TELLO
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 234
- 409
Hakuna jinsi la sivo nitakufa huku najiona asante mkuu
Hakuna jinsi la sivo nitakufa huku najiona asante mkuu
Mkuu..Nina ndugu yangu ana hili tatizo.isikose kuweka hapa njia ya kumsaidia
Post za namna hii zinahitaji back up kubwa kwakuwa wahitaji ni wengiVizuri; hili somo ni muhimu kwa vijana na hasa tunaotafuta maisha
Unaweza kukaribia PM mkuu tuzungumzeHakuna jinsi la sivo nitakufa huku najiona asante mkuu
Ni kutokana na kukosekana kwa elimu juu ya masuala ya afya ya akili kwa jamii mkuu. Ndio maana tunajitahidi kutoa elimu kama hivi
Vipi vitamin B complex haiwezi kumsaidia?Ok mkuu. Pole sana.
Msaidie sana ndugu yako na umpe sapoti. Kesho nitaandika jinsi ya kumsaidia mwenye tatizo hilo
Pole mkuu. Hujachelewa bado kupata msaada
Hapana hujachelewa bado bado una nafasi ya kusaidika.. Unaweza kumcheki Dr PM kwa msaada zaidi
Jr
Karibu mkuu,