Ugumu wa maisha

Ugumu wa maisha

MUREFU

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,331
Reaction score
353
Hebu tuorodheshe ugumu wa maisha au vitu vinavyopelekea ugumu wa maisha katika awamu hii ya kikwete.
- mafuta kupanda bei.
- umeme mgao usioisha.
- upandaji wa nauli wa kihorela.
- network kukatika kwny luku.
- kuibuka kwa vikombe vya tiba.

endeleeni na nyny
 
Murefu kuna ubishi hapa naomba umalize leo na samahani kama nitakuudhi muda wote wengi tunakuchukulia kama HE mwenzetu lakini mara kadha kina dada wakiwa na zile kitchenparty zao za ladies only wanaweka jina lako kama SHE mwenzao tusaidie hapo mkuu.
 
1.wizi mali za umma
2.viongozi sio wazalendo wanahujumu nchi
3.ajira
4.serikali legelege isiyojali wananchi wake
5.bei ya bidhaa muhimu kupanda kiholela
 
1.wizi mali za umma<br />
2.viongozi sio wazalendo wanahujumu nchi<br />
3.ajira<br />
4.serikali legelege isiyojali wananchi wake <br />
5.bei ya bidhaa muhimu kupanda kiholela
<br />
<br />
viongoz wazalendo hawawez kuhujumu uchumi. Wanaohujumu uchumi si wazalendo.
 
Mafisadi kugoma kujivua gamba
Wafanyabiashara kuwa na nguvu kuliso serikali
Viongozi wa upinzani kunyanyaswa
 
1. Kuibua udini na ukabila
2. Kupanda kwa ada mashuleni
3. Kuanzisha shule za kata ambazo hazina walimu
 
Murefu kuna ubishi hapa naomba umalize leo na samahani kama nitakuudhi muda wote wengi tunakuchukulia kama HE mwenzetu lakini mara kadha kina dada wakiwa na zile kitchenparty zao za ladies only wanaweka jina lako kama SHE mwenzao tusaidie hapo mkuu.

wewe wewe wewe.....sipo....shauri yako....usije kuniita nikusaidie.......
 
Murefu kuna ubishi hapa naomba umalize leo na samahani kama nitakuudhi muda wote wengi tunakuchukulia kama HE mwenzetu lakini mara kadha kina dada wakiwa na zile kitchenparty zao za ladies only wanaweka jina lako kama SHE mwenzao tusaidie hapo mkuu.
<br />
<br />
kaka ninakuheshimu ila kwa leo nimeamka vizur ungenikuta na akili zangu za usiku cjui ila kama aravata yangu kuisoma iinakushinda ila poa mimi ni MWANAUME
 
kaka ninakuheshimu ila kwa leo nimeamka vizur ungenikuta na akili zangu za usiku cjui ila kama aravata yangu kuisoma iinakushinda ila poa mimi ni MWANAUME
ndio maana nikatanguliza samahani,samahani tena.
 
1.wizi mali za umma<br />
2.viongozi sio wazalendo wanahujumu nchi<br />
3.ajira<br />
4.serikali legelege isiyojali wananchi wake <br />
5.bei ya bidhaa muhimu kupanda kiholela
<br />
<br />
Poor network na sim services za tigo....
 
wanawake kuwa bize hata vitanda tunafunga kama kutimiza ratiba tu ntu unaingiza spana kama kakutegeshea tu yani bora liende tu
 
Back
Top Bottom