Baba wa Taifa alipewa sumu aina ya Arsenic inayosababisha cancer
Kama wameweza kumuua Baba wa taifa basi wanaweza kumuua yeyote yule.
kamuua Mwalimu ili iwe rais kuwatesa watanzania kwa kuwanyonya kodi na kuwapokonya rasilimali zote kwa sera ya ubinafsishaji.
Damu ya mwalimu itawasumbua milele.:A S-cry:
Death is there, it doesnt depend on either your strengths or weaknesses. To die is your natural character. What matters is to avoid dying early.
Mkapa na Lowassa, nani ni mkali zaidi kwa kuwalisha wenzake sumu?
Hivi Mr Zero,Zero maana yake hamna kitu yaani Sifuri kabisa?
Mkapa alimdhalilisha Baba wa Taifa kwa kusema alikuwa na mkanda wa jeshi, tena alikuwa na ukimwi
JF si mchezo ...
habari za hivi punde ni kwamba Mwakyembe amefariki dunia.Katika mazungumzo yetu leo kuhusu sakata la Vincent Nyerere na Mkapa daktari mmoja rafiki yangu wa Muhimbili amenidokeza kwamba ugonjwa wa ngozi alioupata Dr Harrison Mwakyembe unafanana sana na ule alioupata hayati Mwalimu Julius Nyerere ambao hatimaye ndiyo uliyomuuwa.
Nikaanza kutafakari, jee inawezekana chanzo cha huu ugonjwa wa Dr Mwakyembe ni kile kile cha ugonjwa wa Mwalimu Nyerere? Yaani aliyehusika kumpa Dr Mwakyembe ugonjwa huo ni yule yule aliyempa Mwalimu? Najaribu sana kuunganisha dots