Ugonjwa wa sonona

Ugonjwa wa sonona

Asante, ni hali ya kuwa na msongo wa mawazo, wasiwasi, hofu, kutopenda kujichanganya na watu, kuogopa, kuona kama dunia imekuelemea na hakuna sababu ya kuishi tena, Hzi ni baadhi ya dalili tu.

Amua kujipenda kwanza,
Amua kujipenda wewe,
Amua kujisamehe,
Amua kujihurumia,
Amua kujihudumia,
Amua ni kujifariji,
Amua kuanza upya.
 
Asante, ni hali ya kuwa na msongo wa mawazo, wasiwasi, hofu, kutopenda kujichanganya na watu, kuogopa, kuona kama dunia imekuelemea na hakuna sababu ya kuishi tena, Hzi ni baadhi ya dalili tu.
Iliwahi kunitokea nikawa najiona naishi kwenye dunia ya pekeyangu. Kufa sio jambo gumu yani unakua una fikra za tofauti kabisa na walimwengu wengine.
Tiba yake ni rahisi ila kuitambua ni ngumu.
Maana inabidi ujitambue kwanza halafu urelax sasa hapo kwenye kurelax ndio utasema umeambiwa uangushe ukuta wa yeriko kwa mikono.. na ukiweza unajikuta kama umetua mzigo mkubwa halafu una amani ambayo hujawahi kupata maisha yako yote
Kikubwa Sonona inakufanya ujione mdhaifu , Kuwa jasiri/jiamini itaisha kabisa
 
Hello JF doctors, naombeni msaada kwa anayejua hospitali nzuri DSM ninayoweza kupata daktari mzuri wa sonona! Msaada wenu ni wa muhimu sana kuinusuru afya yangu. Asanteni.
Nenda Muhimbili, Idara ya Mental Health kuna madaktari wazuri sana kama Dr. Kuganda, Dr. Samwel....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom