mbna hasira sna?tunataka tuwajue hao vifaranga na mama yao ni akina nani
Hata wewe? Nilishakuambia wewe huna tofauti na Kyuma inayotota! Chadema kitaendelea kuwepo na hakitakufa. Atakufa Lowassa wako na wewe wakati Cdm kikiendelea kuchanja mbuga.
Ccm kuna mgogoro wa makundi ya urais. Kuna mgogoro kati ya Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumay na Waziri mkuu aliejiuzulu kwa KASHFA YA RUSHWA Edward Lowassa,je hili unalizungumziaje?
Mmebakia tu kila siku kuandika habari za CDM km vile ndicho kinachoifanya CCM ishuke kwenye medani za siasa. Endeleeni kujifariji kuwa Cdm kuna mgogoro halafu tusubiri 2015 ndio tutaona.