SPIKA kuna baadhi ya sheria kandamizi na za ovyo sijui zilipitaje.
Yeye ndiye alikuwa Spika.
RAIS Bunge halina afya kabisa.
Ameona nini?
N/SPIKA Wabunge wanapiga sana kelele,wabunge wameweka kijiwe kwenye kiti cha waziri mkuu anashindwa kisikiliza bunge.
WABUNGE WASIO NA CHAMA.
N/SPIKA hakuna barua yoyote kufukuzwa uanachama.
MBUNGE NAPE
Uhalali wa wenzetu uko wapi
Tumeshuhudia wabunge:
Wamepita bila kupingwa,
Wameshinda kwa kishindo,
Wameingia kwa fojari,
Uhalali uko wapi na mini kifanyike kwa sasa nasiku zijazo
Yeye ndiye alikuwa Spika.
RAIS Bunge halina afya kabisa.
Ameona nini?
N/SPIKA Wabunge wanapiga sana kelele,wabunge wameweka kijiwe kwenye kiti cha waziri mkuu anashindwa kisikiliza bunge.
WABUNGE WASIO NA CHAMA.
N/SPIKA hakuna barua yoyote kufukuzwa uanachama.
MBUNGE NAPE
Uhalali wa wenzetu uko wapi
Tumeshuhudia wabunge:
Wamepita bila kupingwa,
Wameshinda kwa kishindo,
Wameingia kwa fojari,
Uhalali uko wapi na mini kifanyike kwa sasa nasiku zijazo