Kifaranga
Senior Member
- Jan 6, 2011
- 144
- 31
Wana JF, hii nishati ya petroli imekuwa adimu tangu jana jioni, je ni mgomo baridi au?? Pale Total ya Mlimani City hawana mafuta ya petrol tangu jana mpaka leo asubuhi, BP - Kimara Baruti nako hivyo hivyo, Oilcom Mwenge nako hivyo hivyo (kwa mujibu wa vituo nilivyozunguka leo asubuhi na jana usiku)
Nawasilisha
Nawasilisha