Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Naishi na mdogo wangu miaka 16 yupo form one. Ameanza kuanguka na kupoteza fahamu kwa muda wa saa nzima na ameanguka kama mara tatu katika kipindi cha mwaka mmoja.
Lakini akianguka hatoi mapovu, wala harushi miguu .
Naomba msaada kwa mtu anayejua kuhusu ugonjwa huu, na unasababishwa na nini?
Lakini akianguka hatoi mapovu, wala harushi miguu .
Naomba msaada kwa mtu anayejua kuhusu ugonjwa huu, na unasababishwa na nini?