangu,kupora na ugaidi.
2. Hao wasiofunga ndio wanawatendea uhalifu waliofunga so kipindi cha Ramadhani wanawaonea huruma na kuwaheshimu so hawawasumbui?.
My take and my request
Kwa nn wanadamu tusiishi kama kila siku ni Ramadhani??
Sijui ni mtizamo wangu na wa baadhi ya watu? Kuwa kikifikia kipindi cha mfungo wa Ramadhani (Holly month)uhalifu unapungua sana sana. Vibaka wanapungua machangudoa wanaisha kabisa pamoja na utulivu sehemu nyingi za dunia una prevail hata maeneo ya vita vinapungua au kusimama kwa mwezi mtukufu.
Swali ni je?
1. Hawa waliofunga ndio wengi ndio watenda uhalifu?kununua machangu,kupora na ugaidi.
2. Hao wasiofunga ndio wanawatendea uhalifu waliofunga so kipindi cha Ramadhani wanawaonea huruma na kuwaheshimu so hawawasumbui?.
My take and my request
Kwa nn wanadamu tusiishi kama kila siku ni Ramadhani??