Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,006
- 1,956
Ningependa kufahamiswa kuhusu suala la uhakiki,kabla rita system haija collapse kuna wale ambao tulishahakiki na nakala zetu za vyeti tulipata.
Je baada ya system yao kuharibika je na sisi tunatakiwa kuhakiki upya japokuwa nakala zetu tunazo.
Nimejaribu kuwapigia rita lakini simu haipokelewi ipo busy,nimekuja kuuliza hunu huenda kuna mtu ana ufahamu kuhusu hili.
Nawasilisha kwenu wana JF
Je baada ya system yao kuharibika je na sisi tunatakiwa kuhakiki upya japokuwa nakala zetu tunazo.
Nimejaribu kuwapigia rita lakini simu haipokelewi ipo busy,nimekuja kuuliza hunu huenda kuna mtu ana ufahamu kuhusu hili.
Nawasilisha kwenu wana JF