upo mkoa ganii? nikupe ramani ya pesa ya biashara, japo sijaifanya Mimi ila kupita pita kwangu kupeleka watu machimbo yamenifa ya nijue biashara nyingi Sana za kawaida za mtaji kidogo faida kubwa.....tafuta Kama 80000 tu. nilichogundua kuwa machinga wanapata pesa Sanaa mjini hapaa kwa biashara ya kijingaa tuuu,