w0rM
Member
- May 3, 2011
- 68
- 164
Mheshimiwa kwa namna ya kipekee nikupongeze kwa uteuzi bora kabisa wa Mawaziri na Manaibu Waziri wapya ambao ni vijana wasomi ambao kwa jicho la tatu watakusaidia sana katika kujenga Taifa hususan kusukuma mbele gurudumu la Maendeleo.
Mheshimiwa Rais leo nimeshuhudia moja Kati ya wateule wako Bw. Francis Ndulane akishindwa kuapa kutokana na sababu ambazo hakuna aliyeweza kuelewa kwani mheshimiwa kwa kuangalia wasifu wake tayari alishakuwa Mkurugenzi Wa Halmashauri ya Mji Ifakara ambapo alihudumu hapo kwa muda mrefu mpaka anaamua kwenda kwenye masuala ya siasa.
Mheshimiwa Rais, kitaalam kuna uwezekano mkubwa wa jambo hili kutokea hasa inapotokea ugeni kwenye nafasi kubwa kama aliyopata mheshimiwa Ndulane.
Kuna kitu kinaitwa...."PHOBIA ATTACK"
Phobia Attack Imegawanyika katika makundi 3. Ambayo ni;
A. Social phobia
B. Specific Phobia
C. Agoraphobia
A-Social phobia.
Huwakuta wengi, pale unapotakiwa kufanya Jambo Mbele ya Jamii, Hofu inapitiliza na kushindwa kufanya jambo au mabadiliko ya mwili, Pressure inapanda, una Sweat, na pumzi kukata. Huwezi kufanya lolote. (Hii ndo ninahisi imemkuta Mh. Ndulane)
B-Agoraphobia
Humkuta yeyote ukiwa mazingira yasiyo salama anayohofia Maisha yake hata na familia yake. Mfano Uingie mahali Kuna Wanyama wakali.
C-Specific Phobia
Hofu hupanda kutokana na Jambo ambalo hukutegemea Sehemu husika. Baadhi ya Wanaume huwatokea yupo na Binti ambaye haamini angeweza kumpata na anashindwa hata kuongea. (Normal blood circulation interrupted). Au Chumba cha mtihani, unashindwa kuandika/kujibu mtihani ilhali ni maswali hayo huyajibu kila siku.
Hivyo basi:
Naomba kuchukua nafasi hii kwa heshima na taadhima Mkuu wangu wa nchi, kumuombea msamaha Francis Ndulane ili aweze kuendelea na uwajibikaji katika nchi yetu penda.
Sina maslahi nae Simjui kifamilia lakini ninahisi amepata shida za kibinadamu za namna nilizoelezea hapo juu.
Dhana za kutokujua kusoma Inawezekana ni sahihi ila sio sababu kubwa sana kuliko ukweli wa aina ya hofu ziwakutazo BINADAMU.
Mheshimiwa Rais leo nimeshuhudia moja Kati ya wateule wako Bw. Francis Ndulane akishindwa kuapa kutokana na sababu ambazo hakuna aliyeweza kuelewa kwani mheshimiwa kwa kuangalia wasifu wake tayari alishakuwa Mkurugenzi Wa Halmashauri ya Mji Ifakara ambapo alihudumu hapo kwa muda mrefu mpaka anaamua kwenda kwenye masuala ya siasa.
Mheshimiwa Rais, kitaalam kuna uwezekano mkubwa wa jambo hili kutokea hasa inapotokea ugeni kwenye nafasi kubwa kama aliyopata mheshimiwa Ndulane.
Kuna kitu kinaitwa...."PHOBIA ATTACK"
Phobia Attack Imegawanyika katika makundi 3. Ambayo ni;
A. Social phobia
B. Specific Phobia
C. Agoraphobia
A-Social phobia.
Huwakuta wengi, pale unapotakiwa kufanya Jambo Mbele ya Jamii, Hofu inapitiliza na kushindwa kufanya jambo au mabadiliko ya mwili, Pressure inapanda, una Sweat, na pumzi kukata. Huwezi kufanya lolote. (Hii ndo ninahisi imemkuta Mh. Ndulane)
B-Agoraphobia
Humkuta yeyote ukiwa mazingira yasiyo salama anayohofia Maisha yake hata na familia yake. Mfano Uingie mahali Kuna Wanyama wakali.
C-Specific Phobia
Hofu hupanda kutokana na Jambo ambalo hukutegemea Sehemu husika. Baadhi ya Wanaume huwatokea yupo na Binti ambaye haamini angeweza kumpata na anashindwa hata kuongea. (Normal blood circulation interrupted). Au Chumba cha mtihani, unashindwa kuandika/kujibu mtihani ilhali ni maswali hayo huyajibu kila siku.
Hivyo basi:
Naomba kuchukua nafasi hii kwa heshima na taadhima Mkuu wangu wa nchi, kumuombea msamaha Francis Ndulane ili aweze kuendelea na uwajibikaji katika nchi yetu penda.
Sina maslahi nae Simjui kifamilia lakini ninahisi amepata shida za kibinadamu za namna nilizoelezea hapo juu.
Dhana za kutokujua kusoma Inawezekana ni sahihi ila sio sababu kubwa sana kuliko ukweli wa aina ya hofu ziwakutazo BINADAMU.