miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
Nimekupata mkuuNi wengi wamekutana na hali kama yake, na mwaka jana seriakali yenyewe haijaajiri wako waalimu na madaktari awamu tatu hawajapangiwa kazi na ni fani nyeti achilia mbali sheria ambayo sio sensitive kwenye huduma za jamii kama madaktari na waalimu.
kilio chake ni kukimbiwa na mke. swala ambalo anapaswa kuelewa kuwa wanawake wengine wanakuwaga na malengo yao binafsi na kama kakukimbia kwenye shida unajutia kula naye hela za mkopo na ujana unatakiwa kuachana nalo hilo wazo na kutafuta mke mwingine MBONA WANAWAKE WENGI SANA WANAKESHA KUOMBA WAOLEWE. wanaume wengi tunatabia ya kulilia wanawake tuliokula nao bata ujanani lakini tunapaswa kuelewa mengine tukubali tu,yeye anapenda maisha mazuri kama kakukimbia kaacha mpaka watoto na pengine kwao hayopo jua yuko kwa wanaume wengine wenye nazo.yeye anampenda atafute hela amtafute au aowe mwingine.